Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ka kyuti boiTukuone basi mwanamume murembo.....
Hizo ni I'd za kike zinakuja kijanja hakuna mwanaume anae dhubutu kufanya hivi.JF wanaume wazuri hatari, wanawake sasa!!! Maana wanawake hawajawahi kujianzishia uzi kwamba wao ni wazuri, na hata wakianzishiwa uzi ni wakupondwa tu, wabaya, vizee 🤣
Yani 168cm ambayo ni futi 5 na nchi 6 unajiita mrefu??
Wewe na hesabu mlikuwa na ugomvi?
Mathieu Valbuena alikuwa mfupi sana miongoni mwa wachezaji alikuwa na 167 cm muone hapo ujionehujaelewa alichoandika
Hujaelewa alichoandikaYani 168cm ambayo ni futi 5 na nchi 6 unajiita mrefu??
Wewe na hesabu mlikuwa na ugomvi?
Mathieu Valbuena alikuwa mfupi sana miongoni mwa wachezaji alikuwa na 167 cm muone hapo ujione.View attachment 3009603View attachment 3009604
Taasisi ya Kapuya imekuharib sana aisee!Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
mtu akishaanza kujitetea kunakuwa na uwalakinii aloohHizo ni preliminary stage, hapo kipa Diara ameshatoka golini goli liko wazi.
Ikhow how to make hell feel like home
Jamaa unasoma kwa kukurupuka hapo wapi nimesema mimi ni mrefu soma tena mkuuYani 168cm ambayo ni futi 5 na nchi 6 unajiita mrefu??
Wewe na hesabu mlikuwa na ugomvi?
Mathieu Valbuena alikuwa mfupi sana miongoni mwa wachezaji alikuwa na 167 cm muone hapo ujione.View attachment 3009603View attachment 3009604
Utakua wake?Picha kidogo mhandsome
Alafu mechi ni vs azam kwenye ligi.Hizo ni preliminary stage, hapo kipa Diara ameshatoka golini goli liko wazi.