Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
1471576860247.jpg

Pamoja na mambo yake mabaya mengi tu hasa ya kubinya demokrasia, Museveni ameweza kufanya kilichowashinda marais wengi wa kiafrika, ametunga sheria rasmi ya mambo yote yanayohusiasa na ushoga.
Vita ilikuwa kali, vitisho vilikuwa vingi lakini alishikilia msimamo wake.

Wengi wa viongozi wetu hawako tayari kuona ushoga unashaniri kwenye nchi zao, hawapendi kabisa lakini misaada inawaponza, wakitishwa kidogo tu wanakaa kimya huku wakikwepa kabisa kulizungumzia hilo jambo.

Misaada! misaada! misaada! Ndio pingu na gereza la kuifunga Afrika mpaka inashindwa kujiamulia mambo yake mengi kwa uhuru na uwazi.

Pongezi kwako Kaguta Yoweri Museveni. Tunasubiri kuona wengine wanafuata nyayo zako.
 
Mshana...
kama utakumbuka kuna wimbo moja maarufu wa kitoto unaitwa 'alfola '
Badar salama alfola imekufa imebakia mafupa...
Wamo vidosho na mabazazi humo humo kwa wakubwa unadhani watakubali hilo kutoka?
misaada gani yenye maasharti ya ajabu ajabu!
 
Mshana...
kama utakumbuka kuna wimbo moja maarufu wa kitoto unaitwa 'alfola '
Badar salama alfola imekufa imebakia mafupa...
Wamo vidosho na mabazazi humo humo kwa wakubwa unadhani watakubali hilo kutoka?
misaada gani yenye maasharti ya ajabu ajabu!
Kwa msaada wa watu wa marekani
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Kijijini kwetu vijana wanateketea kwa unywaji wa pombe, baada ya serikali ya awamu ya tano kuzuia uuzwaji na unywaji wa pombe saa za kazi sasa hivi hapa kijijini vilabu vya pombe vinafunguliwa saa kumi alfajiri na saa moja asubuhi wanafunga. Usishangae kukutana na idadi kubwa ya walevi asubuhi sana maana huku pombe ndio chai.
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Kijijini kwetu vijana wanateketea kwa unywaji wa pombe, baada ya serikali ya awamu ya tano kuzuia uuzwaji na unywaji wa pombe saa za kazi sasa hivi hapa kijijini vilabu vya pombe vinafunguliwa saa kumi alfajiri na saa moja asubuhi wanafunga. Usishangae kukutana na idadi kubwa ya walevi asubuhi sana maana huku pombe ndio chai.
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk
Mmh ushoga sio tatizo kweli?
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Kijijini kwetu vijana wanateketea kwa unywaji wa pombe, baada ya serikali ya awamu ya tano kuzuia uuzwaji na unywaji wa pombe saa za kazi sasa hivi hapa kijijini vilabu vya pombe vinafunguliwa saa kumi alfajiri na saa moja asubuhi wanafunga. Usishangae kukutana na idadi kubwa ya walevi asubuhi sana maana huku pombe ndio chai.
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk

Nikiona hoja kama za kwako nabaki najiuliza maswali mengi!!! - hivi wewe ni Mtanzania mwenzetu na Mwafrica alisi??
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Kijijini kwetu vijana wanateketea kwa unywaji wa pombe, baada ya serikali ya awamu ya tano kuzuia uuzwaji na unywaji wa pombe saa za kazi sasa hivi hapa kijijini vilabu vya pombe vinafunguliwa saa kumi alfajiri na saa moja asubuhi wanafunga. Usishangae kukutana na idadi kubwa ya walevi asubuhi sana maana huku pombe ndio chai.
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk
Sijakuelewa kabisa Mkuu maana yako hapo kubwa ni ipi?
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk
Hizi kauli zinanipa mashaka kama kuna usalama au la
 
Kwa hili mseveni hongera sana ungeongeza kunyongwa kabisa hawa wapumbavu umeonyesha nia bado hapa kwetu wewe Na Mugabe mmeyapinga haya wazi wazi wakati wengine wameshindwa kusema
 
Sijakuelewa kabisa Mkuu maana yako hapo kubwa ni ipi?
Anamaanisha ushoga ni kuchagua na wanaouchagua ni wachache sana na haiwazuii kufanya shughuli zao. Ulevi umekithiri mijini na vijijini kiasi kwamba hata watu wakusaidia kujenga nyumba wamekuwa kama lulu, vibarua wa kulima hawapo, hata wazazi wa kulea watoto wameangamia kwenye ulevi ambao umezaa uvivu.
 
