Daaah mimi sio mtu wa hayo mambo mimi ni straightKikao kinafanyika Ramada hotel Mbezi beach, umeshapata mwaliko?
Mwamba unaelekea pabaya!mm mwenyewe huwa nikijiangalia najionea aibu aisee
Yani 168cm ambayo ni futi 5 na nchi 6 unajiita mrefu??
Wewe na hesabu mlikuwa na ugomvi?
U handsome unanafasi yake, hapo anapojisifia mwenyewe ndipo shida inapoanzia.ila jf wanaume wanajisifia uzuri wao kuliko hata wanawake,,,oyaaaa nyie tumehama sasa hautaki mahandisamu ni maokotoooo
handsome sasa tunawatumia tu kwenye kupata watoto hio ndo nafasi yao ilobaki kwasasa,,kwa kujisifia huku ndani tutakaa kwel?U handsome unanafasi yake, hapo anapojisifia mwenyewe ndipo shida inapoanzia.
Bandiko limekuwa edited mwanzo hapo alisema yeye ni "sio mrefu sana" ndio nikamjibu kwa kimo hicho yeye ni mfupi..Kasema sio mrefu sana
Hizo ni preliminary stage, hapo kipa Diara ameshatoka golini goli liko wazi.Daaah mimi sio mtu wa hayo mambo mimi ni straight
Hahaaa, atuwekee picha tumuone mara 1.Picha kidogo mhandsome