Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Chief-Mkwawa

kuna hii mashine mtu anataka niuzia 150k ni HP ya kulala

i3 -3220 @3.30ghz hii,unasemaje kwenye hii bei ni sawa?

unaionaje ktk utendaji kazi? nikiiweka GPU itaweza kazi

za Graphic muda mrefu? nakutegemea wewe boss...
Bei nzuri kiasi mkuu,

Kwenye gpu mkuu unaangalia psu kwanza. Na sababu we ni mzee wa machimbo unaweza tafuta i5 ama i7 cpu tupu na kui upgrade kwa baadae.

Ingekuwa mimi ningeinunua.
 
na comment ili kesho niendelee kusoma pale nilipo ishia 😷 😷 thanks chief mkwawa
 
Wakuu nisaidieni spec zinazo faa kwa laptop ya kazi za video editing na photo editing.
 
. @#Somo zuri Sana 😍😍😍
 
Mkuu samahani naomba msaada wako nahitaji pc inayoweza perform program za video graphics and design , mi niliona hii sehemu nikafkr inanifaa kabla sjajiachia nipe mwongozo mkuu , natanguliza shukran bei yao 850k
 
Mkuu hiyo Ryzen 5 3500u spec zake zinakuwaje?. Je nikikosa ipi una suggest tofauti na ryzen?
 
Mkuu hiyo Ryzen 5 3500u spec zake zinakuwaje?. Je nikikosa ipi una suggest tofauti na ryzen?
Ryzen 5 3500u ina core 4 na thread 8 hivyo itasaidia kukupa speed wakati wa kurender,

Pia gpu yake ni Radeon Vega 8, ambayo ni decent, haina nguvu sana pia sio dhaifu.

Kama unakosa hio ryzen 5 angalau upate intel core i5 gen ya 8, hii pia ina core 4 na thread 8,

Kwa intel ukitumia software inayosupport quicksync inakuwa na speed kubwa sana wakati wa kurender, sema si software zote zinasuport hii technology, na weakness kubwa ni software za Adobe hazikubali hii kwa version zote za zamani, ila version mpya za 2018 kupanda naona wameanza kuweka hii technology.
 
Asante mkuu, je nawezaje kufaham wakati na nunua laptop Kuwa hii ina core 4 na thread 8 au zaidi ya hapo?
 
Asante mkuu, je nawezaje kufaham wakati na nunua laptop Kuwa hii ina core 4 na thread 8 au zaidi ya hapo?
Device manager inaonesha, kila core wanaiandika separate.

Pia unaweza search neno dxdiag ama kwenda my computer kisha properties, utapata model husika kisha igoogle angalia result ya kwanza toka site ya Intel/Amd kuona specs kwa kirefu.
 
Mkuu samahani naomba msaada wako nahitaji pc inayoweza perform program za video graphics and design , mi niliona hii sehemu nikafkr inanifaa kabla sjajiachia nipe mwongozo mkuu , natanguliza shukran bei yao 850k
View attachment 1556168
kwa kuangalia hio frequency ya 2.0ghz mbona kama ni i3? hii laptop ina walakin sana hayo maneno ya juu hapo, i7 gen ya 8 mainstream base clock ni 1.8ghz, vyema uipitie uiangalie vizuri.
 
jamani nimeuliza swali langu lakin halijajibiwa bado ni kuusu hizi Intel uhd 620 nimeona zina nguvu sana bila hata kuweka graphics card unaweza Fanya editor za maana je? kuna chochote nyuma ya hili,
 
jamani nimeuliza swali langu lakin halijajibiwa bado ni kuusu hizi Intel uhd 620 nimeona zina nguvu sana bila hata kuweka graphics card unaweza Fanya editor za maana je? kuna chochote nyuma ya hili,
Hd 620 ni gpu nzuri mkuu, kama nilivyomwambia mdau hapo juu, intel wana Technology inaitwa quicksync, ikiwa software inatumia hii quicksync ina edit video na kurender kwa haraka sana, inaweza hata ku compete na pc za mamilioni, mfano wa software ya quicksync ni final cut ya mac ama Cyberlink kwenye pc, pia adobe kwenye version zao mpya wameanza kuiweka,

Tatizo la quicksync kama ilivyo tech nyengine za hardware acceleration hairetain quality 100%, sababu kuna compression inafanyika, sema kwa project za kawaida kibongo bongo hutoona tofauti, ila kwa wanaotengeneza movies na vitu serious wanatumia software rendering (cpu) kwa kutumia processor zenye core nyingi, hii inatumia resource nyingi ila wanapata quality original.

Na intel gen mpya wametoa gpu mpya zinaitwa Xe, hizi ndio balaa, zinaipita hadi Nvidia 960M, hapa video editing, games na mambo mengine utafanya kwa urahisi tu.
 
dah basi acha tuisubiri hio maana mpaka ije kufika bongo itakuwa mda sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…