hapana mkuuPengine feki, reviews umeangalia? Watu wengi wamenunua?
unaweza soma hapamkuu nimeludi tena model yake ni dell vostro,3902
Chief nawezaje kupata hiyo gtx 750ti kuanzia gb 2 nakuendelea maana Sina utaalamu wa kuagiza online? Nahitaji kwa haraka mkuuDdr5 sio kigezo pekee, zipo ddr5 lowend pia kama Gt 710 ambayo pengine ni slow kama hio uliopost.
Mazingira yetu haya ya kibongo bongo unaweza tafuta gtx 750 ti ama Amd rx 550 hizi zinakula umeme kidogo na upatikanaji wake si Mgumu Aliexpress pia bei ni nafuu used.
saw mkuu Ila samahan kidogo nimejaribu kupitia Uzi wa jinsi ya kufanya manunuzi online nimeona wengi wakilalamika kuusu kuibiwa vitu vyao posta ni vitu gani muhim unaweza kuzingatia ukiwa unataka Fanya manunuzi kwa Allie express kwa mfano hii hapaView attachment 1561802
Yes, Kama hii maana pc yangu ni ya kulalaUnapokea posta, mara nyingi wanakupigia simu ukachukue mzigo, hakikisha tu kwenye adress unaandika kila kitu sawa, namba ya simu, sanduku la barua, mji uliopo etc
sawa mkuu nimeona pia ila. msaada wa mwingne mkuu ni kuusu saduku LA posta hiii inakuwaje labda na ninaweza kupata vipiunaweza soma hapa
Dell Vostro 3900/3902 Owner's Manual
hapo kwenye pciex16 wameandika ni full height ina maana graphic card ukubwa wowote itafit.
Sanduku la posta tumia la jirani, ndugu, jamaa au rafiki, unaweza pia kwenda posta na kutengeneza lako mwenyewe.sawa mkuu nimeona pia ila. msaada wa mwingne mkuu ni kuusu saduku LA posta hiii inakuwaje labda na ninaweza kupata vipi
Ukitaka kupata kwa bei reasonable ni mpaka uagizishie online, Hapa Tz zipo ila jiandae kulipa hela ndefu laki 2 mpaka 4Chief nawezaje kupata hiyo gtx 750ti kuanzia gb 2 nakuendelea maana Sina utaalamu wa kuagiza online? Nahitaji kwa haraka mkuu
sawa mkuu ila samahani kidogo kwa usumbufu ulinambia nichek feedback za muuzaj ila cjajua jinsi gan ya kutazama hembu msaada kidg hapa plz!Sanduku la posta tumia la jirani, ndugu, jamaa au rafiki, unaweza pia kwenda posta na kutengeneza lako mwenyewe.
Hapo zimeandikwa 3187 ndo hizo haposawa mkuu ila samahani kidogo kwa usumbufu ulinambia nichek feedback za muuzaj ila cjajua jinsi gan ya kutazama hembu msaada kidg hapa plz!View attachment 1565945
ok. so hapo ina maanisha muuzaji yuko vizuri na sio matapeliHapo zimeandikwa 3187 ndo hizo hapo
Ndiook. so hapo ina maanisha muuzaji yuko vizuri na sio matapeli
shukran sana mkuu acha nifatilie hili LA sanduku LA postaNdio
Hata Kama ni kuagiza sawa, shida Sina utaalamu wa kuagiza naomba msaada wakoUkitaka kupata kwa bei reasonable ni mpaka uagizishie online, Hapa Tz zipo ila jiandae kulipa hela ndefu laki 2 mpaka 4
Mkuu yupo Mwl.RCT na mr mobile wanaagizishia ukitaka.Hata Kama ni kuagiza sawa, shida Sina utaalamu wa kuagiza naomba msaada wako
Pitia mwongozo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasaHata Kama ni kuagiza sawa, shida Sina utaalamu wa kuagiza naomba msaada wako
OkPitia mwongozo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Kisha nipe link ya item husika.
Na manunuzi yatafanyika
Karitibu
https://m.aliexpress.com/item/4000145185059.html?spm=a2g0n.productlist.0.0.40d86bd40e6vcOPitia mwongozo hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Kisha nipe link ya item husika.
Na manunuzi yatafanyika
Karitibu
Mkuu ipitie hii Graphic card Kama inafaa nataka niichukueMkuu yupo Mwl.RCT na mr mobile wanaagizishia ukitaka.
Pia kuagizishia mwenyewe si ngumu unatafuta tu line ya Airtel ama voda unatengeneza credit card halafu unatengeneza Account Aliexpress na kujaza details muhimu kama namba ya simu na sanduku la barua, kisha unanunua na kusubiria siku 20 mpaka 40.
Ila kwa ushauri usianze na gpu, anza na kitu kidogo cha bei rahisi kama memory card, earphone etc.
Pitia na hapa kupata maelezo zaidi
Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni
Au kwanini asiiweke tu na os ya android moja kwa moja. Awe anaamua tu kuboot kupitia windows au android. Si inawezekana siku hizi pc kuweka os ya android.Hii pc ina nguvu ya kutosha kurun bluestacks ama emulator nyengine za Android
1. Hakikisha una latest drivers za graphics.
2. Ram yako ni 4gb, kama una uwezo upgrade hadi 8gb itasaidia.
3. Kama una ujuzi kidogo ingia kwenye bios angalia kama kuna option ya virtualization unatakiwa uiweke on hio husaidia emulators ama vifaa vyengine vinavyotumia VM kurun faster.
Pia unaweza jaribu emulators kama LD player, Momo player ama hata Nox kwa sasa ni maarufu sana kushinda Bluestacks