digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Vipi tako lipo na mguu wa bia upo? Njoo inbox bass mrembo😏😏😏Jamaa unasoma kwa kukurupuka hapo wapi nimesema mimi ni mrefu soma tena mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tako lipo na mguu wa bia upo? Njoo inbox bass mrembo😏😏😏Jamaa unasoma kwa kukurupuka hapo wapi nimesema mimi ni mrefu soma tena mkuu
Inafikirisha sana. Ila kimchezo mchezo watu wanaleftyani sijui wamevurugwa nini,,au ndo style mpya ya kutongoza vitoto vya 2000
Though taking care of a woman should rest on us, But girls don't take that for granted sometimes there is ups and downs. If am down will you still love me?asante kwa ushaur mzuri
Focus kwa kujiongezea thamani wanaweka wangekuwa wanaangalia sura Mzee Wasira na Marehemu mzee Mengi wasingepata. Maku.Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
waokoeni jamani wanaangamia sanaInafikirisha sana. Ila kimchezo mchezo watu wanaleft
Yes I will if possible 😎Though taking care of a woman should rest on us, But girls don't take that for granted sometimes there is ups and downs. If am down will you still love me?
Utakuta mtu analeta uzi wanawake kitu gani kifanya mtupende sisi wanaume? What's the fu*vcK. This 2000's generation sijui imekosa madini ndio hivi mtu anajisifia sura.Umeandika nilichotaka kuandika. Siku hizi nyuzi za wana kujisifia urembo humu JF zimekuwa nyingi. Zamani hata sisi wakurungwa huwezi kukuta mwanaume anajisifia au huwezi kumwambia mwanaume mwenzako kwa kumsifia uzuri au eti umemmiss.
Siku hizi mambo ya vijana yamekuwa ya kulegealegea tu
If you love me take me as i am. No conditions 🤞Yes I will if possible 😎
so u want me to love you unconditionally 😄kwa usawa huu ooooh poor meIf you love me take me as i am. No conditions 🤞
That's the true nature of love. Unless kuna maandamano moyoni mwako.so u want me to love you unconditionally 😄kwa usawa huu ooooh poor me
nini maandamano,,kuna fraudsThat's is the true nature of love. Unless kuna maandamano moyoni mwako.
Hapo nimekuelewa. Format files zote kwenye moyo wako then start afresh.nini maandamano,,kuna frauds
Jaribu wanaume kama wanawake wanazinguaKwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
hakuna sasa hakuna mahabaaaaa yani hakunaaaaa,,, stop those propagandaHapo nimekuelewa. Format files zote kwenye moyo wako then start afresh.
Fanya mambo mengine kama kilimo, biashara, uvuvi n.k.Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
Tupia picha yako kwanzaKwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje