Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Chief hivi naweza kuongeza processor speed toka 2.1ghz kufika 2.3ghz na kuendlea katika dell inspiron 5520 core I7-3612QM????
 
Chief hivi naweza kuongeza processor speed toka 2.1ghz kufika 2.3ghz na kuendlea katika dell inspiron 5520 core I7-3612QM????
hio cpu ina turbo hadi 3.1ghz hivyo inawezekana hujui ila inazidi hio 2.1ghz ambayo ni stock. itategemea na joto inalopata, na kiasi cha gpu unachotumia ila muda mwingi itazidi.
 
Chief-Mkwawa naomba ufafanuzi ktk hizi mashine ili nifanye maamuzi sahihi ktk ununuzi.
1. HP
Intel core i7-6500u. 6th Gen.
Turbo boost techn.2.0 to 3.1GHZ.
HD Graphic 520
AMD REDEON R7 M440
4GB Rum. 500GB Storage.

2. ecers
Intel core i5-6200u. 6th gen.
Turbo boost tech. 2.0 to 2.7 GHZ
HD Graphic 520
NVIDIA GEFORCE 940MX
6GB Rum. 1000GB Storage.

Zote window 10.
 
Chief-Mkwawa naomba ufafanuzi ktk hizi mashine ili nifanye maamuzi sahihi ktk ununuzi.
1. HP
Intel core i7-6500u. 6th Gen.
Turbo boost techn.2.0 to 3.1GHZ.
HD Graphic 520
AMD REDEON R7 M440
4GB Rum. 500GB Storage.

2. ecers
Intel core i5-6200u. 6th gen.
Turbo boost tech. 2.0 to 2.7 GHZ
HD Graphic 520
NVIDIA GEFORCE 940MX
6GB Rum. 1000GB Storage.

Zote window 10.
-kwenye cpu HP ina hadi 3.1ghz na acer ina mpaka 2.7 zote ni 6th gen hivyo HP itakuwa na speed zaidi

-kwenye Gpu 940mx kwenye acer ni nzuri zaidi na inakula umeme mdogo sana wakati hio radeon ya HP ipo slow na inakula umeme mwingi

-storage na ram
acer ina ram na storage kubwa
 
-kwenye cpu HP ina hadi 3.1ghz na acer ina mpaka 2.7 zote ni 6th gen hivyo HP itakuwa na speed zaidi

-kwenye Gpu 940mx kwenye acer ni nzuri zaidi na inakula umeme mdogo sana wakati hio radeon ya HP ipo slow na inakula umeme mwingi

-storage na ram
acer ina ram na storage kubwa
Asante KWA ufafanuzi mkuu. Vipi hii ecer ntaweza enjoy game na pia video editing?

Je siwezi kui upgrade kwenda i7. Na cpu KWA ujumla? Thanks Lini advance mkuu.
 
Asante KWA ufafanuzi mkuu. Vipi hii ecer ntaweza enjoy game na pia video editing?

Je siwezi kui upgrade kwenda i7. Na cpu KWA ujumla? Thanks Lini advance mkuu.
mkuu utofauti wa hizo cpu mbili ni mdogo sana huna haja ya ku upgrade na ndio utacheza games karibia zote kwa HD.

video editing utafanya ila rendering itachukua muda kiasi fulani itategemea na resolution yako utakayo render.
 
mkuu utofauti wa hizo cpu mbili ni mdogo sana huna haja ya ku upgrade na ndio utacheza games karibia zote kwa HD.

video editing utafanya ila rendering itachukua muda kiasi fulani itategemea na resolution yako utakayo render.
Thanks very much.
 
-kwenye cpu HP ina hadi 3.1ghz na acer ina mpaka 2.7 zote ni 6th gen hivyo HP itakuwa na speed zaidi

-kwenye Gpu 940mx kwenye acer ni nzuri zaidi na inakula umeme mdogo sana wakati hio radeon ya HP ipo slow na inakula umeme mwingi

-storage na ram
acer ina ram na storage kubwa
Mkuu hivi CPU overclocking ni auto once it demands much power au you have to force it? Manake nimejaribu kucheck kama kuna namna ya kuset up manake ina turbo boost up to 3.5Ghz, my laptop is HP Envy 17-n109tx
 
Mkuu hivi CPU overclocking ni auto once it demands much power au you have to force it? Manake nimejaribu kucheck kama kuna namna ya kuset up manake ina turbo boost up to 3.5Ghz, my laptop is HP Envy 17-n109tx

kuna turbo na kuna overclock ni vitu viwili tofauti.

-overclock unaongeza base clock mfano unaweza ukaieka 4ghz inakaa hapo hapo haishuki

-turbo ni ya muda ukihitaji power inapanda usipohitaji inashuka.

ila ubaya wa turbo ni
-ukirun software ya multithread huipati speed yote, mfano inaandika ina turbo 3.5ghz hapo wamemaanisha core moja tu, core mbili zikifika clock hizo zitarun 3.4ghz zikiwa core nne pengine zitarun 3.2ghz etc
-turbo pia ina mtindo wa ku throttle, hasa kwenye laptop, unapotumia laptop sana inakula umeme mwingi na kupata joto hivyo inapelekea laptop kutofika clock zake zilizoandikwa,

kama utaieka mahala pazuri penye upepo wa kutosha laptop yako itaweza kumaintain hio turbo.
 
kuna turbo na kuna overclock ni vitu viwili tofauti.

