Mrs Janet Museveni ni mbunge wa jimbo la Ruhaama tena kwa kugombea (alipata ushindi wa kishindo)na si kuteuliwa.Anazo sifa stahiki kupata huo uwaziri.
Inataka moyo hata hivyo kwa Rais kufumba macho na kumpa nafasi mkewe maana kibinadamu watu lazima wataweka maswali na manung'uniko.
Tumpe hongera zake tu.
Ushindi wa Kishindo??????
Hata Mama Salma akigombea Temeke leo je hatapata ushindi wa kishindo??
I think kumteua mke Waziri..hata kama ana uwezo is it wrong! Nadhani duniani she is the only 1st lady amabe pia ni waziri!
Role ya 1st Lady atafanya lini?
Je Uganda hakuna waengine wanaofaa kuwa mawaziri??
Majority ya waganda hawampendi M7 sema ni dictator!
Kumbuka alihonga 4 m Tshs kwa kila mbunge ili wabadili katiba azidi kuwa raisi!
Wizi wa kura kwake ni jambo la kawaida..na dhani he is the most skilled president ktk wizi wa kura EA!
Angalia he was the only President EA kutambua matokeo ya Kibaki..yet hata Kivuitu alionyesha wasi2!
sasa amemteau mke waziri, je kesho akiwateua watoto wake maziri, na wakuu wa mashiriki..hata wana uwezo..is it fair kama raisi?
Huyu mama angeperfom tu role ya 1st Lady...inatosha awaachie wengine uwaziri!
Je is it possible kusema hii appoitment sii bedroom decision??