Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Mkuu unaweza nsaidia link mana torrent naziona nyingi...sijui ipi ndo yenyewe.
download toka site yao, hapa

Free Cyber Security & Anti-Malware Software

pia software za ulinzi usipende kudownloadia torrent.

download tu hio trial, kisha scan mashine yako, itatoa hao malware, kisha ukihakikisha siku mbili tatu wametoka unaweza ukaitoa na hio malware bytes.
 
Soon nitahitaji pc yenye cpu ya intel core i5 2nd gen and above budget yangu itakuwA 300k
 
Nahitaji monitor ya inch 32, yenye uwezo wa resolution ya 1600 mpaka 1920 used or new. Ziwe na uwezo wa kupokea HDMI na DisplayPort. Number yangu 0755646470/078766505. Niko Arusha
 
Nahitaji monitor ya inch 32, yenye uwezo wa resolution ya 1600 mpaka 1920 used or new. Ziwe na uwezo wa kupokea HDMI na DisplayPort. Number yangu 0755646470/078766505. Niko Arusha
nunua led tv tu mkuu. led tv zote zina hizo spacefication
 
nina gen ya pili i5 3.3 ghz natak ni upgrade had gen ya 4 au zaidi,kwa bajet finyu lakin
 
nina gen ya pili i5 3.3 ghz natak ni upgrade had gen ya 4 au zaidi,kwa bajet finyu lakin
kwa ushauri hapo upgrade cpu tu, hakuna utofauti kivile baina ya gen ya pili na 3 au 4, unless unatumia gpu ya ndani.

gen ya pili kuna motherboard zinakubali cpu ya gen ya tatu. ukiupgrade kwenda i7 2600 au i7 3770 utapata perfomance nzuri sana kwa budget ndogo.

mcheki h120 alikuwa na jamaa yake anauza i7 3770 kwa bei nafuu.

pia muangalie huyu jamaa MTOTO WA KUKU anakuwa na mashine used nzuri, kwa hizo 4th gen.
 
mashine yangu iko na i5 2400 dell optiplex 790 hivi hio i7 3770 itafanya kaz kwa hii socket?
 
mashine yangu iko na i5 2400 dell optiplex 790 hivi hio i7 3770 itafanya kaz kwa hii socket?
mpaka nijue motherboard mkuu,

unaweza ukatumia software kama cpu z au ukatumia dxdiag (kuisearch kwenye start) ili kujua info za motherboard yako.

kwenye dxdiag unaangalia kitu kama hiki

 
mkuu nisaidie simu yangu inapoteza network hizi 3g,H,E kuna mda zinapotea baada ya dk 2 zinarudi tatizo ni nn
inakata data tu lakini network ya kawaida ipo? sometime ni tatizo la line umejaribu kubadili line na kueka nyengine?
 
Ndio data tu..ata kwa line nyingine ni hvyo hvyo
sometime simu ambazo hazijatengenezwa kwa mazingira yetu zinaweza sababisha hivyo. ni simu gani? nenda setting kisha about kuona full model.
 

Vp kuhusu hp elitebook 8470p
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…