Jeph tephlon
Member
- Jun 19, 2016
- 87
- 16
asante kwa mchango chiefitafaa mkuu, sema unatakiwa ujue hizi gpu zipo za aina mbili,
-gpu ya kawaida ambayo inahitaji umeme toka power supply yako, hii haitafanya kazi kwenye pc yako.
-gpu ambazo ni low profile, hizi zinatumia umeme mdogo, na zinafyonza tu umeme toka kwenye motherboard, hakuna haja ya umeme toka kwenye power supply.
ukitafuta 1050ti ambayo ni low profile (watts 75) itakubali pc yako.
mkuu hio HDD haina sehemu nyengine ya kuingizia umeme?Tv yangu inapeleka umeme Mdogo kwenye external HDD inashindwa kufungua inablink tu. Ni Samsung 4 series 4000 HDTV naomba msaada nifanyanyeje ili iweze kupeleka umeme wa kutosha, kwako chief mkwawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa specifications hzo iko vzuri?hiyo ni ya zamani sana kabla hata generation hazijaanza,
Na tukija kwenye multitasking kati ya Core i3 na core i5 ipi bora kuliko nyenzake?hiyo ni ya zamani sana kabla hata generation hazijaanza,
Na tukija kwenye multitasking kati ya Core i3 na core i5 ipi bora kuliko nyenzake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina ni hizi external HDD za kawaidamkuu hio HDD haina sehemu nyengine ya kuingizia umeme?
Ninakushukuru sana kwa elimu hii ambayo imenipanua uelewa zaidi kutoka pale mahala nilipokuwa hadi mahala fulani hiv pazuri zaidi.mkuu parefu hapa, ila kiufupi ni hivi
-kuanzia generation ya 1 mpaka ya 7 kwenye cpu za kawaida za laptop i3 na i5 hazina tofauti sana zote ni dual core zenye thread 4, ila i5 ina advantage kidogo sababu ina turbo boost na i3 haina.
-kuanzia mwaka huu generation ya 8, i5 inakuwa kama quadcore kwenye cpu za kawaida hivyo ni best compare na i3 kwenye multitasking.
-pia kuanzia generation ya 6 zilikuwepo i5 kali zenye quadcore sema zilikuwa sio mainstream, zilipatikana laptop chache
-kwenye desktop i5 ni kali kuliko i3.
ila yoote hayo tuna assume i3 na i5 zinatoka generation moja, na ni class moja mfano zote ni za laptop. ukicompare mfano i3 ya generation ya 7 na i5 generation ya kwanza, i3 itakuwa na speed zaidi.
hivyo ni topic ndefu sana mkuu. pia ukumbuke multitasking inataka ram kubwa zaidi, pengine baina ya hizo cpu yenye ram kubwa ndio itaperform vizuri zaidi kwenye multitasking
chunguza kama hio tv inassuport HDD, kama inakubali tafuta hub ambayo itakuwa inachaji hio external na kusafirisha data kwenye tv
matumizi ya kawaida ya kuangalia video, kuedit documents, kubrowse net etc itafanya ila matumizi makubwa haitafanya.
Bei inaweza ikawa kama sh ngapi hub? Na zinapatikana wapi hapa dar?chunguza kama hio tv inassuport HDD, kama inakubali tafuta hub ambayo itakuwa inachaji hio external na kusafirisha data kwenye tv
hub yenyewe ipo kama hiviBei inaweza ikawa kama sh ngapi hub? Na zinapatikana wapi hapa dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakubali hata kwenye manual wameandika hivyo HDD inatumia ila tatizo ni hilo kuna mdau mmoja aliniambia nitumie HDD inayotumia umeme Mdogo kama transcend tatizo linakuja unawezaje kujua ya umeme Mdogo?hub yenyewe ipo kama hivi
zipo za aina mbili, ambayo haina umeme na ambayo ina waya wake wa umeme, wewe unatakiwa utafute ya waya wa umeme ili HDD ipate umeme na data zifike kwenye tv.
madukani zisizotumia umeme wa nje zipo nyingi around 5000 hivi, hizo za umeme sijui zitakuwa kiasi gani, ukienda mitaa ya uhuru kariakoo utazipata.
ila hakikisha tena tv yako inakubali hizo HDD,
kusema tu brandname fulani ndio inafaa haisaidii kitu mkuu, kuna mamia ya hdd za seagate.Inakubali hata kwenye manual wameandika hivyo HDD inatumia ila tatizo ni hilo kuna mdau mmoja aliniambia nitumie HDD inayotumia umeme Mdogo kama transcend tatizo linakuja unawezaje kujua ya umeme Mdogo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi nna laptop ila ina uwezo mdogo sana games zina-run very slow kwahiyo naomba kuuliza kuwa Je, inawezekana kubadili CPU, Video Card au RAM ya Laptop?mkuu parefu hapa, ila kiufupi ni hivi
-kuanzia generation ya 1 mpaka ya 7 kwenye cpu za kawaida za laptop i3 na i5 hazina tofauti sana zote ni dual core zenye thread 4, ila i5 ina advantage kidogo sababu ina turbo boost na i3 haina.
-kuanzia mwaka huu generation ya 8, i5 inakuwa kama quadcore kwenye cpu za kawaida hivyo ni best compare na i3 kwenye multitasking.
-pia kuanzia generation ya 6 zilikuwepo i5 kali zenye quadcore sema zilikuwa sio mainstream, zilipatikana laptop chache
-kwenye desktop i5 ni kali kuliko i3.
ila yoote hayo tuna assume i3 na i5 zinatoka generation moja, na ni class moja mfano zote ni za laptop. ukicompare mfano i3 ya generation ya 7 na i5 generation ya kwanza, i3 itakuwa na speed zaidi.
hivyo ni topic ndefu sana mkuu. pia ukumbuke multitasking inataka ram kubwa zaidi, pengine baina ya hizo cpu yenye ram kubwa ndio itaperform vizuri zaidi kwenye multitasking
-ram inawezekana kirahisiMkuu mi nna laptop ila ina uwezo mdogo sana games zina-run very slow kwahiyo naomba kuuliza kuwa Je, inawezekana kubadili CPU, Video Card au RAM ya Laptop?
Laptop yangu ina RAM 2GB, processor Intel(R) celeron(R) CPU N3060 @1.6Ghz na Video Card ni very poor Intel Hd graphics.-ram inawezekana kirahisi
-cpu inawezekana ila improvement si kubwa sana
-gpu haiwezekani.
specs za laptop yako ni zipi?
huwezi chochote hapo mkuu labda hio ram, hizo laptop ni majangaLaptop yangu ina RAM 2GB, processor Intel(R) celeron(R) CPU N3060 @1.6Ghz na Video Card ni very poor Intel Hd graphics.
Ninaweza kuipgrade mpaka kiwango gani?
sauti ya kuwaka ni ipi? ni windows ipi?Expert samahani kama nitakua netoka nje ya mada
Laptop yangu inatoa sauti kama inataka kuwaka kipind imesha waka
Hapo tatzo n nn?