Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Museveni ameweza kilichowashinda marais wengi wa kiafrika. Atunga sheria rasmi ya ushoga

Kwa tafsili yako neno rijali unajua nini?

Ukiona mtu anatatizika na ushoga, sana sana mwanamme ujue "he is insecure".
Yaani hajiamini/haamini uanaume wake
Mwanamme kamili hatishwi na anayeliwa/shoga, kwa sababu ni kama amepunguziwa kugombania wanawake/ competition kiaina.
Lakini pia una ka ukweli mahali, kwa sababu ikitokea ni mla/basha/mlawiti.....japokuwa sioni wasiwas wowote ikiwa ni rijali basi ana ubavu na nguvu ya kujitetea kimwili,kimawazo na kihisia.(physically or even mentally or emotionally)
Sijui ni kwa nini mnatatizika na jambo dogo hivi ilhali mna matatizo chungu nzima ya kutatua.
 
Bla!..bla!..bla!....rule of thumbs is you provide the link/source as you avail your data.
Bure itakua ni kama cheti kisichokuwa na sahihi!

Mara nyingine ukiweka research data ,weka pia na link/source. Hakuna atakayeichukulia maandishi yasiyo na uthibitisho kwa uzito hata yakiwa ya kweli.........kwa kifupi ni mawaidha tu, yazingatie ama yapuuze.
Ahsante!
sasa sijajua umepanic kisa nini!!??
 
Ukiona mtu anatatizika na ushoga, sana sana mwanamme ujue "he is insecure".
Yaani hajiamini/haamini uanaume wake
Mwanamme kamili hatishwi na anayeliwa/shoga, kwa sababu ni kama amepunguziwa kugombania wanawake/ competition kiaina.
Lakini pia una ka ukweli mahali, kwa sababu ikitokea ni mla/basha/mlawiti.....japokuwa sioni wasiwas wowote ikiwa ni rijali basi ana ubavu na nguvu ya kujitetea kimwili,kimawazo na kihisia.(physically or even mentally or emotionally)
Sijui ni kwa nini mnatatizika na jambo dogo hivi ilhali mna matatizo chungu nzima ya kutatua.
Tushakujua umejifinya nyuma ya bomba la antena, ni mmoja wao ( mapunga)
 
Umzima wa akili kweli?

Tell me you are joking!
Tim
Am not joking and will never joke with them. Yaani nawachukiaaaa mpaka natamani kummaliza mwenyewe. Hujiulizi; Hawa watu ni wazima wa akili kweli?? Mbwa wanafanya mapenzi kwa kung'ang'ania jike 1 midume 10 lakini akiisha wahi mmoja, wenzake wanamsubiri atoke. Si kwa uchu walio nao wangemwingilia mwenzao?? Lakini wanajua hayo sio maumbile. Iweje anayesema ana akili amvulie pichu mwenzie of the same sex?? Huyu ana akili????
 
Tim
Am not joking and will never joke with them. Yaani nawachukiaaaa mpaka natamani kummaliza mwenyewe. Hujiulizi; Hawa watu ni wazima wa akili kweli?? Mbwa wanafanya mapenzi kwa kung'ang'ania jike 1 midume 10 lakini akiisha wahi mmoja, wenzake wanamsubiri atoke. Si kwa uchu walio nao wangemwingilia mwenzao?? Lakini wanajua hayo sio maumbile. Iweje anayesema ana akili amvulie pichu mwenzie of the same sex?? Huyu ana akili????

Mkuu punguza hasira!.....chuki na hasira zako hazitofanya lolote kwa maana watu wataendelea kuwepo tu!,Jana,leo, kesho...milele
Maandishi yako haya yamekaa kihisia hisia sana bila uzito wa hoja.
Kunao wanyama wengi tu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja,sema tu ni vile hauna habari/ufahamu pana wa mambo mengi tu ulimwenguni.
Pamoja na hayo jaribu kufanya utafiti wa kitaalamu juu ya mambo ambayo huyafahamu vyema hili kukuepusha na hasira ,hasira siyo jambo jema,utajikuta pabaya.(Google is your friend)
Kwenye mambo kama haya husiwatafute wafia dini/wenye dini, katafute wataalamu kama wanasayansi,walimu,matabibu,madaktari na kadahalika, soma vitabu pia.
Kama wasemavyo wahenga ,hasira hasara.
Tabidi ujikakamue tu usome nakala za matabibu,wanasayansi (research) kuhusu jambo hili ili ujijengee uelewa wa ndani.
Nakuhakikishia hautopatwa na hasira tena .
 
Mkuu punguza hasira!.....chuki na hasira zako hazitofanya lolote kwa maana watu wataendelea kuwepo tu!,Jana,leo, kesho...milele
Maandishi yako haya yamekaa kihisia hisia sana bila uzito wa hoja.
Kunao wanyama wengi tu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja,sema tu ni vile hauna habari/ufahamu pana wa mambo mengi tu ulimwenguni.
Pamoja na hayo jaribu kufanya utafiti wa kitaalamu juu ya mambo ambayo huyafahamu vyema hili kukuepusha na hasira ,hasira siyo jambo jema,utajikuta pabaya.(Google is your friend)
Kwenye mambo kama haya husiwatafute wafia dini/wenye dini, katafute wataalamu kama wanasayansi,walimu,matabibu,madaktari na kadahalika, soma vitabu pia.
Kama wasemavyo wahenga ,hasira hasara.
Tabidi ujikakamue tu usome nakala za matabibu,wanasayansi (research) kuhusu jambo hili ili ujijengee uelewa wa ndani.
Nakuhakikishia hautopatwa na hasira tena .

