Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

ukitumia 3rd party player kama vlc je? then uongeze saut had mwisho
Jinsi inavyo sound ni kama zimewekwa vi- tweeter tupu tu. Na yeye kitu cha kwanza alichofanya aliweka VLC player, zaidi kama iliongezeka sauti kidogo. Ila inavyo sound ni vile vile.
 
Hp envy ts 14 sleekbook
Cpu intel core i5 4200u
Ram 4gb 798.1mhz
Gpu intel hd graphic 4600
Nvidia geforce gt 740m

Vp hyo mkuu kwa gaming na kurun software kubwa inaweza?
 
Hp envy ts 14 sleekbook
Cpu intel core i5 4200u
Ram 4gb 798.1mhz
Gpu intel hd graphic 4600
Nvidia geforce gt 740m

Vp hyo mkuu kwa gaming na kurun software kubwa inaweza?
ipo fresh , utacheza low to medium settings,
 
Hp envy ts 14 sleekbook
Cpu intel core i5 4200u
Ram 4gb 798.1mhz
Gpu intel hd graphic 4600
Nvidia geforce gt 740m

Vp hyo mkuu kwa gaming na kurun software kubwa inaweza?
angalia vizuri hizo specs intel i5 4200u ina hd4400, hio ni either 4200m au hio gpu ni hd4400.

ila sababu ina gt 740m utacheza kwa low setting.
 
Jinsi inavyo sound ni kama zimewekwa vi- tweeter tupu tu. Na yeye kitu cha kwanza alichofanya aliweka VLC player, zaidi kama iliongezeka sauti kidogo. Ila inavyo sound ni vile vile.
labda ni tatizo la hardware mkuu maana nimeangalia review yake notebookcheck wamesema ni average na inatosha matumizi ya kawaida, hivyo haikutakiwa itoe sauti kama hivyo, labda kuna speaker nyengine ambayo ni ya bass haifanyi kazi, umeifungua?
 
yes ni hiyo hiyo 5750m ,
hio ndio top mkuu, so ku updgrade ni ngumu, naziona cpu zake hapa ebay $40 hadi $90, na sababu ni apu hio ina gpu na cpu pamoja ndio maana hujaona motherboard zenye gpu, kwa lugha nyengine ukinunua cpu itakuja na gpu yake pamoja imetengenezewa ndani
 


Vp hii apa mkuu
 
6th Gen Intel Quad-Core i5-6300HQ Processor up to 3.2GHz, 8GB DDR3, 256GB SSD, Nvidia GeForce GTX 960M,

PC yenye sifa hizi nitaipata Tanzania hapa
 
Mkuu me pc yangu toshiba satelite c850-b839 shida yake inawaka vizuri ila ikianza kuload kuelekea kwenye welcome screen inazima ghafla. Na ikifanikiwa kuwaka nikifungua tu apps inazima ghafla. Naitumia bila bettery ilishakufa je inaweza ikawa ndo shida. Me nahisi shida ni processor kwasababu inakoroma flani hivi kama kitu kinachemka. Kama ndo shida hiyo naweza kubadili kwa kuupgrade sababu hii pc inatumika mara nyingi apa nyumbani kwa kuchezea game. W10
 
katika computer cpu ni kitu kigumu sana, sio rahisi kufa ovyo. feni linazunguka? maybe cooling ya hio laptop imechomoka, haipati joto sanA?

pia imaweza kuwa motherboard ama tatizo jengine hupati beep au error yoyote ile unapowasha?
 
katika computer cpu ni kitu kigumu sana, sio rahisi kufa ovyo. feni linazunguka? maybe cooling ya hio laptop imechomoka, haipati joto sanA?

pia imaweza kuwa motherboard ama tatizo jengine hupati beep au error yoyote ile unapowasha?
Nimechek feni ipo vizuri inapiga kazi. Napata media test failure . Pxe......
Na ikiwaka inachukua muda mrefu kwenye welcome screen kama dk5-7 na nikizima hivyohivyo.
 
Nimechek feni ipo vizuri inapiga kazi. Napata media test failure . Pxe......
Na ikiwaka inachukua muda mrefu kwenye welcome screen kama dk5-7 na nikizima hivyohivyo.

1. kama inachukua muda kuboot inamaana ni tatizo la HDD
2. pxe nayo ni pre boot execution enviroment pia inaashiria hivyo hiyo kwenye HDD

jaribu kwenda bios kaangalie umeeka uboot na nini? kuna mambo mengi kama network boot, boot from CD, usb boot na hio HDD yako. hakikisha HDD ndio kama primary boot.
 
Kama kuna MTU ana key za Microsoft word 2016 naomba tuwasiliane nahitaji sana
 
Kwenye bios inaonesha
1.Hdd
2.CD
3.USb
4.pxe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…