Anamaanisha ushoga ni kuchagua na wanaouchagua ni wachache sana na haiwazuii kufanya shughuli zao. Ulevi umekithiri mijini na vijijini kiasi kwamba hata watu wakusaidia kujenga nyumba wamekuwa kama lulu, vibarua wa kulima hawapo, hata wazazi wa kulea watoto wameangamia kwenye ulevi ambao umezaa uvivu.
Shikamoo dada jana nilikutafuta sana hukuwa hewani
 
Anamaanisha ushoga ni kuchagua na wanaouchagua ni wachache sana na haiwazuii kufanya shughuli zao. Ulevi umekithiri mijini na vijijini kiasi kwamba hata watu wakusaidia kujenga nyumba wamekuwa kama lulu, vibarua wa kulima hawapo, hata wazazi wa kulea watoto wameangamia kwenye ulevi ambao umezaa uvivu.
Mkuu upo sawa lakini haiondoi uzito wa ushoga hata kama ingekuwa kwa jamii ya kikundi cha watu wanne tuu.....kwa desturi zetu ni uchafu na dhambi kubwa sana kwetu. Hivyo hoja ya msingi ya mleta maana inabaki na uzito ule ule Mkuu.
 
View attachment 384070

Pamoja na mambo yake mabaya mengi tu hasa ya kubinya demokrasia, Museveni ameweza kufanya kilichowashinda marais wengi wa kiafrika, ametunga sheria rasmi ya mambo yote yanayohusiasa na ushoga
Vita ilikuwa kali, vitisho vilikuwa vingi lakini alishikilia msimamo wake.

Wengi wa viongozi wetu hawako tayari kuona ushoga unashaniri kwenye nchi zao, hawapendi kabisa lakini misaada inawaponza, wakitishwa kidogo tu wanakaa kimya huku wakikwepa kabisa kulizungumzia hilo jambo
misaada! misaada! misaada! Ndio pingu na gereza la kuifunga Afrika mpaka inashindwa kujiamulia mambo yake mengi kwa uhuru na uwazi.

Pongezi kwako Kaguta Yoweri Museveni. Tunasubiri kuona wengine wanafuata nyayo zako.

Kama niliowafahamu, ni vigumu sana kuwa precise kwenye hili suala kwa sababu nao pia wanatuhuma ya kujihusisha na homosexuality. Wanajulikana na kwa hiyo ukisikia wamekaa kimya, wanashindwa kuidhinisha kwa nguvu ya jamii. Lakini kwa ridhaa zao hao ninaowafaham, wangeshapitisha sheria yakuhalalisha siku nyingi.

Inahitaji mtu kuchukia jambo na kulikataa ili kulichukulia maamuzi ya kulikomesha!
 
View attachment 384070

Pamoja na mambo yake mabaya mengi tu hasa ya kubinya demokrasia, Museveni ameweza kufanya kilichowashinda marais wengi wa kiafrika, ametunga sheria rasmi ya mambo yote yanayohusiasa na ushoga
Vita ilikuwa kali, vitisho vilikuwa vingi lakini alishikilia msimamo wake.

Wengi wa viongozi wetu hawako tayari kuona ushoga unashaniri kwenye nchi zao, hawapendi kabisa lakini misaada inawaponza, wakitishwa kidogo tu wanakaa kimya huku wakikwepa kabisa kulizungumzia hilo jambo
misaada! misaada! misaada! Ndio pingu na gereza la kuifunga Afrika mpaka inashindwa kujiamulia mambo yake mengi kwa uhuru na uwazi.

Pongezi kwako Kaguta Yoweri Museveni. Tunasubiri kuona wengine wanafuata nyayo zako.
Ushoga ni ulemavu kama ulemavu mwingine, usishangilie mtu anayewabana walemavu.
 
Back
Top Bottom