Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

sawa nikienda sokoni nitaenda za uzi huu
 
mimi nimeamua ku invest on gaming pc kuliko hizi consoles like ps4,ps4 pro nk, ivi kwa pc c rahic kucheza new titles bureeee,au bora nichukue ps4 sema roho haitak kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kwenye pc pia kuna games ni ngumu kuchakachulika, mfano fifa 17 imechukua almost mwaka mzima hadi wakaweza kuichakachua, lakini overall utacheza games nyingi bure.

na kama una tv au monitor yenye display nzuri kama full HD au 4K kwa pc uta enjoy zaidi sababu hizi console zinazingua kwenye hizi mambo.

uzuri wa console ni kama umeihack, hapo uta enjoy tu games, huna haja ya kuanza kuhakikisha specs kama zinafaa
 
nazan nkianza ku build pc yang ntakutafta kwa ushauri zaidi,nataka ni upgrade hizi OEM mashines nimejarib kuchek unatakiwa uwe na power supply at least 500watts, hio nkiweka na gtx 1060 miaka 3-5 nadundaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nazan nkianza ku build pc yang ntakutafta kwa ushauri zaidi,nataka ni upgrade hizi OEM mashines nimejarib kuchek unatakiwa uwe na power supply at least 500watts, hio nkiweka na gtx 1060 miaka 3-5 nadundaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
na baadhi ya oem pc power supply zake haziingiliani na pc nyengine hivyo hata ukitaka hio ya 500w unaweza usiipate.

mkuu pia angalia na laptop kama mfuko upo vizuri, hizi series za nvidia za 1xxx zimetulia kwenye laptop, perfomance difference ni kama 10% tu, unapata laptop za 1050ti na 1060 kwa around dola 700 hadi 800.
 
mkuu hii dell optiplex 9020 either i5 au i7, inatumia socket 1150.hizi OEM PC nikiweka power supply tofauti ita support??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nlipiga hesabu sana mkuuu nkaona hizo laptop dola 700-800 bado ni bei za abroad ikifika bongo pigia hesab had dolla 1000-1200 ndo unakuwa nayo,hapo parefu xana asee,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba msaada
Hii ya kwangu ni Intel(R) core (TM) duo CPU T8100 @2.10GHz,
nimeshindwa kutambua generation na zile herufi mbele ya processor
 
mkuu hii dell optiplex 9020 either i5 au i7, inatumia socket 1150.hizi OEM PC nikiweka power supply tofauti ita support??

Sent using Jamii Forums mobile app
hizi optiplex zinakuwa na 8 pin power supply, huwezi upgrade kawaida, ila naskia kuna adapter ya ku convert 8 pin kwenda 24pin, sina uhakika ufanyaji kazi wake upoje
 
mkuu habari,kwa hizi spec hivi naweza cheza latest games..mfano GTA ? ?hizi mpya mpya?

"gentlemanx "
 
300 watts mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
itafaa mkuu, sema unatakiwa ujue hizi gpu zipo za aina mbili,
-gpu ya kawaida ambayo inahitaji umeme toka power supply yako, hii haitafanya kazi kwenye pc yako.

-gpu ambazo ni low profile, hizi zinatumia umeme mdogo, na zinafyonza tu umeme toka kwenye motherboard, hakuna haja ya umeme toka kwenye power supply.

ukitafuta 1050ti ambayo ni low profile (watts 75) itakubali pc yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…