Vangiporini
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 327
- 310
mkuu vipi kuhusu intel(R) celeron(R) cpu N3050 @1.6 ghz 1.6 ghz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya jamaa kupost hiyo link nkaenda huko michuzi, dah! kwa matangazo yale sirudi tena. Watu wanalizika kweli kweli..sio mimi kaka huyo,
dah nilikuwa sijaingia michuzi siku nyingi dah hii ni too much
juu kuna matangazo ya banner 17
pembeni kuna vitangazo 14
tona yote yameekwa kwa njia ambazo sio za kiprofessional hadi adblock inashindwa kuyatoa
hamna kitu hapo mkuu, kwa kifupi cpu zote zinazoanziwa na N mwanzon zina core za Atom ambazo hazina nguvu kabisa. uzuri wake zinakula umeme kidogo watts 2 hadi 10 na zinakaa sana na charge ila perfomance yake ni ovyomkuu vipi kuhusu intel(R) celeron(R) cpu N3050 @1.6 ghz 1.6 ghz
Mkuu kuna moja katika kutaka kununua pc.nimekutana na hii kwa 450k kama nilivokuomba ushuri vp hapaikiwa imewashwa nenda sehemu ya search andika neno dxdiag kitakuja hiko kiprogram, click itakuonesha cpu, gpu, audio, input etc
kama haijawashwa ni kuangalia either sticker pale mbele au kuangalia kwenye kitako model number na kuigoogle.
ila tu kuwa makini gpu haiangaliwi kwa vram, ikiwa na ram kubwa haimaanishi kwamba ndio nzuri kama watu wengi walivyozoea
kua mashine hiyo. 3rd generation sio mbaya.Mkuu kuna moja katika kutaka kununua pc.nimekutana na hii kwa 450k kama nilivokuomba ushuri vp hapaView attachment 397972
mkuu sio mbaya sana ila games za kisasa kama gta v sahau. hio ni 3rd generation. tafuta kuanzia 4th gen gpu kama hd4600 utacheza vizuri games kubwa kubwa kwa low settingMkuu kuna moja katika kutaka kununua pc.nimekutana na hii kwa 450k kama nilivokuomba ushuri vp hapaView attachment 397972
Hyo hd 4600 naiangalia sehemu gani mkuu?mkuu sio mbaya sana ila games za kisasa kama gta v sahau. hio ni 3rd generation. tafuta kuanzia 4th gen gpu kama hd4600 utacheza vizuri games kubwa kubwa kwa low setting
Chief kwa bajeti ya 700k naweza kupata pc nzuri yenye nguvu, performance kubwa, kasi ya ajabu na inayocheza games kubwa kama gta 5 kwa resolution kubwa bila shida??mkuu sio mbaya sana ila games za kisasa kama gta v sahau. hio ni 3rd generation. tafuta kuanzia 4th gen gpu kama hd4600 utacheza vizuri games kubwa kubwa kwa low setting
washa pc search neno dxdiag utaletewa specs zote.Hyo hd 4600 naiangalia sehemu gani mkuu?
huwezi kupata laptop inayocheza gta v kwa resolution kubwa kwa chini ya milioni 2 hapa bongo.Chief kwa bajeti ya 700k naweza kupata pc nzuri yenye nguvu, performance kubwa, kasi ya ajabu na inayocheza games kubwa kama gta 5 kwa resolution kubwa bila shida??
Nitashukuru kama utanitajia aina ya pc na mahali ninakoweza kuipata.
Vipi hizo za resolution ndogo??huwezi kupata laptop inayocheza gta v kwa resolution kubwa kwa chini ya milioni 2 hapa bongo.
Chief Kama hutojali naomba unisaidie aina za pc kulingana na hii picha hapa chinihuwezi kupata laptop inayocheza gta v kwa resolution kubwa kwa chini ya milioni 2 hapa bongo.
minimum ni i3 kuanzia 4th generation inayoishiwa na m au i3 ya 6th generation kwa zinazoishiwa na u. huo ni upande wa cpu.Chief Kama hutojali naomba unisaidie aina za pc kulingana na hii picha hapa chiniView attachment 398327
mkuu kibishi bishi utacheza around 20fps low setting sema muda mwengine zinadrop zaidi na kunasa nasa cheki gameplay ya specs zakomkuu nimejipatia hio , siwez kupush gta v hata kwa low specs kweli
mkuu kibishi bishi utacheza around 20fps low setting sema muda mwengine zinadrop zaidi na kunasa nasa cheki gameplay ya specs zako
sema huyo jamaa ram yake ni 4gb ambayo ipo shared kwenye gpu na cpu hivyo haitoshi kwa gta v ukiongeza hadi 6gb perfomance itaongezeka.
pia hakikisha slot zote mbili za ram umeeka ram ili ufaidike na dual chanell, ukieka ram moja perfomance hushuka pia
mkuu kibishi bishi utacheza around 20fps low setting sema muda mwengine zinadrop zaidi na kunasa nasa cheki gameplay ya specs zako
sema huyo jamaa ram yake ni 4gb ambayo ipo shared kwenye gpu na cpu hivyo haitoshi kwa gta v ukiongeza hadi 6gb perfomance itaongezeka.
pia hakikisha slot zote mbili za ram umeeka ram ili ufaidike na dual chanell, ukieka ram moja perfomance hushuka pia
mkuu kibishi bishi utacheza around 20fps low setting sema muda mwengine zinadrop zaidi na kunasa nasa cheki gameplay ya specs zako
sema huyo jamaa ram yake ni 4gb ambayo ipo shared kwenye gpu na cpu hivyo haitoshi kwa gta v ukiongeza hadi 6gb perfomance itaongezeka.
pia hakikisha slot zote mbili za ram umeeka ram ili ufaidike na dual chanell, ukieka ram moja perfomance hushuka pia
mkuu kibishi bishi utacheza around 20fps low setting sema muda mwengine zinadrop zaidi na kunasa nasa cheki gameplay ya specs zako
sema huyo jamaa ram yake ni 4gb ambayo ipo shared kwenye gpu na cpu hivyo haitoshi kwa gta v ukiongeza hadi 6gb perfomance itaongezeka.
pia hakikisha slot zote mbili za ram umeeka ram ili ufaidike na dual chanell, ukieka ram moja perfomance hushuka pia
cpu nzuri ila hio gpu ni dhaifu sana, hio ni 2nd gen tafuta tu 4th gen mkuuVipi hii unaizungumziaje mkuu??View attachment 399453
mkuu hiyo GPU umeiangaliaje????? Naomba msaada please....cpu nzuri ila hio gpu ni dhaifu sana, hio ni 2nd gen tafuta tu 4th gen mkuu
search neno dxdiag kwenye pc yako utaionamkuu hiyo GPU umeiangaliaje????? Naomba msaada please....