BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
- Thread starter
- #61
Wanasiasa na wala si wasomi ndio wanaosababisha matatizo chungu nzima Tanzania. Wasomi wengi wameshajiondokea au wako mbioni kujiondokea na huko waliko wanafanya mavitu babu kubwa kimya kimya na wanathaminiwa. Hawa wanasiasa uchwara ndio chanzo cha matatizo yetu chungu nzima, kama hutaki kuamini hivyo utajiju...nimeshakupa mifano hai ya jinsi wanasiasa wanavyoiangamiza Tanzania.
Karamagi pale madini kishavurunda vya kutosha, Balali pale BOT kishavurunda vya kutosha na kuna ushahidi tosha wa kumfungulia mashtaka, Meghji pale Fedha kishavurunda vya kutosha na baadhi ya mawaziri wengine pia wamevurunda, lakini "Msomi" wetu kawaacha wandelee kupeta pamoja na manung'uniko chungu nzima toka kwa wananchi...Oops! I forgot that the wasomi are the one to blame for many problems in our beloved country....🙂
Mtu anataka tu kuwa Rais wa nchi au Waziri mkuu wala hana sera zozote bali ni alinacha tu, huko kote alikopita aliacha madudu tu hakuna chochote alichonafanikisha na kwa kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu hatuwahoji watu hawa mbona huko kote mlikopita mlifanya madudu na nafasi hizo zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na Urais au Uwaziri Mkuu? Bali tunawapa nafasi hizo na kisha kuimba nyimbo za Komba nyingi CCM ni nambari one (nambari one kwa kuiangamiza nchi), anameremeta wakati nchi inaendelea kudumaa!
Karamagi pale madini kishavurunda vya kutosha, Balali pale BOT kishavurunda vya kutosha na kuna ushahidi tosha wa kumfungulia mashtaka, Meghji pale Fedha kishavurunda vya kutosha na baadhi ya mawaziri wengine pia wamevurunda, lakini "Msomi" wetu kawaacha wandelee kupeta pamoja na manung'uniko chungu nzima toka kwa wananchi...Oops! I forgot that the wasomi are the one to blame for many problems in our beloved country....🙂
Mtu anataka tu kuwa Rais wa nchi au Waziri mkuu wala hana sera zozote bali ni alinacha tu, huko kote alikopita aliacha madudu tu hakuna chochote alichonafanikisha na kwa kuwa Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu hatuwahoji watu hawa mbona huko kote mlikopita mlifanya madudu na nafasi hizo zilikuwa ni ndogo ukilinganisha na Urais au Uwaziri Mkuu? Bali tunawapa nafasi hizo na kisha kuimba nyimbo za Komba nyingi CCM ni nambari one (nambari one kwa kuiangamiza nchi), anameremeta wakati nchi inaendelea kudumaa!