Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #2,081
Unaangalia specification onlineshukrani kiongozi ila nawezaje kufahamu kama laptop yangu inakubali ssd ya m2 maana nilikuwa nataka nitumie vyote kwa pamoja ssd pamoja na hdd
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Kama uko vizuri nicheki niko na monitor nch 29 now situmii kabisa so naweza kukuachia tuSo unanishaurije niachane na monitor nibaki kwenye TV? Maana nataka ya budget ndogo. Sasa kama na ww unalalama kuhusu quality ya gaming. Wakati me nataka ikimbia tv ili nipate quality nzr kwenye gaming.
Nipm picha mkuu, picha na maelezo ya ziada. Itanifaa sana hyo.Kama uko vizuri nicheki niko na monitor nch 29 now situmii kabisa so naweza kukuachia tu
Ok nichek WhatsApp 0687735211Nipm picha mkuu, picha na maelezo ya ziada. Itanifaa sana hyo.
Monitor unayo boss. Na specs zake zipoje hyo monitorKama uko vizuri nicheki niko na monitor nch 29 now situmii kabisa so naweza kukuachia tu
Hivyo ndio muhimu zaidi unaweza pia kubadiliNina swali
No vitu gani vingine vinaweza ongezwa kwenye pc yenye core i5
Ukitoa hivi
Ssd
Ram
Leo kuifanya iwe na performance kubwa na ifanye kazi nyingi
Shukrani sana kiongoziHivyo ndio muhimu zaidi unaweza pia kubadili
-display kwa baadhi ya laptop, zinakuja na 1366x768 na unakuwa na option ya kwenda 1080p
-wifi adapter ambayo ina wifi na Bluetooth za kisasa hasa kama una stream laptop yako kwenda vifaa vyengine kama tv na simu inasaidia.
Unaweza badiri kioo kutoka hd kwenda full hd?Hivyo ndio muhimu zaidi unaweza pia kubadili
-display kwa baadhi ya laptop, zinakuja na 1366x768 na unakuwa na option ya kwenda 1080p
-wifi adapter ambayo ina wifi na Bluetooth za kisasa hasa kama una stream laptop yako kwenda vifaa vyengine kama tv na simu inasaidia.
Ndio inawezekana, sina uhakika kama laptop zote zinakubali ila zipo laptop nyingi tu zina hio option tena official toka kwa manufacture.Unaweza badiri kioo kutoka hd kwenda full hd?
Ndugu mimi nilikuwa nataka kununua laptop ya mtumba je ni sehemu gani nzuri naweza pataNdio inawezekana, sina uhakika kama laptop zote zinakubali ila zipo laptop nyingi tu zina hio option tena official toka kwa manufacture.
Discount kubwa sometime wanakuwa na laptop kali sana za bei nafuu (laki 4 kushuka) ila si muda wote sometime na wao wana vimeo kutegemea na mzigo.Ndugu mimi nilikuwa nataka kununua laptop ya mtumba je ni sehemu gani nzuri naweza pata
Poa ndugu,mimi sio mjuzi sana ,nataka kutumia kwa matumizi ya kawaida tu kama kucheza game,kudownload filamu,na kutazama,Discount kubwa sometime wanakuwa na laptop kali sana za bei nafuu (laki 4 kushuka) ila si muda wote sometime na wao wana vimeo kutegemea na mzigo.
Pia tembelea mitaa hii
-agrey na likoma kkoo, hasa hasa jengo linaloangalizana na Bank ya mkombozi
-uhuru na msimbazi ile hadi uhuru na swahili kama unaenda mnazi mmoja
-machinga Complex.
Kucheza games mkuu si matumizi ya kawaida, mara nyingi laptop za games ndo zinakuwa na nguvu na bei ghali kuliko laptop za kawaida.Poa ndugu,mimi sio mjuzi sana ,nataka kutumia kwa matumizi ya kawaida tu kama kucheza game,kudownload filamu,na kutazama,
Ahsante kwa hiloKucheza games mkuu si matumizi ya kawaida, mara nyingi laptop za games ndo zinakuwa na nguvu na bei ghali kuliko laptop za kawaida.
Je kwa matumzi hayo ya kawaida tu je iwe na specfication zipi,wastani tu brotherKucheza games mkuu si matumizi ya kawaida, mara nyingi laptop za games ndo zinakuwa na nguvu na bei ghali kuliko laptop za kawaida.
Minimum kama budget inabana tafuta i5 gen ya 4 hizi unazipata laki 3 mpaka laki 5 hivi. Matumizi ya kawaida itafanya.Je kwa matumzi hayo ya kawaida tu je iwe na specfication zipi,wastani tu brother
Oya wadau tazama hizi specs i5 cpu M520,ram 4gb ,hdd 250 gbMinimum kama budget inabana tafuta i5 gen ya 4 hizi unazipata laki 3 mpaka laki 5 hivi. Matumizi ya kawaida itafanya.