Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #761
nimekwambia unitajie aina ya i5 unayotumia, hujaitaja badosasa chief tatizoo LA mwanga tunalisolve vpp?? msaada piaa na fenii kuunguruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekwambia unitajie aina ya i5 unayotumia, hujaitaja badosasa chief tatizoo LA mwanga tunalisolve vpp?? msaada piaa na fenii kuunguruma
unangalia wapii chiefnimekwambia unitajie aina ya i5 unayotumia, hujaitaja bado
nenda mycomputer kisha right click kisha chagua propertiesunangalia wapii chief
Intel(R)core(TM)i5-3340M CPU@2.7GHZ ndoo hvv chiefnenda mycomputer kisha right click kisha chagua properties
driver zako za graphics ni hiziIntel(R)core(TM)i5-3340M CPU@2.7GHZ ndoo hvv chief
Nje ya mada ila hivi vitu ni kweli inawezekana ama laah na mechanism gani hapa inatumika
[] [How To Make a Wireless Charger at Home - Very Easy Way - YouTube]
.ungeangalia ungeelewa mkuu swali langu liko wapi ila shukrani japo sijapata jibu badosijaangalia hizo video ila ni kitu cha kawaida inawezekana.
wireless charger inakuwa ndani ya simu, ni hardware kama inasuport simu kwanini ushindwe kutengeneza?
huo ni uongo mkuu, nimecheki eti inacharge 100ft..ungeangalia ungeelewa mkuu swali langu liko wapi ila shukrani japo sijapata jibu bado
Ebana chief naomba unisaidie kusolve tatizo la simu kutokubali ku-log in Instagram na kuleta huu ujumbe.huo ni uongo mkuu, nimecheki eti inacharge 100ft.
wireless charging ya sasa ni kama sentimita 4 tu, na ili icharge vizuri inabidi kuwe na mgusano kati ya simu na wireless pad.
ndio maana amedisable comments ili mtu asimchallenge.
cha kwanza angalia setting zako za internet, settings za wap/web zinazingua sana na kuchagua website.Ebana chief naomba unisaidie kusolve tatizo la simu kutokubali ku-log in Instagram na kuleta huu ujumbe.![]()
Nimefanya hivyo lakini bado ina kuwa inasumbua kufungua. Cha kishangaza ni Instagram tu ndo yenye tatizo lakini apps zingine zipo sawa.cha kwanza angalia setting zako za internet, settings za wap/web zinazingua sana na kuchagua website.
nenda setting kisha mobile/cellular network kisha acess point utaziona hizo setting angalia zipi zipo.
Sio kwamba umeifunga isitumie data?Nimefanya hivyo lakini bado ina kuwa inasumbua kufungua. Cha kishangaza ni Instagram tu ndo yenye tatizo lakini apps zingine zipo sawa.
Sidhani kwa kweli..ili kugundua hilo nifanyaje.Sio kwamba umeifunga isitumie data?
Ni simu ganSidhani kwa kweli..ili kugundua hilo nifanyaje.
mkuu hujanijibu lakini hilo swali, una setting ipi na ipi?Nimefanya hivyo lakini bado ina kuwa inasumbua kufungua. Cha kishangaza ni Instagram tu ndo yenye tatizo lakini apps zingine zipo sawa.
Tecno w5Ni simu gan
Setting ni tigo web na airtel-internet kama nimeelewa swali lako basi hilo ndo jibu.mkuu hujanijibu lakini hilo swali, una setting ipi na ipi?
toa hio tigoweb tengeneza setting manual,Setting ni tigo web na airtel-internet kama nimeelewa swali lako basi hilo ndo jibu.
Mkuu samahan....kwne PC yangu kuna program nliinstall. Nlipoiinstall ikabadlsha display ya PC afu ikaanza kufungua web page yenyewe bla mm kufungua. Nkaiuninstall display ya PC ikarud ya kawaida ila webpage znajfungua tuu mkuu. Ani nkiiacha PC on nakuta webpage kwne Mozilla zmejfungua kbao. Msaada mkuu.toa hio tigoweb tengeneza setting manual,
connection name andika chochote
apn andika internet
then save halafu activate hio setting mpya, then jaribu tena hio insta.
jaribu kudownload program inaitwa malware bytes, hii huwa haijawahi kuniangusha kwenye modern malware yoyote yule.Mkuu samahan....kwne PC yangu kuna program nliinstall. Nlipoiinstall ikabadlsha display ya PC afu ikaanza kufungua web page yenyewe bla mm kufungua. Nkaiuninstall display ya PC ikarud ya kawaida ila webpage znajfungua tuu mkuu. Ani nkiiacha PC on nakuta webpage kwne Mozilla zmejfungua kbao. Msaada mkuu.