Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #1,581
bios inadili na input na output za pc. mfano wa input hizo ni kama cpu, ram, hdd etcSawa mkuu me bado na maswali kidg ivi nawezaje kuapdate bios na inakuwaje PC ukifanya update ya bios nin kinabadirika haswa
Ila pia nasikia inaweza kuharibu mashine hapa inakuwaje kuwaje kama utakosea aubios inadili na input na output za pc. mfano wa input hizo ni kama cpu, ram, hdd etc
unapo update bios inamaana inaongeza compability ya pc yako.
mfano gen ya 4 na ya 5 cpu zake zinaingiliana, cpu yako wewe ni gen ya 4, ina maana wakati unainunua bios zako zilikuwa programmed kuingia cpu za gen ya 4, ilivyotoka gen ya 5 mtengenezaji wa motherboard atakuwa ametoa updates ya bios ili kuongeza hio compability.
ku update unaenda website ya manufacture wa pc utakuta file la ku updetia, fuata maelekezo.
Ndio inaweza, sema labda uwe huko makini kupita maelezoIla pia nasikia inaweza kuharibu mashine hapa inakuwaje kuwaje kama utakosea au
Sawa mkuu na ili uwapdate unacho google ni nini CPU motherboard auNdio inaweza, sema labda uwe huko makini kupita maelezo
Kama Una Oem pc kama dell ama hp Google model ya pc, kama ni pc ya kutengeneza Google motherboard.Sawa mkuu na ili uwapdate unacho google ni nini CPU motherboard au
Hii ni laptop huwezi weka dedicated graphics.mkuu nina hii yenye hizi specification hapo chini, nilikuwa nataka kuiwekea dedicated graphics sasa swali ni jee inawezekana na kama ni ndio naomba gharama za graphics na kwa dodoma naweza pata au ndio mpaka niagize Dar.
Power Supply Unit ina 265WMkuu Chief-Mkwawa naomba saidia hapa Nina hii Dell Optiplex 390 MT Desktop computer ninahitaji ku-upgrade graphics card na Nina hii card ya AMD Radeon 5250 nafahamu ni card ya zamani ila nadhani itasaidia kwa matumizi ukilinganisha na inbuilt intel graphics ya hii machine
Tatizo langu: Nikiweka hii card kwa PC na nikiconnect HDMI cable kwenye HDMI port ya card! Nikiwasha machine inawaka kwa sekunde mbili bila kudisplay chochote kwa screen then inazima.
Ninachohisi kwa kupitia kwa comments zako kwenye uzi huu ni kuwa PSU inaweza kuwa ndogo ( 265W) haiwezi kuiaccomodate hii card!!??
Specifications za PC?
Intel(R) Core(TM) i5-2500 CPU @ 3.30GHz
RAM 8 GB
Windows version: Microsoft Windows 10 (10.0) Professional 64-bit (Build 19042)
Graphics Card: AMD Radeon hd5250 dedicated vram 2GB
Monitor
Model DELL ST2210 (Dell Computer)
ID DELA05A
Serial T502R997141U
Manufacturing Date Week 37, Year 2009
Size 21.7 inches
Max Resolution 1920 x 1080 @ 60 Hz
Horizontal Freq. Range 30-83 kHz
Vertical Freq. Range 50-76 Hz
Max Pixel Clock 170 MHz
Gamma Factor 2.2
Ulimaanisha HD 5450? Kama ni hii mkuu achana nayo haina issue yoyote, imepitwa nguvu hadi na gpu ya ndani ya i5 2500.Mkuu Chief-Mkwawa naomba saidia hapa Nina hii Dell Optiplex 390 MT Desktop computer ninahitaji ku-upgrade graphics card na Nina hii card ya AMD Radeon 5250 nafahamu ni card ya zamani ila nadhani itasaidia kwa matumizi ukilinganisha na inbuilt intel graphics ya hii machine
Tatizo langu: Nikiweka hii card kwa PC na nikiconnect HDMI cable kwenye HDMI port ya card! Nikiwasha machine inawaka kwa sekunde mbili bila kudisplay chochote kwa screen then inazima.
Ninachohisi kwa kupitia kwa comments zako kwenye uzi huu ni kuwa PSU inaweza kuwa ndogo ( 265W) haiwezi kuiaccomodate hii card!!??
Specifications za PC?
Intel(R) Core(TM) i5-2500 CPU @ 3.30GHz
RAM 8 GB
Windows version: Microsoft Windows 10 (10.0) Professional 64-bit (Build 19042)
Graphics Card: AMD Radeon hd5250 dedicated vram 2GB
Monitor
Model DELL ST2210 (Dell Computer)
ID DELA05A
Serial T502R997141U
Manufacturing Date Week 37, Year 2009
Size 21.7 inches
Max Resolution 1920 x 1080 @ 60 Hz
Horizontal Freq. Range 30-83 kHz
Vertical Freq. Range 50-76 Hz
Max Pixel Clock 170 MHz
Gamma Factor 2.2
Kweli eh basi nilivoona ina vRAM ya 2GB nikahisi inaweza kuwa afadhali kuliko hii integrated GPU..Basi bado nahitaji shule ya hizi cardUlimaanisha HD 5450? Kama ni hii mkuu achana nayo haina issue yoyote, imepitwa nguvu hadi na gpu ya ndani ya i5 2500.
vram ni term moja misleading sana mkuu. mfano hd 5450 inakuja na ddr2 ram, ipo slow kushinda ram za computer yako za ddr3.Kweli eh basi nilivoona ina vRAM ya 2GB nikahisi inaweza kuwa afadhali kuliko hii integrated GPU..Basi bado nahitaji shule ya hizi card
Mkuu ivi computer ikiwa inawaka inafika kwenye window loading inakata display shida inaweza kuwa nin au bios au..?vram ni term moja misleading sana mkuu. mfano hd 5450 inakuja na ddr2 ram, ipo slow kushinda ram za computer yako za ddr3.
tunakuwa na vram sababu ram za computer zipo slow na zinatumika na mambo mengi, gpu yenye ram ambazo ni slow kushinda za computer haitakusaidia kitu.
pia nimecheki 5450 inakuja na 512mb vram, hebu cheki vizuri jina la hio gpu.
Hao slickdeals ni genuine?used ni kubet mkuu,
ila kama unanunua abroad weka hela yako pembeni muda wowote, kila siku angalia slickdeals ama woot ama site zifananiazo, unaweza pata laptop kali kwa $300 kushuka.