Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Chief Kuna duka Moja k.koo nimeona wanauza Lenovo core i7 11gen zinakua na Nvidia mx 350 nataka nichukue Moja kwa gaming vip itafaa maana ni used unaweza nipa pia makadirio ya bei nzur nicije kupigwa
Kwa hio bei sio mbaya mkuu ila
1. I7 Gen ya 11 inapitwa nguvu hadi na i3 gen ya 12
2. Mx350 haina utofauti sana na ile Rx 550 yako so utacheza games kwa 720P games mpya mpya 1080p hazitacheza.

Uzuri ni kwamba Gen ya 11 haili sana umeme na hio Mx350 pia haili sana umeme,

So angalia mwenyewe matumizi yako na Quality unayo target.
 
bei reasonable mkuu kwa gen 11 i7, hivi i5 8gen inaweza kwenda kwa bei gani mkuu, CPU tu.
Mi mwenyewe nipo kwenye harakati za kubadili PC zangu (i7 gen ya 4/i5 gen ya 6) sema kutokana na majukumu ya kifamilia Desktop kubwa sio option na target desktop ndogo kabisa ambazo naweza kukificha nyuma ya TV ama monitor, na Nimesha narrow down options Zangu.

1. Hp elitedesk 800 G6 inakuja na Ryzen 4650GE hii ni Equivalent ya 10th gen intel

2. Lenovo P330 inakuja na 8th/9th gen intel na

3. Lenovo M75Q gen 2 inakuja na Ryzen kama HP ya juu

4. Hp z2 mini kuanzia G4 inakuja na 8th gen kupanda.

images.jpeg-62.jpg
images.jpeg-61.jpg
images.jpeg-60.jpg


Zote hizo hapo juu Zina uwezo wa kuingia dedicated gpu so unaponunua mwanzo ukiona Graphics hazikutoshi mbele ya safari unaweza upgrade.

Kibongo bongo nimesearch sana ila kenya naviona around 35,000 ksh ambayo ni kama 570,000-580,000 hivi ya kwetu, ukichukua kama hio Ryzen 4650GE ina Vega 7 gpu built in unacheza games nyingi tu na kufanya proffesional works kama zote.
 
Shukran chief na power supply bei zikoje mkuu, kuna power supply niliona AliExpress 500Watt mpaka nkaogopa.
Mbona 500 watt ndogo, kuna psu zinafika 1000W na zaidi.

Kwa machine za Kibongo bongo za bei rahisi huwezi weka psu kubwa, so hio utayonunua Aliexpress 500W haitakubali kwenye hizi Dell optiplex na ndugu zake.

Ila ukinunua Workstation ama Gaming pc kama
1. Hp Z series ama Omen
2. Dell precision
3.lenovo Thinkstation

Utaweza badili psu ama ukakuta tayari zina PSU kubwa kama 500 ama 400W.
.
Kuna page ya Instagram kenya galwaycomputers wanaweka sana machine za hivi.
 
Mbona 500 watt ndogo, kuna psu zinafika 1000W na zaidi.

Kwa machine za Kibongo bongo za bei rahisi huwezi weka psu kubwa, so hio utayonunua Aliexpress 500W haitakubali kwenye hizi Dell optiplex na ndugu zake.

Ila ukinunua Workstation ama Gaming pc kama
1. Hp Z series ama Omen
2. Dell precision
3.lenovo Thinkstation

Utaweza badili psu ama ukakuta tayari zina PSU kubwa kama 500 ama 400W.
.
Kuna page ya Instagram kenya galwaycomputers wanaweka sana machine za hivi.
hapo juu nili andika haraka sukumaliza, hiyo 500W ilikua around 100K, ndo maana nikaogopa niki compare Campany kama coolermaster, na kwanini hizo Optiplex zisikubali kuwekewa PSU nyingine je kama ni yale yenye ma case makubwa mfano hilo hapa chini, bei kubongo bongo PSU ya hivo bei ikoje.
s-l400 (1).jpg

Make naona YouTube wanayabadilisha sana.
 
Mi mwenyewe nipo kwenye harakati za kubadili PC zangu (i7 gen ya 4/i5 gen ya 6) sema kutokana na majukumu ya kifamilia Desktop kubwa sio option na target desktop ndogo kabisa ambazo naweza kukificha nyuma ya TV ama monitor, na Nimesha narrow down options Zangu.

1. Hp elitedesk 800 G6 inakuja na Ryzen 4650GE hii ni Equivalent ya 10th gen intel

2. Lenovo P330 inakuja na 8th/9th gen intel na

3. Lenovo M75Q gen 2 inakuja na Ryzen kama HP ya juu

4. Hp z2 mini kuanzia G4 inakuja na 8th gen kupanda.

View attachment 2819103View attachment 2819104View attachment 2819105

Zote hizo hapo juu Zina uwezo wa kuingia dedicated gpu so unaponunua mwanzo ukiona Graphics hazikutoshi mbele ya safari unaweza upgrade.

Kibongo bongo nimesearch sana ila kenya naviona around 35,000 ksh ambayo ni kama 570,000-580,000 hivi ya kwetu, ukichukua kama hio Ryzen 4650GE ina Vega 7 gpu built in unacheza games nyingi tu na kufanya proffesional works kama zote.
Haka kako vizuri ila sasa hapo, GPU inakaa wapi mkuu, mbona kama yenyewe tu inalingana na GPU tena zile za fan 2.
 
Mi mwenyewe nipo kwenye harakati za kubadili PC zangu (i7 gen ya 4/i5 gen ya 6) sema kutokana na majukumu ya kifamilia Desktop kubwa sio option na target desktop ndogo kabisa ambazo naweza kukificha nyuma ya TV ama monitor, na Nimesha narrow down options Zangu.

1. Hp elitedesk 800 G6 inakuja na Ryzen 4650GE hii ni Equivalent ya 10th gen intel

2. Lenovo P330 inakuja na 8th/9th gen intel na

3. Lenovo M75Q gen 2 inakuja na Ryzen kama HP ya juu

4. Hp z2 mini kuanzia G4 inakuja na 8th gen kupanda.

View attachment 2819103View attachment 2819104View attachment 2819105

Zote hizo hapo juu Zina uwezo wa kuingia dedicated gpu so unaponunua mwanzo ukiona Graphics hazikutoshi mbele ya safari unaweza upgrade.

Kibongo bongo nimesearch sana ila kenya naviona around 35,000 ksh ambayo ni kama 570,000-580,000 hivi ya kwetu, ukichukua kama hio Ryzen 4650GE ina Vega 7 gpu built in unacheza games nyingi tu na kufanya proffesional works kama zote.
kuna hawa jamaa niliwaona FB tangazo lao nkaona bei ndogo sana kwa hizo mini, nkahisi kuna mtu anatafutwa ila kama kuna namna ya kuweka GPU ndo best option hapo.
IMG_20231119_220454_1.jpg
 
hapo juu nili andika haraka sukumaliza, hiyo 500W ilikua around 100K, ndo maana nikaogopa niki compare Campany kama coolermaster, na kwanini hizo Optiplex zisikubali kuwekewa PSU nyingine je kama ni yale yenye ma case makubwa mfano hilo hapa chini, bei kubongo bongo PSU ya hivo bei ikoje.
View attachment 2819122
Make naona YouTube wanayabadilisha sana.
Dell na Oem wengine wanafanya makusudi kuweka PSU ambazo hazifanani na wengine ili ikiharibika ukanunue kwao, wanaongeza mapato. Hata iwe kubwa as long as sio workstation/Gaming tegemea huo upuuzi.

Watu wanabadili njia ila sio process rahisi na ina involve risks nyingi.
 
kuna hawa jamaa niliwaona FB tangazo lao nkaona bei ndogo sana kwa hizo mini, nkahisi kuna mtu anatafutwa ila kama kuna namna ya kuweka GPU ndo best option hapo.
View attachment 2819133
Kwa macho tu hizo ni optiplex hazitakubali GPU, mpaka umeona nime mention model za juu nimefanya utafiti wangu kuzi narrow down. Hp Z2 mini series, HP elitedesk 800 Series (zinakubali GT 1660ti tu sema ni gpu kali), Lenovo Thinkstation p 300 series.

Kama utaziona hizo model hapo juu nishtue na mimi.
 
Haka kako vizuri ila sasa hapo, GPU inakaa wapi mkuu, mbona kama yenyewe tu inalingana na GPU tena zile za fan 2.
Kuna picha nimeweka imefunguliwa Gpu inaonekana Nvidia Quadro, zinakaa tu zile Gpu za Quadro zinazotumia umeme mdogo kama watts 30, sema Gpu zake zina nguvu na pia bei zake si ghali kwavile watu wanachomoa tu kwenye maserver.

Mfano hii P1000 ni chini ya $100 ebay
Hizo zimejaa kibao sasa hivi nguvu sawa na 1050Ti,
 
Kuna picha nimeweka imefunguliwa Gpu inaonekana Nvidia Quadro, zinakaa tu zile Gpu za Quadro zinazotumia umeme mdogo kama watts 30, sema Gpu zake zina nguvu na pia bei zake si ghali kwavile watu wanachomoa tu kwenye maserver.

Mfano hii P1000 ni chini ya $100 ebay
Hizo zimejaa kibao sasa hivi nguvu sawa na 1050Ti,
Shukran mkuu, ngoja nicheki na mimi.
 
Nimecheki sijapata exactly pattern zako ila solutions nyingi zinaelekea tatizo la Battery/adapter...

Ulivyotoa battery ulijaribu kuchomeka adapter bila battery na ku washa?

Pia jaribu adapter nyengine kama ya mashine yako.
Mkuu nilikuja kufanikiwa jana baada ya kuiweka juani maana nlihisi ile bardi ya mvua wik ilopita kwa siku2 maana inae motherboard ya alminium na kweli iliwaka sasa naomba nisaidie kitu cha kubadilisha labda ili isiwe inakua ivi kipindi cha barid manake leo tena mvua imenyesha na bard imenigomea tena kuwaka inae bard ukiigusa atari

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nilikuja kufanikiwa jana baada ya kuiweka juani maana nlihisi ile bardi ya mvua wik ilopita kwa siku2 maana inae motherboard ya alminium na kweli iliwaka sasa naomba nisaidie kitu cha kubadilisha labda ili isiwe inakua ivi kipindi cha barid manake leo tena mvua imenyesha na bard imenigomea tena kuwaka inae bard ukiigusa atari

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Hili nalo neno mkuu, baridi sana inaweza fanya Battery iishe chaji kabisa ama hata kufa.

Mimi personally nisingeizima ila mda wote iwe warm, japo sijajua laptop yako inakula umeme kiasi gani.

Ama tumia njia za kawaida za nyumbani kutengeneza hilo joto kama kuiweka kwenye kabati na nguo
 
Hili nalo neno mkuu, baridi sana inaweza fanya Battery iishe chaji kabisa ama hata kufa.

Mimi personally nisingeizima ila mda wote iwe warm, japo sijajua laptop yako inakula umeme kiasi gani.

Ama tumia njia za kawaida za nyumbani kutengeneza hilo joto kama kuiweka kwenye kabati na nguo
Sawa. Ivi io thermo aitakua ina uhusiano wowote na ii labda nibadilishe

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Kwani kuna mtu anataka laptop ya gen 11 core i7 1TB SSD?? kama yupo mtu na yupo serious anicheck muhimu awe dar maana ataletewa atakagua then atalipia
 
Naomba kujuzwa na mimi pia, Processor yangu ni Intel(R) Core (TM) i5-10210U CPU @ 1.60GHZ 2.11 GHZ, hii nayo imekaaje mkuu?
 
Naomba kujuzwa na mimi pia, Processor yangu ni Intel(R) Core (TM) i5-10210U CPU @ 1.60GHZ 2.11 GHZ, hii nayo imekaaje mkuu?
Hii ni generation ya 10, upande wa cpu ipo vizuri sana ulaji umeme kidogo na perfomance ni nzuri, ila upande wa graphics ni ya kawaida hutaweza kurun vitu vizito vya graphics kama games za kisasa ama kurender 3D kwa ufanisi. Kama ina gpu ya Nje kama Nvidia Mx series inakua vizuri zaidi.
 
Back
Top Bottom