Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Sata ssd inakubali bila shida hiyo. Ila kama mashine yako ni gen ya 10 itakuwa na slot ya m2 nvme ssd cheki kwanza. Yenyewe unakuwa unakapachila tu kàma ram.
Ni Gen ya 10 mkuu maana ile HDD naona inanisumbua nataka niitoe niweke SSD tu maana kila nikipiga window nikianza kutumia inaniletea hv au Black screen mara iji repair [emoji24][emoji24] ndio maana nataka kuagiza SSD
 
Kwahiyo ambayo natakiwa nichukue ni hii? Maana nataka niitoe HDD ya 1TB
Sata ssd inakubali bila shida hiyo. Ila kama mashine yako ni gen ya 10 itakuwa na slot ya m2 nvme ssd cheki kwanza. Yenyewe unakuwa unakapachila tu kàma ram.
 
Leta model yake kwanza tuone kama inayo slot ya ssd.

Maana kuna zingine zina mpaka slot zaid ya moja.

Mfano yangu ina slot mbili.
Nahisi ipo hapo kaka, nisaidie niagize ipi ili nifanikishe ?
 
Naombeni mwongozo tafadhali, nahitaji kununua PC na nimekutana na hizi mbili tofauti, kwa kuzingatia ubora wa kila eneo, nichukue ipi;-

1. Dell Latitude 3420
Core i5 11th Generation
HDD 1TB
RAM 8GB DDR4
Processor 2.40GHz
NON-TOUCHSCREEN
Price: Around 800K


2. HP ELITEBOOK 840 G5
Core i7 8th Generation
SSD 512
RAM 16GB
Processor 2.1GHz
TOUCHSCREEN,
Price: Around 900K.


Ahsanteni sana.

CC: Chief-Mkwawa
 
i5 11th gen nzuri mkuu, 11th gen japo ni i5 ina nguvu kushinda hio i7 8th gen na pia ina Gpu nzuri.

Hio laki inayobaki ongezea kidogo upgrade ram na ssd.
 


Ipi nichukue hapa Kwa ajili ya programming na chuo (engineering).
 
Kitu chochote kinacho generate picha 2D/3D ni render inaweza kuwa ku edit video, kutumia Cad software kama Autocad, Animations etc
Habari chief? Naomba ushauri kidogo maana siko deep sana kwenye issue za Tech.
Nataka niupgrade PC yangu..
Dell Latitude E7270
Spec DDR4 PC4-17000
SSD 250
Core(TM) i5- 6200U

Nataka niupgrade RAM, SSD.. Ushauri wako hapa
 
Habari chief? Naomba ushauri kidogo maana siko deep sana kwenye issue za Tech.
Nataka niupgrade PC yangu..
Dell Latitude E7270
Spec DDR4 PC4-17000
SSD 250
Core(TM) i5- 6200U

Nataka niupgrade RAM, SSD.. Ushauri wako hapa
Habari

Mkuu nimecheki online machine yako ssd yake ni m.2 ya sata na sio Nvme, inabidi uwe makini hapa vyema uitoe uipige picha uhakikishe unanunua Exactly same form factor, ssd yako sio common.

Alternative angalia kama kuna slot ya hdd unaweza bakisha hio ssd yako ukaongeza ssd nyengine kwenye sehemu ya kawaida ya sata.

Kuhusu ram angalia exactly una ram ngapi na zina speed gani. Ingia task manager kisha chagua performance kisha chagua memory utaona details za ram zako za sasa.
 
Slot iliyotumika ni moja ya 8GB.. So nadhani naweza kuongeza nyingine moja ya 8GB!

Vip kuhusu SSD ya type hiyo zinapatikana?
 
Slot iliyotumika ni moja ya 8GB.. So nadhani naweza kuongeza nyingine moja ya 8GB!

Vip kuhusu SSD ya type hiyo zinapatikana?
Ssd zinapatikana ila ni adimu kidogo compare na nvme.

M2 sata yenyewe ina vipengo viwili na m2 nvme ina kipengo kimoja.

Soma hapa kuzielewa zaidi

Uzuri ni kwamba ssd zote zimeshuka bei unaweza pata 1TB chini ya laki.

Kuhusu ram vyema ujue speed, ni muhimu sana kwa ddr4, kama una 2400mhz ukiweka 2200mhz utaifanya speed ya machine yako kushuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…