Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe waluya hawazidi 200000.Bw.Mudavadi akijiunga na Bw. Ruto/ Uhuru maanake ni kwamba Waluya wote wanafwata nyuma!
Kumbe waluya hawazidi 200000.
Muungano wa vyama vinavyo unda kundi la AMANI chini ya Mutharia Mudavadi aliyekuwa mshindi wa tatu wameamua kujiunga na umoja wa JUBILEE wa rais mteule Uhuru Kenyatta na kuwa turufu kwa jubilee kama mahakama itaamua uchaguzi kurudiwa.chanzo Citizen Tv
ni kwamba kuna kama vyama tisa kwa ujumla na vilivyo kuwa ndani ya muungano wa amani chini ya mudavadi vimeamua kujiunga kwenye muungano wa jubilee
Muungano wa vyama vinavyo unda kundi la AMANI chini ya Mutharia Mudavadi aliyekuwa mshindi wa tatu wameamua kujiunga na umoja wa JUBILEE wa rais mteule Uhuru Kenyatta na kuwa turufu kwa jubilee kama mahakama itaamua uchaguzi kurudiwa.chanzo Citizen Tv
Bw.Mudavadi akijiunga na Bw. Ruto/ Uhuru maanake ni kwamba Waluya wote wanafwata nyuma!
It means that oposition strong holds will be negleted it term of development.haya sasa wale ambao hawakumpigia uhuru kura imekula kwenu.tangazeni nchi yenu.
Dahh siasa za afrika kama Gari la mkaa
Kaka Marco huwezi kutenganisha Amani na Masalia,au Masalia na AmaniJaribu kuisoma vizuri hiyo taarifa ili upate uhalisia wa habari yenyewe. Walioungana na Uhuru ni AMANI au ni Mudavadi as a person?
Sidhani hivyo Waluhya wamemkataa na watazidi kumkataa Masalia MuDVD,nawaambia MuDVD atatangatanga nyikani lakini hataiona KanaanBw.Mudavadi akijiunga na Bw. Ruto/ Uhuru maanake ni kwamba Waluya wote wanafwata nyuma!