HSIRAJI
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 745
- 1,550
KABLA ya kujibu fikria aiseeAnaweza mbona njia zipo nyingi yeye anachagua njia convenient Tu.
1.Kuuza Tigo Kwa mabosile
2.Kubebeshwa madawa
3.kuuza viungo vya mwili
Etc. Etc.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KABLA ya kujibu fikria aiseeAnaweza mbona njia zipo nyingi yeye anachagua njia convenient Tu.
1.Kuuza Tigo Kwa mabosile
2.Kubebeshwa madawa
3.kuuza viungo vya mwili
Etc. Etc.
Duh, Noma sanaAnaweza mbona njia zipo nyingi yeye anachagua njia convenient Tu.
1.Kuuza Tigo Kwa mabosile
2.Kubebeshwa madawa
3.kuuza viungo vya mwili
Etc. Etc.
Kwa ajali hiyo bado anauwezo wa kuruka sarakasi!?Video hii hapa chini inaonyesha akiwa amewehuka, inasikitishaView attachment 1877604
Ukisikia defence mechanism ndiyo hii😂😂Video hii hapa chini inaonyesha akiwa amewehuka, inasikitishaView attachment 1877604
Nani wewe au?KABLA ya kujibu fikria aisee
Mkuu sio suala la nguvu hata huwez toa maoni MWANAUME mwenzako akauze tigo Ili alipe samahan lakin najua moyo wako pia. Unajua kama umekoseaNani wewe au?
anaonekanaje mkuu? haki nimechekaNi nani atakayethibitisha lengo la hiyo ajali ilikuwa kuteketeza gari makusudi ili kulipwa jipya?
Shida ipo hapo kama msababisha ajali hakuwa na leseni (obviously kwa muonekano huo license hawezi kuwa nayo) ila kama ana leseni huyo analipwa.
Umemjibu vyema yeye mzee wake ndo kamwambia hivyoo. Alimwambia hivyoo maana anajua mtoto wake Hamna kitu anajua zaidi ya kuangalia tamthilia za kifipino na kuvaa suruale zilizo chanika chanika.Iko hivi, Bima ndogo (3rd Party Insurance) maana yake ni kuwa haitengenezi chombo husika BALI ukigonga chombo kingine, yenyewe itatengeneza kile chombo kingine pekee tena kutegemeana na uharibifu. Huyo aliye waambia hivyo aliona asipoteze muda wake kuwaelimisha.
Shetani akasingiziwa[emoji23][emoji23][emoji23]
KabisaUkute Ilikuwa amedhurumu hapo??
Shetani[emoji23][emoji23][emoji23]tena hajaulizwa bado itabidi ataje sasa nan alikuwepo yeye tu
Asante kwa taarifaMbona nime skia huyo mwosha magari ali wehuka kabla hata ya kuondoka na hiyo gari na saizi yupo milembe.
View attachment 1878161
Mshana umeshahitimisha.Haya ndio madhara ya kupata mali kwa njia ambazo zina mazonge
Jamaa alitaka kuruka ya nyuma akili ikamrudi kua hajui atavunja shingo akaacha,. Huyu ni wakutia virungu akili itakaa sawaWeeeh hapo parefu hata mimi ningepiga sarakasi tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa alitaka kuruka ya nyuma akili ikamrudi kua hajui atavunja shingo akaacha,. Huyu ni wakutia virungu akili itakaa sawa
Hahahhaha mambo mengine yanachekesha ila ni mahatmaDaah nimekumbuka mbali Sana na ist ya mtu nilikimbia huku sijui ninakoelekea
Utamu zaidi ni kwamba aligongana na gari nyingine pia pale mbele ya kona ya morena njia ya kuelekea Makulu/UDOMHivi dogo wa car wash anaweza kulipa gharama ya Ranger ya zaidi ya 100 milioni? Be serious man