korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
Nimemtafakari muda mrefu hyu jamaa usukute ni alien aiseee[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapo sikupng mkuu........haiwezekan yeye ...kila kitu anakijua [emoji23][emoji23]
Mkuu nimejaribu kila driver Ila bado inakataa yhn nikipiga driver tu inakataa kudisplay Ila ukitumia hdmi inaonesha Ila dvi inakataa hapa nin shida mkuuHD 5450 inakula watts 19 tu, hata ungekuwa na psu ya 180w inasukuma vizuri tu.
Hakikisha umeweka drivers zako vizuri.
Dvi ya monitor nayo ni Dvi D? Umejaribu kuikagua?Mkuu nimejaribu kila driver Ila bado inakataa yhn nikipiga driver tu inakataa kudisplay Ila ukitumia hdmi inaonesha Ila dvi inakataa hapa nin shida mkuu
Yeah mkuu ila kuna driver nimezipata nimeweka zimekubali mkuu asante sana[emoji120][emoji120][emoji120]Dvi ya monitor nayo ni Dvi D? Umejaribu kuikagua?
Hizi superslim mkuu zinaitwa ultra book kwenye laptop.Mkuu Chief-Mkwawa asante sana kwa elimu unayoitoa mkuu. Mimi naomba msaada wa mawazo. Nahitaji laptop mpya nzuri itakayoweza himili kazi nyingi. Budget yangu ni btw 2M - 2.5M (nitavutiwa zaidi kama itakua super slim)
Nawasilisha.
Shukrani mkuu. Nmekutana na spectre nmeielewa zaidi. Gen 10 corei7 si njema tu?Hizi superslim mkuu zinaitwa ultra book kwenye laptop.
Sababu budget yako ni kubwa mambo muhimu ya kuangalia ni kama
-iwe latest generation ya 11 core i7 ama i5, ama hizi Amd ryzen mpya 5000 series japo ni adimu sana kuzipata.
-ssd ya ukweli kama za Nvme
-wifi mpya ya kisasa kama wifi 6
-thunderbolt port etc.
Sijajua tu kama Una Angalia premium ama unataka pia ihimili mikiki mikiki.
Ila Kikawaida huwezi kwenda wrong kwa hizi series
-Asus Angalia ZenBook series
-dell Angalia xps series
-Hp Angalia Envy ama spectre
-Lenovo Angalia thinkpad X1
-Acer swift etc
Cha muhimu iwe latest gen ya Amd ama Intel.
Iv mku kwa processor ya i5 4gen naweza pata kwa budget gan maana iyo i7 naona budget zangu bado ziko low sana mkuu so ninge anza hata iyo ingekuwa njema kidgHizi superslim mkuu zinaitwa ultra book kwenye laptop.
Sababu budget yako ni kubwa mambo muhimu ya kuangalia ni kama
-iwe latest generation ya 11 core i7 ama i5, ama hizi Amd ryzen mpya 5000 series japo ni adimu sana kuzipata.
-ssd ya ukweli kama za Nvme
-wifi mpya ya kisasa kama wifi 6
-thunderbolt port etc.
Sijajua tu kama Una Angalia premium ama unataka pia ihimili mikiki mikiki.
Ila Kikawaida huwezi kwenda wrong kwa hizi series
-Asus Angalia ZenBook series
-dell Angalia xps series
-Hp Angalia Envy ama spectre
-Lenovo Angalia thinkpad X1
-Acer swift etc
Cha muhimu iwe latest gen ya Amd ama Intel.
Hakuna bei maalum unaweza pata ghali kuliko i7. Kikawaida bei za i5 ni around laki 3 mpaka 5 na i7 ni laki 6 kupanda, hizo ninazokuelekeza ni magumashi tu watu wanachomoa kwenye desktop.Iv mku kwa processor ya i5 4gen naweza pata kwa budget gan maana iyo i7 naona budget zangu bado ziko low sana mkuu so ninge anza hata iyo ingekuwa njema kidg
Ni mpya? Gen ya 10 ipi? Maana zipo mbiliShukrani mkuu. Nmekutana na spectre nmeielewa zaidi. Gen 10 corei7 si njema tu?
sawa mkuu unajua mpaka nikauliza kunaaptop za aina hii nimewahi ziona mtandaoni zina dedicated graphics sasa nikajua labda huwa wanaweka. Ila vipi kuhusu zilizo na dedicated huwa zinwekewa kutoka industry moja kwaojaHii ni laptop huwezi weka dedicated graphics.
Angalia kwenye ports hakuna ki port kidogo chenye alama ya radi?
Ndio zinawekwa moja kwa moja kiwandani, zinchomelewa kabisa.sawa mkuu unajua mpaka nikauliza kunaaptop za aina hii nimewahi ziona mtandaoni zina dedicated graphics sasa nikajua labda huwa wanaweka. Ila vipi kuhusu zilizo na dedicated huwa zinwekewa kutoka industry moja kwaoja
View attachment 1726577
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
bei zake zinakuwajeNdio zinawekwa moja kwa moja kiwandani, zinchomelewa kabisa.
Hio type C pia hutumia kuweka Graphics za nje ila zinakuwa na Bei sana, inabidi iwe type C ambayo ni USB 4 ndio ina built in thunderbolt 3.
Inategemea na hio dedicated, zipo za kila aina ambazo zipo slow za bei rahisi mapaka za mamilioni ya hela.
Mkuu ivi in kipi haswa chakufanya ukibadili processor kabla ya kuanza matumiz nayo au unatumia t ukishabadili?Inategemea na hio dedicated, zipo za kila aina ambazo zipo slow za bei rahisi mapaka za mamilioni ya hela.
Unatumia tu ukishabadili,Mkuu ivi in kipi haswa chakufanya ukibadili processor kabla ya kuanza matumiz nayo au unatumia t ukishabadili?
Mkuu nimepata hii..VP unavyo ona itafaa coz nimekuta hii moja tu zingne hamna 4gen adimu sana core i5 4570Unatumia tu ukishabadili,
Sema sometime ukiwa na Cpu mpya kubwa cooler ya zamani inaweza ikazidiwa na kupiga kelele, hivyo unatakiwa uibadili.
Ndio inafaa, bei kiasi gani? Maana i7 yake ni 80,000Mkuu nimepata hii..VP unavyo ona itafaa coz nimekuta hii moja tu zingne hamna 4gen adimu sana core i5 4570
View attachment 1727080
50,000_mkuu nimechukua!Ndio inafaa, bei kiasi gani? Maana i7 yake ni 80,000
Sio mbaya mkuu, hio Cpu ya zamani uzia hata mafundi kama wata itaka kupunguza cost.50,000_mkuu nimechukua!