Muro : Pesa za CAF tutailipia Simba SC deni la Musoti

Kwani ule ujenzi wa Jangwani Complex bado upo kwenye hatua ya upembuzi yakinifu? Kwa nini hizo hela wanazotaka kumlipa Mosoti wasianze kumwaga kifusi pale Jangwani ili wajenge huo uwanja wenye hostel na kila kitu?
 
Msemaji wa klabu ya Yanga Jerry Muro amesema watawalipia klabu ya Simba deni wanalodaiwa na Mkenya Mosoti kwa kuwa ghawataki Simba washuke daraja na mpira ni umoja na kusaidiana,

Ikumbukwe kuwa Simba waliamrishwa na FIFA walipe deni hilo la sivyo watashushwa daraja.
Msikilize Jerry Murro hapa
 
Jerry Muro ananirudisha enzi zile makabila yetu jinsi yalivokuwa yakitaniana hadi misibani........yaani mtu una uchungu wakufiwa lakini mtani wako anakuja kukuongezea uchungu zaidi na hauwezi rusha ngumi maana unajua na wewe ipo siku utarudisha ama mwenzako ndo anrudisha hivyoo wakati wako wakutania ulishapita
 
Hivi wachaga nao wanaimba taarabu? Huyu Jane muro an anafanya nizidi kuchikia yanga, hachoki kuimba chimba chimba chimba, akilala chimba, akiamka chimba, aaaaaaa too much is harmful bhana.
 
Wapi Haji Manara?
Barua za viporo alipeleka mwenyewe hadi kwa Nape. Na hii, apeleke mwenyewe ofisi za Yanga! Teh teh teh
 
Aaaaa hii sasa kalj kuliko!amenikumbusha wazili wa habar wa Irak pind inapigana na mmarekan wakat wa utawala wa Bush jamaa alikua na bit balaa.Saf sana Jmulo
 
Wanalamba shilingi ngapi?
...kwa kuingia tu hatua ya makundi wana uhakika wa kupata milioni 320 km watakuwa wa mwisho kwenye kundi, milioni 513 km watakamata nafasi ya tatu!, wacha watutukane tu,mpk yale matapeli yetu yaondoke pale msimbazi!
 
Kwanza huu mpira ameanza kuushabikia lini? Maana tunasikia habari zake zaidi kuliko hata za Yanga. Too much is harmful, lkn ni vzr hata yeye anaonekana kuanza kulielewa na kuchukua hatua stahiki kama ile ya jana ya kujiombesha msamaha.

Wakati watu wote nchini issue kubwa ilitakiwa iwe ni Yanga kufuzu lkn Simba ndio inatajwa zaidi kufanya kwake vibaya kwenye ligi as if imeshuka daraja
 
Kipofu kaona mwezi! Haya matusi si tabia ya timu kubwa ya Simba. Endeleeni kutukana maana mnaonja ladha ya fedha za CAF.
Sisi ndio tulikuwa wa kwanza kula fedha za CAF 1998 miaka mitano baaadaye mwaka 2003 ndipo mlipojitutumua na kula fedha mara moja na mwisho hadi leo. Acha ushamba! Leteni makaratasi (invoices) tuwalipie deni lenu mbaki ligi kuu ili mwaka kesho tujichukulie pointi zetu 6.
 
Subiri tunamwangalia tu huyu muro cha moto atakiona.Simba kwanini tunaruhusu dharau kama hizi lakini?
Hizi dharau zitaendelea kuwa juu yenu hadi hapo mtakapobadilisha viongozi. Kwa hawa waliopo jina la Simba litaendelea kupigwa vijembe na kejeli za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…