Daah nimekumbuka mbali Sana na ist ya mtu nilikimbia huku sijui ninakoelekeaVideo hii hapa chini inaonyesha akiwa amewehuka, inasikitishaView attachment 1877604
Hahaha huyo sio kwamba kawa chizi. We unazani lishakukuta kama hilo unafanyaje. Lazima ujifanye chizi dadeqHabari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka...
Kwanini umesema hivi?unadhani mwenye gari hiyo anashindwa kwa mwaka kulipa 980K au 1.2mill iwe ulinzi wake kwenye emergency kama hizi?Hata bima haina msaada hapo.
Tuheshimu mali za watu.
Ila yuko vizuri kwenye mazoeziHabari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka...
Haiwezi kumsaidia kwakua hakua anaendesha yeye.Kwanini umesema hivi? unadhani mwenye gari hiyo anashindwa kwa mwaka kulipa 980K au 1.2mill iwe ulinzi wake kwa emergency kama hizi?
Then kama analipa hivi kwanini isiwe msaada kwake?
Sio haki kabisaHaiwezi kumsaidia kwakua hakua anaendesha yeye.
Apelekwe olimpiki kwenye sarakasiVideo hii hapa chini inaonyesha akiwa amewehuka, inasikitishaView attachment 1877604
Lete hekayaDaah nimekumbuka mbali Sana na ist ya mtu nilikimbia huku sijui ninakoelekea
Una idea yoyote labda kuhusu masuala ya bima?Haiwezi kumsaidia kwakua hakua anaendesha yeye.
Hata ukiwa na premium, hapo kosa ni la mwenye gari. Utampaje funguo jamaa ambaye ukute hana hata leseni ya kuendesha chombo cha moto? Ni shida. Hapo ahesabu hasaraHabari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.
View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.
Bima haiangalii nani alikuwa anaendesha bali inangalia aliyekuwa anaendesha alikuwa na leseni sahihi ya kuendesha chombo husikaHaiwezi kumsaidia kwakua hakua anaendesha yeye.
Huyu dogo waende naye tu, kama vipi wafungulie faili milembe wajiridhishe kama kachizika kweli, wagharamie matibabu halafu arudi kulipa deni🤣Hahaha huyo sio kwamba kawa chizi. We unazani lishakukuta kama hilo unafanyaje. Lazima ujifanye chizi dadeq
Hivi dogo wa car wash anaweza kulipa gharama ya Ranger ya zaidi ya 100 milioni? Be serious manHuyu dogo waende naye tu, kama vipi wafungulie faili milembe wajiridhishe kama kachizika kweli, wagharamie matibabu halafu arudi kulipa deni🤣