Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Generation mkuu ni shortcut ya hayo uliyoyataja. Ukichagua gen ya kisasa automatic Ram inakua nzuri, core zinakua nyingi etc. Gen ya 11 i5 inaanzia angalau core 4 na thread 8, ram ddr4. Pia wingi wa core si kigezo pekee bali nguvu ya core pia.

Gen ya 11 itaanziwa na 11 mfano i5 1135G7, gen ya 12 itaanziwa na 12 etc.

Pia sio lazima intel kuna amd pia, nayo iwe angalau ryzen 5000 series kuendelea.

Kuhusu GPU ni dedicated ndio maana nikakuambia kuhusu Nvidia.

Memory isikusumbua sana automatic laptop za hizo gen ni ddr4 na zitakua na ssd.
 
Asante sana This was so usefully
 
Ofisi yako Iko wap kiongoz nahitaj Moja wapo ya hizo mashine .
 
Chief na serious issue hapa

Hii mashine yangu ni 12gen Kila nikiweka window inadai hivo
Nimetumia Kila njia imeshindikna

Nimeingia google wameniambia nitumie RST
driver lakin bado
Inatumia SSD gb 250
 
Chief na serious issue hapa

Hii mashine yangu ni 12gen Kila nikiweka window inadai hivo
Nimetumia Kila njia imeshindikna

Nimeingia google wameniambia nitumie RST
driver lakin bado
Inatumia SSD gb 250
View attachment 2814468
Hii inaweza kuwa tatizo la flash ama ssd yenyewe,

1. Hakikisha flash umetumia software kama Rufus ama zifananiazo kutengeneza bootable flash, sometime kucopy mafile tu inazingua.

2. Tumia usb 2.0 port kama ipo badala ya usb 3.0 kuepusha issue za driver.

3. Cheki ssd kama ipo sawa na ipo detected,

4. Sometime drivers pia zinaweza changia japo win 10/11 ina detect automatic.

Sema mkuu kama una internet ya uhakika download ile media creation tool ya Microsoft, iache idownload na kuweka windows kwenye flash yenyewe ili ipunguze headache za kudownload corrupt file ama kutoweka file vizuri kwenye flash.
 
Shukran mkuu nimefanikiwa kuweka window hapo Kuna drive kama za touchpad wifi zime miss
 
Touchpad na wifi utazipata website ya Manufacture.
Mkuu nna shida kidogo japo iko nje ya mada'

Pc yangu jana nimeitumia vzur usku nkaizima japo ckuifunika leo nnajaribu kuiwasha haiwaki inawaka vitaa alafu inazima baada ya sekunde kadhaa tu ila display aileti mwanga nikirudia ni ivyoivyo
Nimejaribu kutoa betri, ram na hdd nimeviweka vyote ni ivyoivyo inanletea. Msaada kidogo kama inaweza ikawa shida n ipi

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kinaanza cha power vinafata viwili vya wireless na disk alafu kinawaka cha chaji mwisho icho cha power kinawaka rangi nyeupe vingine orange

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hizo sequence ndio zinaelezea tatizo cheki sequence za model yako ama nitajie model husika nikuangalizie
 
Chief Kuna duka Moja k.koo nimeona wanauza Lenovo core i7 11gen zinakua na Nvidia mx 350 nataka nichukue Moja kwa gaming vip itafaa maana ni used unaweza nipa pia makadirio ya bei nzur nicije kupigwa
 
Chief Kuna duka Moja k.koo nimeona wanauza Lenovo core i7 11gen zinakua na Nvidia mx 350 nataka nichukue Moja kwa gaming vip itafaa maana ni used unaweza nipa pia makadirio ya bei nzur nicije kupigwa
wanauza ngapi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…