Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kitambo sana nikajua sasa itaporudi akili itakua imepevuka lkn bado ukubwa huo haunaashiko Lammomy🤔Olewa wewe ili kupunguza wivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitambo sana nikajua sasa itaporudi akili itakua imepevuka lkn bado ukubwa huo haunaashiko Lammomy🤔Olewa wewe ili kupunguza wivu
Unataka kupeleka posa?Embu weka picha yako tuone.
Kirikou e’m tulia kwanza, nipevuke nimekuwa mayai mimi??! 😂Kitambo sana nikajua sasa itaporudi akili itakua imepevuka lkn bado ukubwa huo haunaashiko Lammomy🤔
Wale tiGoKwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
Dadeq 😂😂Kirikou e’m tulia kwanza, nipevuke nimekuwa mayai mimi??! 😂
straight gani anajali muonekano na kujionea aibu!Daaah mimi sio mtu wa hayo mambo mimi ni straight
Kabisa hasa hapa kwenye kujionea aibu...daah nimesikitika sanaMwamba unaelekea pabaya!
Wanasema sisi ni mashangazi tuna sura za baba...tunawaangalia tunasema hiiiiii......JF wanaume wazuri hatari, wanawake sasa!!! Maana wanawake hawajawahi kujianzishia uzi kwamba wao ni wazuri, na hata wakianzishiwa uzi ni wakupondwa tu, wabaya, vizee 🤣
mimi nina 168cm na siringi😂😂Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje