Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #2,581
Most of time ukisikia Vega kwenye laptop za Amd ujue ni gpu tu ya ndani kama intel HD ama intel iris huwa haina maajabu kivile.EliteBook 745 G6 14" Notebook - 1920 x 1080 - Ryzen 7 3700U - 8 GB RAM - 256 GB SSD
AMD Radeon RX Vega 10 Graphics 2GB
Vipi kuhusu hii chief
Hizo ni ryzen za mwanzo kabisa hivyo ni Equivalent na gen ya 8/9 bei zake ni 600,000-800,000