-overclock unaongeza base clock mfano unaweza ukaieka 4ghz inakaa hapo hapo haishuki

-turbo ni ya muda ukihitaji power inapanda usipohitaji inashuka.

ila ubaya wa turbo ni
-ukirun software ya multithread huipati speed yote, mfano inaandika ina turbo 3.5ghz hapo wamemaanisha core moja tu, core mbili zikifika clock hizo zitarun 3.4ghz zikiwa core nne pengine zitarun 3.2ghz etc
-turbo pia ina mtindo wa ku throttle, hasa kwenye laptop, unapotumia laptop sana inakula umeme mwingi na kupata joto hivyo inapelekea laptop kutofika clock zake zilizoandikwa,

kama utaieka mahala pazuri penye upepo wa kutosha laptop yako itaweza kumaintain hio turbo.
Ahaa, kwahiyo ni auto on demand, na hiyo turbo nilifikiri ni software iko embedded
 
Ahaa, kwahiyo ni auto on demand, na hiyo turbo nilifikiri ni software iko embedded
ni hardware mkuu, ni processor imekuwa designed ifanye kazi hivyo, mfano i5 na i7 zina turbo lakini i3 haina turbo. hivyo unaona hata ukiwa na software ya kumanage turbo kwenye i3 haitafanya kazi
 
ni hardware mkuu, ni processor imekuwa designed ifanye kazi hivyo, mfano i5 na i7 zina turbo lakini i3 haina turbo. hivyo unaona hata ukiwa na software ya kumanage turbo kwenye i3 haitafanya kazi
Mkuu hebu nipe uzoefu wako juu ya upatikanaji wa internal SSD drive hapa mjini pamoja na bei zake pia! Nahitaji kama 2TB hiv ili niireplace na hii HDD ya 2TB.
 
Mkuu hebu nipe uzoefu wako juu ya upatikanaji wa internal SSD drive hapa mjini pamoja na bei zake pia! Nahitaji kama 2TB hiv ili niireplace na hii HDD ya 2TB.

huko Duniani 2TB yenye speed nzuri kama samsung evo inauzwa dola 600 hadi 700, sitashangaa bongo ikiwa milioni 2 au zaidi.

labda kama pc yako inakubali kuingia HDD mbili ununue ssd ya 128gb au 256gb kwa ajili ya OS na program zako muhimu, huwa hakuna faida vitu kama miziki, picha na video vikiwa katika ssd.

muone Krait anajua duka wanalouza
 
huko Duniani 2TB yenye speed nzuri kama samsung evo inauzwa dola 600 hadi 700, sitashangaa bongo ikiwa milioni 2 au zaidi.

labda kama pc yako inakubali kuingia HDD mbili ununue ssd ya 128gb au 256gb kwa ajili ya OS na program zako muhimu, huwa hakuna faida vitu kama miziki, picha na video vikiwa katika ssd.

muone Krait anajua duka wanalouza
Yah! Ina slots mbili za hard drive, ila na waswas na speed kama ntamix na hiyo 128/256 SSD kama ulivosema!
 
hio cpu ina turbo hadi 3.1ghz hivyo inawezekana hujui ila inazidi hio 2.1ghz ambayo ni stock. itategemea na joto inalopata, na kiasi cha gpu unachotumia ila muda mwingi itazidi.
Asante mkuu.so nifanyeje ili nicheze game kubwa angalau kwa medium quality
 
mkuu ivi unaweza badilisha procesor ikiwa ndogo uiupgrade iwe kubwa...?
 
Asante mkuu.so nifanyeje ili nicheze game kubwa angalau kwa medium quality
quality ya games haihusiani na cpu, kama unaweza kurun ge kwa quality ndogo inamaana cpu ipo ok, ukiongeza quality ukiona game lina nasa nasa ujue gpu ndio inazidiwa.

kama huna dedicated gpu kwa hio cpu ya 3rd gen inamaana gpu yako ni intel HD 4000,

hapo kwa games za kisasa huna ujanja itabidi ucheze tu kwa low quality na chache ndio utacheza kwa medium quality.

kuiboost hio gpu atleast ram zako hakikisha zipo mbili ili kupata faida ya dual chanell na kuongeza bandwidth ya ram hio husaidia kuboost graphics.

huwa laptop inakuja na slot mbili za ram hakikisha zote zina ram kama ni 8gb usieke ram moja ya 8gb eka ram mbili za 4gb.

pia hakikisha atleast ram yako ni 8gb, games za kisasa zinatumia ram 4gb kupanda na gpu nayo inatumia around 2gb hivyo utahitaji ram kubwa.

hakikisha pia na windows ni 64bit kutumia hio ram kubwa
 
Back
Top Bottom