Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Shukrani mkuu!Gen ya 10 na 11 ni graphics
G7 graphics kali zaidi na G1 graphics ndogo zaidi.
Sema hio G1 still ni nzuri kuliko gen zote za nyuma, kama i7 gen ya 9.
Hizo unknown zote ni hardware ambazo hazina drivers,
Hivi kaka kwa mfano mtu akisema kuwa PC yake inatumia umeme kiasi cha15w tu,hii huwa inamaanisha nini?Inamaanisha kuwa hiyo PC inahitaji umeme wa 15w kwa dakika?lisaa?siku?Ni nini hasa?Gen ya 10 na 11 ni graphics
G7 graphics kali zaidi na G1 graphics ndogo zaidi.
Sema hio G1 still ni nzuri kuliko gen zote za nyuma, kama i7 gen ya 9.
Kwa saa moja, unit moja ya Tanesco ni 1000w,Hivi kaka kwa mfano mtu akisema kuwa PC yake inatumia umeme kiasi cha15w tu,hii huwa inamaanisha nini?Inamaanisha kuwa hiyo PC inahitaji umeme wa 15w kwa dakika?lisaa?siku?Ni nini hasa?
Driver ni software inayoifanya hardware ifanye kazi.Na kuna hizi hapa
Campared to hiyo
View attachment 1678965
View attachment 1678966
Pia je Hyo driver ni hardware mkuu au Software maana hapo umesema haijawa installed bado unaniacha njia panda boss.
Daaah!Kumbe huwa zinakula umeme kidogo sana.Kwa PC ya 15w maana yake inakula unit moja na nusu ya TANESCO kwa masaa mia moja!Kwa saa moja, unit moja ya Tanesco ni 1000w,
Pia battery za laptop zinapimwa Hivyo Hivyo kwa watts na sio Mah kama simu.
Na wakisema 15w wa Namaanisha ikiwa katika base clock, mfano kama ni i5 ya 2.5ghz basi iki operate kwa hio ghz ndio inakula Hivyo. Most of time laptop inafanya light task Hivyo haifiki huo ulaji umeme.
Ko nikichukua hii nauwezo wa kuinstall drivers si ndio kuna hyo option?Driver ni software inayoifanya hardware ifanye kazi.
Kwa hizo ulizotuma hio i3 gen ya 7 sio mbaya, japo cpu yake sio nzuri kama hio i7 ya mwanzo ila Gpu ni nzuri, utacheza games nyepesi na kurun 4k videos bila tatizo.
Amd zisizo ryzen achana nazo.
Ndio,Daaah!Kumbe huwa zinakula umeme kidogo sana.Kwa PC ya 15w inakula unit moja na nusu ya TANESCO kwa masaa mia moja!
Jamaa amekomaa 600k mkuu nimtajie kitu gani kinachomiss humu cha kitaalamu ili apunguze.Ndio,
Na hizo ni I series, core m ni 4.5W tu,
Mwambie hakuna External Gpu ya Nvidia ama Amd.Jamaa amekomaa 600k mkuu nimtajie kitu gani kinachomiss humu cha kitaalamu ili apunguze.
2. Hutaweza weka graphics, utaeka tu driver kupata ile Gpu ya Ndani.Lastly mkuu ili nifanye maamuzi
1.nitaweza kufanya nini na nini katika hii laptop?
2.Je nitaweza kuweka Graphic?
3.Je ni kiasi gani Mkuu?
Jamaa kasema bei ya mwisho ni 550k ukinipa hayo majibu ili nione kama nampa au nimteme.
Hyo i3 jamaa anataka 750k2. Hutaweza weka graphics, utaeka tu driver kupata ile Gpu ya Ndani.
3. Mimi kwa muono wangu not worth it zaidi ya laki 5.
1. Na sababu matumizi hujayajua kuna uwezekano mkubwa hui hitaji na ile i3 ikawa best choice kwako.
-ni nzuri kwa video editing, sababu ina core nyingi, pia 3d, animations na software nyengine za graphics zenye support ya Intel Quicksync
-emulators mbalimbali za games kama Nintendo wii, ps2, psp etc
-gaming ambazo sio graphics intensive
-heavy software mbalimbali kama za cad
-browsing pia itakuwa nzuri, etc
Dah, Tamaa hizi, ni mpya?Hyo i3 jamaa anataka 750k
Unaweza Sema gta V litarun quality ndogo sana 480p ama 600p sikumbuki vizuri,Je katika hiyo i7 siwezi yafanya hayo
1.Heavy apps
2.Gaming kama GTA V na nyingine heavy,
3.Browsing n.k
Hivi kaka graphics ni hardware?Kwanza driver ipo Sema tu haijaekwa
Na laptop bila driver ya graphics haifanyi kitu chochote kinachotaka graphics. Mfano video za full HD hazitacheza, games hutacheza, video huta edit etc.
Nikisema graphics Namaanisha Graphics card, Gpu, ni hardware inayo accelerate hizo graphics.Hivi kaka graphics ni hardware?
Je kwenye Pc yenye i5 ya 5th? Maana ana hp ya pro book 440. yaanu kigezo changu cha kwanza ni GTA V ku run smoothly .Unaweza Sema gta V litarun quality ndogo sana 480p ama 600p sikumbuki vizuri,