Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Muosha Magari apatisha ajali gari lenye thamani zaidi ya Milioni 100. Akutwa anaruka sarakasi

Kuyumba mwonekano wa awali nilazima
Vaa uhalisia ndo upo kwenye dinga na hujui kuendesha imetokea hivyo

Uwe ndo wewe [emoji239][emoji239][emoji239][emoji239][emoji239][emoji28][emoji239][emoji239][emoji239]
 
Habari wakuu, tunakumbushana kuweni makini na waosha magari mnapowaachia funguo wakati wa kuosha dinga zenu, Jamaa kapeleka gari aina ya Ford Ranger carwash huku Dom kaacha funguo na kuondoka, mwoshaji kamaliza akachukua ford ranger ya Mteja kwenda kutamba nalo, kilichotokea kala mzinga ndinga haitamaniki yeye kapata uchizi wa ghafla.

View attachment 1877570View attachment 1877572
View attachment 1877571
Huyu jamaa mwenye kibukta ndo mwoshaji, hiyo video ndo inaonyesha kichaa cha ghafla alichopata, sipati picha mmiliki ana hali gani hiki ndo ukute alikuwa na third party tu.
Hii ya third part ni section A, section B ni kama gari ni ya mkopo na bado unakatwa kwenye mshahara. Kila mwezi wanalamba laki mbili na nusu.
 
Kuyumba mwonekano wa awali nilazima
Vaa uhalisia ndo upo kwenye dinga na hujui kuendesha imetokea hivyo

Uwe ndo wewe [emoji239][emoji239][emoji239][emoji239][emoji239][emoji28][emoji239][emoji239][emoji239]
Hakuna chiz hapo, ni maigizo tu!
Huyo kachanganyikiwa.. Kuna mmoja alifanya tukio kama hilo ni houseboy.. Yeye baada tu ya kuwasha akaweka rivasi akakanyaga mafuta..gari ikarudi nyuma mpaka geti la jirani
Ku on a kakosea akaweka D gari ikarudi ilipotoka na kutua kwenye kiambaza..gari ilikuwa GX90 baloon ikawa kama beetle .. Aliposhuka akaanza kukimbia mtaani huku akipiga kelele kuwa sio yeye
 
Hugo kachanganyikiwa.. Kuna mmoja alifanya tukio kama hilo ni houseboy.. Yeye baada tu ya kuwasha akaweka rivasi akakanyaga mafuta..gari ikarudi nyuma mpaka geti la jirani
Ku on a kakosea akaweka D gari ikarudi ilipotoka na kutua kwenye kiambaza..gari ilikuwa GX90 baloon ikawa kama beetle .. Aliposhuka akaanza kukimbia mtaani huku akipiga kelele kuwa sio yeye
[emoji3] sio yeye ni nan sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hugo kachanganyikiwa.. Kuna mmoja alifanya tukio kama hilo ni houseboy.. Yeye baada tu ya kuwasha akaweka rivasi akakanyaga mafuta..gari ikarudi nyuma mpaka geti la jirani
Ku on a kakosea akaweka D gari ikarudi ilipotoka na kutua kwenye kiambaza..gari ilikuwa GX90 baloon ikawa kama beetle .. Aliposhuka akaanza kukimbia mtaani huku akipiga kelele kuwa sio yeye
tena hajaulizwa bado itabidi ataje sasa nan alikuwepo yeye tu
 
Kuna fundi garage alikua anatest carna ya mwanajeshi mmoja si akaitwanga kwenye daraja mpka Leo jamaa zimeruka mazima na ilkua hivi hivi kama masiara kumbe ndio kachizi kweli tuheshimuni mali za watu maana ukipiga hesabu wewe hata nauli ya kurudi gheto huna alafu umeutwanga chini mzigo wa mtu lazima plug moja ifyatuke kichwani
 
Kuna fund garage alkua anatest carna ya mwanajesh mmoja s akaitwanga kwenye daraja mpka Leo jamaa zmeruka mazima na ilkua hiv hiv kama masiara kumbe ndio kachiz kwel tuheshimuni mal za watu mana ukipga hesabu wew hata naul ya kurud getho huna alafu umeutwanga chin mzgo wa mtu lazma plug moja ifyatuke kichwan
Kwa hiyo siku ile walihisi anaigiza? Kumbe akili zimefyatuka mazima
 
Mbona nime skia huyo mwosha magari ali wehuka kabla hata ya kuondoka na hiyo gari na saizi yupo milembe.

IMG-20210802-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom