Musa Venerable Mziba hajapatikana. Polisi waombwa msaada

Naweza kuja kwenye inbox yako?
 
👍...!
Polisi ianzie hapa.
 
Utekaji umeanza tena!
 
👍...!
Polisi ianzie hapa.
Exactly mkuu,but police wa wapi hawa?,hadi leo nchi haina DNA lab kwa ajili ya kusaidia hizi case, why police wategemee ofisi ya mkemia wa taifa?,mkuu hii ni cold case na nasikitika mno kwa familia yake, itakua Sawa na Mr.Saanane, Mr.Azory,families, ehe Mwenyezi Mungu wape closure hizi families zilizopotelewa na wapendwa wao
 
Jitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka nini
Unaweza ntumia link pm nicheki


Ova
 
Jitahidi upate ile clip ,aliyoitengeneza ili Mh.Rais aione, naamini atakua ameiona na anafanya utafiti kujua ukweli upo wapi, President Magufuli angeshatoa uamuzi kuhusu ukweli wa hili, ila tusubiri serikali itatamka nini
Ila jamaa anashugulika na biashara gani labda

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…