Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

Kwa computer ukiwa desktop right click utapata option ya kwenda setting za graphics na kubadili resolution. Sababu wewe Una gpu ya Amd tumia options za Amd jaribu ku tweak tweak humo ndani kama itasaidia.

Na kwa HDMI hukutakiwa kuwa na chenga chenga Sababu ni digital, somewhere kuna tatizo.
Mkuu hili ishu iko kwa wengi sijajua kwako embu siku jaribu. Yaani kunakuwana chenga chenga. Wakati kwa vga picha inakuwa nzuri.
 
na wewe una Amd ama Nvidia? sina tv ya kutestia, nina monitor tu ya dp
Mkuu kuna PC nimenunua kwa mtu ....ila alikua anatumia window 7 ...... Coz yeye alikua anatumia tu kuchek movie ila mim ntatumia kwa mambo ya shule ,je naweza kupiga window 10 ........au hakuna madhara nikiendelea na hii window 7 ..........

Pia program ya Microsoft word office 2007 haipo .,..je ntaipataje híii. .msaada tafadhar
 
Mkuu kuna PC nimenunua kwa mtu ....ila alikua anatumia window 7 ...... Coz yeye alikua anatumia tu kuchek movie ila mim ntatumia kwa mambo ya shule ,je naweza kupiga window 10 ........au hakuna madhara nikiendelea na hii window 7 ..........

Pia program ya Microsoft word office 2007 haipo .,..je ntaipataje híii. .msaada tafadhar
Ndio minimum specs za win 7 ni sawa na win 10.


Office download torrent za 2007 zimejaa kibao tu.
 
na wewe una Amd ama Nvidia? sina tv ya kutestia, nina monitor tu ya dp
Ila kwa njia ingine tunaweza kusema ni mazoeya coz kuna utofaut kat ya tv na monitor kwenye utoaji wa picha ndio maana tv uwezi tumia ukiwa karibu tofaut na monitor hii imenifany niwe na kaa mbar na tv ili kupata picha nzuri ila kwa monitor ilikuw nakaa karbu tu
 
Hili hata mimi lilinikuta wakati natumia hdmi, kama tv yako ina sehemu ya vga,tumia vga unapata picha nzuri.
Hili nilikuta kila anayetumia hdmi kuoeleka picha kwenye tv kutoka laptop au desktop picha inakuwa mbaya.
Yangu haina asee ila now kidogo naona sio mbay nime angaika angaika kuset hatimaye imetulia now
 
Ila kwa njia ingine tunaweza kusema ni mazoeya coz kuna utofaut kat ya tv na monitor kwenye utoaji wa picha ndio maana tv uwezi tumia ukiwa karibu tofaut na monitor hii imenifany niwe na kaa mbar na tv ili kupata picha nzuri ila kwa monitor ilikuw nakaa karbu tu
Siku hizi LG Ana TV nyingi ambazo unaweza tumia kama Monitor sema bei zake hela ndefu sana. Tusubiri mtumba tu.
 
Inaweza kufika shingapi mkuu kwa makadirio ya chini
-Nano TV zina anzia around 1.5m hivi. Hizi Zina inputs kama za monitor bila Lag ila quality ni ya kawaida Sababu sio za Oled. Kifupi zipo overpriced Sababu ya hii function.

-Zenye oled na input ndogo zenyewe zina quality kubwa na functions za monitor vyote unapata. Hizi bei zake zina anzia milioni 3 kupanda. Mfano cx 48
 
Wakuu anayefahamu wapi naweza kupata 4K ultra wide monitors (curved) au kuagiza na bei zake zipo vp.
 
Mkuu nina laptop ambayo ina tundu la hdmi. Ila kunauwezekano ikapatikana hdmi to vga cable??*)
Zipo ila ngumu sana kupata, nyingi ni VGA kwenda HDMI.

Jaribu kwenda uhuru na Congo mita a ile.
1. Hakikisha ni adapter na sio waya mtupu.

2. Waya utakuwa wa hdmi na mdomo uwe VGA kama hivi.

img.aspx


Recommended price 15k
 
Wakuu anayefahamu wapi naweza kupata 4K ultra wide monitors (curved) au kuagiza na bei zake zipo vp.
Around milioni huko ughaibuni, Tena brand ndogo, brand kama LG ni around 1.2m

Uzito ni around kilo 10, hivyo andaa kama laki 6 hivi usafirishaji.

Hivyo kuleta bongo itakucost around 2m.

Kenya naziona around 60k ambayo ni 1.2m ya huku.
 
Around milioni huko ughaibuni, Tena brand ndogo, brand kama LG ni around 1.2m

Uzito ni around kilo 10, hivyo andaa kama laki 6 hivi usafirishaji.

Hivyo kuleta bongo itakucost around 2m.

Kenya naziona around 60k ambayo ni 1.2m ya huku.
Mbona zina bei sanaa ivo wazee duuh! Na hapo unakuta ni nnch 24 tu hiyo
 
-Nano TV zina anzia around 1.5m hivi. Hizi Zina inputs kama za monitor bila Lag ila quality ni ya kawaida Sababu sio za Oled. Kifupi zipo overpriced Sababu ya hii function.

-Zenye oled na input ndogo zenyewe zina quality kubwa na functions za monitor vyote unapata. Hizi bei zake zina anzia milioni 3 kupanda. Mfano cx 48
Kuna matoleo flani ya Sony bravia ya mwaka 2012 hadi 2014 ni nzuri ajabu. Nilizikuta kwa wapemba mbweni. Ukizitumia kama monitor zina quality ambayo si inchi hii. Zina hdmi na vga ports. Na zina support 1080p/1080i
 
Kuna matoleo flani ya Sony bravia ya mwaka 2012 hadi 2014 ni nzuri ajabu. Nilizikuta kwa wapemba mbweni. Ukizitumia kama monitor zina quality ambayo si inchi hii. Zina hdmi na vga ports. Na zina support 1080p/1080i
Hii nilipata huko huko. Hapo nmeunganisha na laptop via vga. Nilishangazwa na quality yake
JamiiForums-921598255.jpg
 
Back
Top Bottom