Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Hakuna kitu kama hicho Uganda...Museveni kweli alitaka kufanya hivyo lakini ameminywa na wenye mradi wao...kama sheria hiyo ingekuwepo kusingekuwa na mashoga wanaojitokeza mitaani na kuandamana kudai haki zao.Yaani tungetegemea wakamatwe wakati wanaandamana lakini hilo halitokei.

Watu wengi wanapinga ushoga kwa sababu nyepesi sana zikiwemo zile za kidini/kiimani au hisia tu binafsi zisizo na mashiko...sijamwona mtu aliyetoa sababu za maana ingawa zipo...kwa kifupi wengi humu hawawezi kushinda any serious debate kuhusu kupinga au kuruhusu ushoga nchini kwetu.Bado tunahitaji kujua zaidi ya hivyo tunavyovijua.Wewe jifikirie,kwanini watu wazito wanaoonekana kuwa heshima duniani wanatetea na sio tu kutetea bali wanafadhili kabisa ushoga?Kuna nini kwenye ushoga?Wanafaidika nini?

Majibu ya maswali hayo ndio point zilizotakiwa kutumika kupinga ushoga,lakini sio sababu nyepesi nyepesi zilizotawaliwa na imani au hisia binafsi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji30] [emoji30] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ushoga na usagaji ni mambo madogo sana katika jamii yetu kwanini yatuhangaishe kiasi hiki?
Kijijini kwetu vijana wanateketea kwa unywaji wa pombe, baada ya serikali ya awamu ya tano kuzuia uuzwaji na unywaji wa pombe saa za kazi sasa hivi hapa kijijini vilabu vya pombe vinafunguliwa saa kumi alfajiri na saa moja asubuhi wanafunga. Usishangae kukutana na idadi kubwa ya walevi asubuhi sana maana huku pombe ndio chai.
Ushoga sio tatizo, tuna matatizo makubwa kama hilo la ulevi, uvivu, rushwa, nk
Mmmmh, mbn unatetea

Au nawe ndo walewale NIMEWAZA TU
 
Mshana...
kama utakumbuka kuna wimbo moja maarufu wa kitoto unaitwa 'alfola '
Badar salama alfola imekufa imebakia mafupa...
Wamo vidosho na mabazazi humo humo kwa wakubwa unadhani watakubali hilo kutoka?
misaada gani yenye maasharti ya ajabu ajabu!
Ukijiamini unafanya, ndilo Mhe.Mseveni alichofanya
 
Huo ni uongo wa kutupwa kabisa.Bado unahitaji kujua mengi sana ili uelewe jambo hii.
soma hata jina lako mwenyewe linadhihirisha hujui unachokitetea,tatizo sisi huwa wepesi wakutoa judgement kabla ya kutafuata ukweli wenyewe
 
soma hata jina lako mwenyewe linadhihirisha hujui unachokitetea,tatizo sisi huwa wepesi wakutoa judgement kabla ya kutafuata ukweli wenyewe

Kama kweli unajua unachokisema,jibu swali hili;

Vipimo vya HIV vinatumia mechanism gani kujua kwamba mtu ana huyo HIV?Usilete siasa,jibu hili swali.Jibu halisi la hili swali ndio mtego uliowafanya wewe na wengine mdanganyike.
 
Kama kweli unajua unachokisema,jibu swali hili;

Vipimo vya HIV vinatumia mechanism gani kujua kwamba mtu ana huyo HIV?Usilete siasa,jibu hili swali.Jibu halisi la hili swali ndio mtego uliowafanya wewe na wengine mdanganyike.
sijakuelewa rudia swali lako,usiongee kwa hasira haya mambo niyakuwekana sawa,kama hujui hujui tu
 
i support your idea, this's more mind blinded that shake their head, they must fight first against, rushwa, jobless, salama, etc,, ushoga? what's this? while people are killed by alchool!
 
sijakuelewa rudia swali lako,usiongee kwa hasira haya mambo niyakuwekana sawa,kama hujui hujui tu

Mashoga wengi tena sana wapo mafichoni ,hususan hizi nchi za kikatili ,iweje takwimu ipatikane kirahisi hivyo?..........fikiria.
Ingelikua kule Ulaya basi ntaamini 42% MSM lakini hapo Afrika ulipo wanaoogoza kwa takwimu za maambukizi ni MSF/FSM, yaani heterosexual.
Acha kupotosha umma.
 
Mashoga wengi tena sana wapo mafichoni ,hususan hizi nchi za kikatili ,iweje takwimu kupatikani kirahisi hivyo..........fikiria.
Ikiwa kule Ulaya basi ntaamini 42% MSM lakini huko Afrika ulipo wanaoogoza kwa takwimu za maambukizi ni MSF/FSM, yaani heterosexual.
Acha kupotosha umma.
notohsje umma wakati wewe umeshindwa kuleta data zako unaleta data za kudhania
 
Back
Top Bottom