Tim;
Sikuelewi hata kidogo. Ati nifanye research, research ya kutaka kufumuliwa marinda au??? Sina shaka kabisa kuwa, ningelipewa ruksa kuwa popote pale ambapo ningeliwakuta niwa ueeeee, wala nsingaliona huruma yeyote.
Sio kiimani wala ki nini lakini, I HATE GAYS AND LESBIANS with allll ma heart. Nawachukia mno kiasi kwamba hata kusoma habari za hao waliojitoa ufaham kuliko wanyama sioni haja ya kuwajadili
 
Tim;
Sikuelewi hata kidogo. Ati nifanye research, research ya kutaka kufumuliwa marinda au??? Sina shaka kabisa kuwa, ningelipewa ruksa kuwa popote pale ambapo ningeliwakuta niwa ueeeee, wala nsingaliona huruma yeyote.
Sio kiimani wala ki nini lakini, I HATE GAYS AND LESBIANS with allll ma heart. Nawachukia mno kiasi kwamba hata kusoma habari za hao waliojitoa ufaham kuliko wanyama sioni haja ya kuwajadili

Ukifanyacho hapa ni kipi kama siyo kuwajadili!...😀😀😀 mkuu jichunguze vyema!
 
Nashangaa wakati waganda wanakufa njaa kutokana naipango mibovu ya Serikali ya museven Leo anakuja na kioja cha mashoga Mimi nadhani watawala wa Africa wanapitia chuo kimoja na Mwalimu wao nimmoja.
 
1472413060973.jpg
 
Kill gays! Kill them and their alies by following due process of the law of course.
 
Mkuu acha kushabikia upuuzi. Ulemavu gani hukumba watu wa mijini tu na kuwapata watu ukubwani!
Unao wafahamu wewe ni wa mijini tu ndugu yangu tembea uone au soma Tafiti, unataka kuniambia kule Tandahimba au Muheza ni mjini? maana nimewahi kutana na watu wenye ulemavu huu. TUWAPENDE MASHOGA NA TUSIWATENGE NI WENZETU HAWA KAMA WALIVYO WATU WENYE ALBINISM
 
Unao wafahamu wewe ni wa mijini tu ndugu yangu tembea uone au soma Tafiti, unataka kuniambia kule Tandahimba au Muheza ni mjini? maana nimewahi kutana na watu wenye ulemavu huu. TUWAPENDE MASHOGA NA TUSIWATENGE NI WENZETU HAWA KAMA WALIVYO WATU WENYE ALBINISM
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 

Pamoja na mambo yake mabaya mengi tu hasa ya kubinya demokrasia, Museveni ameweza kufanya kilichowashinda marais wengi wa kiafrika, ametunga sheria rasmi ya mambo yote yanayohusiasa na ushoga.
Vita ilikuwa kali, vitisho vilikuwa vingi lakini alishikilia msimamo wake.

Wengi wa viongozi wetu hawako tayari kuona ushoga unashaniri kwenye nchi zao, hawapendi kabisa lakini misaada inawaponza, wakitishwa kidogo tu wanakaa kimya huku wakikwepa kabisa kulizungumzia hilo jambo.

Misaada! misaada! misaada! Ndio pingu na gereza la kuifunga Afrika mpaka inashindwa kujiamulia mambo yake mengi kwa uhuru na uwazi.

Pongezi kwako Kaguta Yoweri Museveni. Tunasubiri kuona wengine wanafuata nyayo zako.

Hakuna kitu kama hicho Uganda...Museveni kweli alitaka kufanya hivyo lakini ameminywa na wenye mradi wao...kama sheria hiyo ingekuwepo kusingekuwa na mashoga wanaojitokeza mitaani na kuandamana kudai haki zao.Yaani tungetegemea wakamatwe wakati wanaandamana lakini hilo halitokei.

Watu wengi wanapinga ushoga kwa sababu nyepesi sana zikiwemo zile za kidini/kiimani au hisia tu binafsi zisizo na mashiko...sijamwona mtu aliyetoa sababu za maana ingawa zipo...kwa kifupi wengi humu hawawezi kushinda any serious debate kuhusu kupinga au kuruhusu ushoga nchini kwetu.Bado tunahitaji kujua zaidi ya hivyo tunavyovijua.Wewe jifikirie,kwanini watu wazito wanaoonekana kuwa heshima duniani wanatetea na sio tu kutetea bali wanafadhili kabisa ushoga?Kuna nini kwenye ushoga?Wanafaidika nini?

Majibu ya maswali hayo ndio point zilizotakiwa kutumika kupinga ushoga,lakini sio sababu nyepesi nyepesi zilizotawaliwa na imani au hisia binafsi.
 
Back
Top Bottom