Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

bajeti yangu ni laki8 naweza kupata yenye specification za juu zaidi ya hiyo
Unapata kibao mkuu

Gen ya 8 minimum kwa budget yako, na ukipata yenye dedicated graphics ya Nvidia ama Radeon ni plus..

Mfano hii
 
sawa mkuu nimekuelewa shukrani sana
 
Wakuu msaada kidogo ninahitaji kununua Playstation 4...Nimefanya survey kwa sellers wengi kidogo(kwenye page za Instagram) na nimegundua kuna tofauti kubwa ya bei kati ya sellers wa Kenya na TZ kitu amnacho kinanipa wasiwasi kidogo...mfano; playstation 4 Pro sellers wengi wa tanzania wanauza kuanzia laki 8 na 50 na kuendelea ila kuna sellers wa kenya wawili mmoja laki 5 na 40 na mwingine laki 6: Sasa je hizi bei za wakenya ziko real kweli kwa PS 4 Pro tena unapewa 2 Pads na Parcel yako isafirishwe kwa DHL kwa gharama zao?? Hakuna utapeli kweli hapa? Maana this offer is too good to be true..Mwenye experience ya haya masoko ya Instagram hasa Kenya anisaidie
 
Tapeli huyo.

Pro ni around $350 hivyo 8 na nusu ina make sense zaidi
 
Tapeli huyo.

Pro ni around $350 hivyo 8 na nusu ina make sense zaidi
Kweli asee nimeangalia zinakotoka huko amazon ebay Ali na hata market za dubai kote bei ni kubwa how come Kenya bei ziwe low vile..NI MATAPELI
Tena yeyote akiona kwenye business pages za Instagram wamepost products ila wamerestrict watu wasicomment basi kuna dalili za utapeli hapo
 
Ameshaiuza, nilisubiria kidogo nikampigia kama hujaichukua nichukue, alinijibu ameuza.
Mkuu kuna swali kidgo hapa hivi katika hizi API direct x 11 direct x 12 na vullkan which is better for gaming? Vulkan nimejalibu kutumia imenishinda sijajua inafanyaje kazi msaada plz; coz kuna baadh ya game vullkan ina run smooth sana
 
Mkuu kuna swali kidgo hapa hivi katika hizi API direct x 11 direct x 12 na vullkan which is better for gaming? Vulkan nimejalibu kutumia imenishinda sijajua inafanyaje kazi msaada plz; coz kuna baadh ya game vullkan ina run smooth sana
vulkan na direct x12 ni version mpya, zimekuja kureplace version za zamani kama Open GL na direct x11, sema bado zipo katika early stage na si kila game itakupa perfomance kubwa.

kwa wewe mwenye GPU ya Amd vulkan ina possibility kubwa kukupa perfomance nzuri, Amd ni katika kampuni zilizotengeneza Vulkan hivyo wanaisuport. Kwa Nvidia wana drivers nzuri za Open Gl.

na pia Faida kubwa ya Vulkan/direct x12 ni
-kutumia multi core
-ku access low level hardware kama vile console (ps3 ps4 etc)

hivyo games za kizamani ambazo zilikuwa zinatumia core moja hazitapata perfomance kubwa sana, ila games za kisasa zinazotumia core nyingi kuna uwezekano mkubwa kupata boost.

mwisho wa siku mkuu direct x11 ni ya zamani na ipo stable sana, hivyo kila game jaribu vulkan ama directx12 ukiona inazingua rudi direct x11, game halitarun kwa speed sana ila itakuwa stable.
 
Mimi mkuu bado natumiaga director x 11_ mpk leo cjawahi kujaribu kutuma director x 12_ ila vulkan inanishida jinsi ya kuitumia alafu ajabu hata kua stail direct x 11_ swez niweke 12_inanishida hebu nipe msaada kidgo hapa mkuu
 
Ahsante sana hivi bado upo humu Chief.maana uzi naona wa 2014 upo?
 
Mimi mkuu bado natumiaga director x 11_ mpk leo cjawahi kujaribu kutuma director x 12_ ila vulkan inanishida jinsi ya kuitumia alafu ajabu hata kua stail direct x 11_ swez niweke 12_inanishida hebu nipe msaada kidgo hapa mkuu
Option unazikuta ndani ya Game husika. Na drivers zipo installed automatic unless wakwambie otherwise.

Na si kila game lina vulkan ama direct x12

Fungua game lako nenda setting za video ama graphics Utakuta setting za Api



Game gani Unataka kubadili.
 
Sawa mkuu ivi ile monitor ya nuc haina 4k sio
Maaan nataka niichukue sehem kuna tv nnch 32 nataka nimpe aniachie ile so naogopa nisije kuchoma
 
Sawa mkuu ivi ile monitor ya nuc haina 4k sio
Maaan nataka niichukue sehem kuna tv nnch 32 nataka nimpe aniachie ile so naogopa nisije kuchoma
Ile NEC ni Full HD. 4k Mara nyingi bei ndefu sana.
 
Tv inaniumiza sana macho ndio maana nataka nibadiri now mkuu
Mimi pia Napenda monitor kubwa ila quality wise kibongo bongo Ukitaka Monitor nzuri kwa bei nafuu ni za inch 24.

Utapata resolution nzuri, zenye ips na bezel less display, kwa around laki 2.

Kama huangalii muonekano na tech za kisasa mpaka 100k-150k Unapata.
 
Hivi mkuu muziki ya nyumbani kama vile home theater music system ubora wake huwa unapimwa kwa kuangalia vitu gani?
 
Hivi mkuu muziki ya nyumbani kama vile home theater music system ubora wake huwa unapimwa kwa kuangalia vitu gani?
Mimi si mtaalam wa muziki mkuu ila ninachofahamu ki layman unaangalia

1. Sorrounding sound, hapa kunakuwa na idadi maalum ya spika kutengeneza effect mbalimbali, mfano kuna 5.1 chanell, 7.1 etc. Speaker hizi zinawekwa pembe mbalimbali za sebule ama chumba kama vile kulia mbele, kushoto mbele, katikati, kulia nyuma, kushoto nyuma etc, hii inakupa uhalisia fulani, mfano kama unaangalia movie na mtu ana tokea kulia amevaa viatu vinakanyaga sakafu utasikia kabisa sauti inatoka kulia kwenda kushoto.

Ukienda sehemu kama cinema sound system inakuwa complicated zaidi spika zaidi ya 20 wanaeka hadi za juu na chini kwenye sakafu.

2.kuna vitu vinaongeza ladha ya music tech kama Dolby Atmos zikiwepo ni muhimu.

3.then mambo mengine ya quality za speaker kama bass, loudness na mengineyo.

Sema ninavyoona mimi wengi wanatengeneza huko Ughaibuni, mtu ananunua Amplifier na subwoofer lile tu spika la kati na zile za pembeni wananunua separate.
 
Shukrani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…