Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nini....Hakika mwaka huu Kenya wata loose vitu vingi
Unamaanisha nini unaposema ni taasisi?Uraisi ni taasisi,so ni muhimu kuvaa vest.
Kwa hivo bullet proof jackets zinakinga milipuko ya bomu pia? Wangelipua bomu humo ndani ya ndege, angeponea?Japo sio kweli kama amevaa bulletproof lakini tuchukulie kama ni kweli amevaa, kwanini tumlaumu wakati unapanda KQ, El Shabaab waliapa kuwamaliza wakenya wote. Hata mimi ningevaa.
Tujikumbushe wale viongozi walio vaa bulletproof vest zinazo onekana.
![]()
![]()
Katika mashabulizi yote kigaidi unayo yajuwa, askari wanapelekwa kupambana na magaidi wakiwa wamevaa Full metal (head to toe) body armour? Au na wao wanapewa bulletproof vest.Kwa hivo bullet proof jackets zinakinga milipuko ya bomu pia? Wangelipua bomu humo ndani ya ndege, angeponea?
Mimi sizungumzii maskari wanaopambana na ugaidi, na sidhani kama ulikuwa ukiwazungumzia ulipoandika haya...."kwanini tumlaumu wakati unapanda KQ, El Shabaab waliapa kuwamaliza wakenya wote. Hata mimi ningevaa".Katika mashabulizi yote kigaidi unayo yajuwa, askari wanapelekwa kupambana na magaidi wakiwa wamevaa Full metal (head to toe) body armour? Au na wao wanapewa bulletproof vest.
Na kwanini mlisema amevaa bulletproof vest wakati hajavaa. Anyway hilo la kuvaa au kuto kuvaa nitawaachia hilo swala wakenya mlilo lileta.Mimi sizungumzii maskari wanaopambana na ugaidi, na sidhani kama ulikuwa ukiwazungumzia ulipoandika haya...."kwanini tumlaumu wakati unapanda KQ, El Shabaab waliapa kuwamaliza wakenya wote. Hata mimi ningevaa".
Alshbb most likely watatumia bomu ikiwa watapata huo fursa ya kushambulia ndege ya Kenya. Kwa hivyo ni ya nini wewe kuvaa bullet proof eti kwasababu unapanda ndege ya Kenya, nchi inayohatarishwa na maghaidi? Wazo nzuri si ni wewe kutopanda ndege hizo?
Tupoteze vitu gani? Okay, maisha ni kupata na kupoteza. Kuna mambo tutafanikiwa na mengine kupoteza. Hivyo hivyo pia itakuwa na nyinyi.Hakika mwaka huu Kenya wata loose vitu vingi
Labda nikuulize swali, what is the weapon of choice kwa hao wasomali, explosive or AK47. If you go back and look at all the attacks which have been carried out by Al Shabaab, was there explosives? Mara ya mwisho umetembea Nairobi CBD lini? Have you seen the level of security in the shops and offices, was that the same ten years ago? No it wasn'tU are a joker Mwanzi1. Can sumbody wearing the vest survive a mid-air explosion inside of a plane flying some +10000ft above the ground? As for the projectiles, (a blast on the ground) unless u are quite far from the blast and the shrapnel not realy big.