Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Huyu ni mvulana,Utakua wake?
Wapi na wapi.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni mvulana,Utakua wake?
Utasubiri akueHuyu ni mvulana,
Wapi na wapi.?
Una shida sehemu wewe🤔Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
SawaaUtasubiri akue
NamatiioSawaa
Another Man Down 😤Kwema wakuu kuna kitu kinanitesa sana ni kuhusu muonekano wangu
Mimi sio mrefu kama wanawake wanavyopenda wanaume warefu nina 168cm ila kusema ukweli nina Muonekano mzuri saana yaani mimi mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Sasa wanawake wengi wananiogopa nikiwa nao kwenye mahusiano wivu mwingi sana ugomvi kila siku huku wakinituhumu kuwa nina wanawake wengi kitu ambacho sio kweli. Sasa sijui nifanyeje wanawake nawapata ila ndo hvo sidumu nao maana kil siku kelele naona bora tuu tuachane yaani.
Please msi notice vibaya aisee nilikua naomba tuu ushauri nifanyeje
Sawa naachaAndunje acha usumbufu basii
Haaa hatari.. JF sihami never.Hizo ni I'd za kike zinakuja kijanja hakuna mwanaume anae dhubutu kufanya hivi.
Sura nzuri au akili nzuri bora nini?handsome sasa tunawatumia tu kwenye kupata watoto hio ndo nafasi yao ilobaki kwasasa,,kwa kujisifia huku ndani tutakaa kwel?
Hela nzuriSura nzuri au akili nzuri bora nini?
Hela nzuri ikiisha no love? 😁😁Hela nzuri
asante kwa ushaur mzuriHela nzuri ikiisha no love? 😁😁
Kila mtu atafute hela yake hapo ndio kutakuwa na mapenzi ya kweli the rest is bullishit
Umeandika nilichotaka kuandika. Siku hizi nyuzi za wana kujisifia urembo humu JF zimekuwa nyingi. Zamani hata sisi wakurungwa huwezi kukuta mwanaume anajisifia au huwezi kumwambia mwanaume mwenzako kwa kumsifia uzuri au eti umemmiss.ila jf wanaume wanajisifia uzuri wao kuliko hata wanawake,,,oyaaaa nyie tumehama sasa hautaki mahandisamu ni maokotoooo
yani sijui wamevurugwa nini,,au ndo style mpya ya kutongoza vitoto vya 2000Umeandika nilichotaka kuandika. Siku hizi nyuzi za wana kujisifia urembo humu JF zimekuwa nyingi. Zamani hata sisi wakurungwa huwezi kukuta mwanaume anajisifia au huwezi kumwambia mwanaume mwenzako kwa kumsifia uzuri au eti umemmiss.
Siku hizi mambo ya vijana yamekuwa ya kulegealegea tu