mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ameen mungu amusaidieDuh,hatari sana ,mungu amusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameen mungu amusaidieDuh,hatari sana ,mungu amusaidie
Naweza kuja kwenye inbox yako?Nimebahatika kuona clip ya mzalendo huyu kuhusiana na TRA, sio rocket science, huyu mzalendo ametekwa na TRA, na mbaya zaidi awamu hii nayo hii itakua cold case kama ya yule mzazi aliyefiwa na binti yake pale Lindi shuleni, TRA hasa HQ kuna mtu/watu wanajua mzalendo huyu yupo wapi
👍...!Nimebahatika kuona clip ya mzalendo huyu kuhusiana na TRA, sio rocket science, huyu mzalendo ametekwa na TRA, na mbaya zaidi awamu hii nayo hii itakua cold case kama ya yule mzazi aliyefiwa na binti yake pale Lindi shuleni, TRA hasa HQ kuna mtu/watu wanajua mzalendo huyu yupo wapi
Je, unazo a, b, c kuhusiana na hili suala?Paulo yupo wapi!?.mmechunguza kama alikuwa na ugomvi na huyu Paulo mwenyezi!? Hebu anzieni hapo
Ni binadamu hatari yuleJe, unazo a, b, c kuhusiana na hili suala?
Utekaji umeanza tena!Ndugu MUSA VENERABLE MZ1BA Mfanyabishara mwenye Umri wa Miaka 37 anae miliki Kampuni ya Mzibaz Empire Investments Ltd AMECHUKULIWA NA WATU WASIOJULIKANA TAR: 07 DISEMBA mida Ya Saa 2 Usiku, akiwa Maeneo ya Ofisini Kwake Mikocheni.
Familia Inaomba sana Msaada Kwa Jeshi La polisi @policetanzania Kuwasaidia Kufanikisha Kumpata Ndugu/jamaa/Baba Yao KIN/CID/PE 1.68 / 2023 JALADA LA UCHUNGUZI 12.12.2023 DYB / RB / 7972 / 2023
TAARIFA
Mwenye Taarifa yoyote Tafadhali wasiliana kwa Namba: 0713437374 Au 0683520687
MWENYEZI MUNGU ABARIKI NDUGU YETU MUSA MZIBA APATIKANE AKIWA SALAMA.
@policetanzania @ikulumawasiliano
View attachment 2842686View attachment 2842687
Exactly mkuu,but police wa wapi hawa?,hadi leo nchi haina DNA lab kwa ajili ya kusaidia hizi case, why police wategemee ofisi ya mkemia wa taifa?,mkuu hii ni cold case na nasikitika mno kwa familia yake, itakua Sawa na Mr.Saanane, Mr.Azory,families, ehe Mwenyezi Mungu wape closure hizi families zilizopotelewa na wapendwa wao👍...!
Polisi ianzie hapa.
Kampuni yake ilikuwa inahiahugulisha na nini mkuu ???Naweza kuja kwenye inbox yako?
Itakuwa mambo ya mabusinesswamezidiana mgaoo....nikoopalee
Nazoom
No mkuu huyu ni wale wazalendo ambao awamu iliyopita angesikilizwa na kuupata ukweli, huyu ni whistle-blower for now hadi TRA waje na story kuhusu hili kwa upande wao, for now TRA wanajua huyu mzalendo yupo wapiItakuwa mambo ya mabusiness
Ova
Jitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka niniKampuni yake ilikuwa inahiahugulisha na nini mkuu ???
Ova
Unaweza ntumia link pm nichekiJitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka nini
Ila jamaa anashugulika na biashara gani labdaJitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka nini
Ndani ya katiba kuna ulinzi na usalama, inawezekana kwa sasa hauwezi kulazimisha kampuni za simu kukagua mawasiliano kati yake na wengine.unataka kusema dawa ya kukomesha utekaji ni Katiba ya Warioba na Tume huru
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app