Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Wengi hawajui tuu..uyo museven ni kiongoz wa kukurupuka tu na maamuzi yake ya ajabuTunamsifu Museveni bila kujua waganda wengi watapitia hali ngumu sana. Uganda haiwezi kuwavimbia mabeberu ikabaki salama. Na bora mabeberu kuliko wachina wanaokukopesha kisha wanakuja kutaifisha mali zako ukishindwa kuwalipa. Hizi siasa za Museveni ni za kishamba na anajijali mwenyewe na kikundi cha watu wake wachache. Mabeberu ni kwenda nao kinafiki kama wao walivyo wanafiki.
Na Bado wazungu wanataka watoto wagongwe nyumaWaafrika sisi ni mataira sana,sasa mnamshambulia Museveni kisa kutowakubalia Wazungu,mijitu iliyotesa Mababu zetu na ikachukua rasirimali zetu,wewe Swine kabisa .
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Ni kwl watapitia Hali ngumu Mkuu nikuulize swali gumu na unisamehe....nyumbani kwako hakuna chakula na wewe ni baba wa familia so unapata kazi Ina mshiko ila bosi anakwambia mojawapo ya sharti awe anakugonga nyuma Uwe unampa tigoTunamsifu Museveni bila kujua waganda wengi watapitia hali ngumu sana. Uganda haiwezi kuwavimbia mabeberu ikabaki salama. Na bora mabeberu kuliko wachina wanaokukopesha kisha wanakuja kutaifisha mali zako ukishindwa kuwalipa. Hizi siasa za Museveni ni za kishamba na anajijali mwenyewe na kikundi cha watu wake wachache. Mabeberu ni kwenda nao kinafiki kama wao walivyo wanafiki.
Umetoa mfano usioendana. Kuongoza nchi ni tofauti na familia. Tafuta mfano mwingine halafu urudi ku-comment upya.Ni kwl watapitia Hali ngumu Mkuu nikuulize swali gumu na unisamehe....nyumbani kwako hakuna chakula na wewe ni baba wa familia so unapata kazi Ina mshiko ila bosi anakwambia mojawapo ya sharti awe anakugonga nyuma Uwe unampa tigo
.
..je kwasababu una shida utakubali kutoa nyuma? Hata mkeo atakwambia urijali wako ni WA thamani zaidi....Bora tufe njaa...kuliko ukagongwe....ni unafiki wetu na uwoga ndo vinatuponza Mzee yuko sahihi sema f..ck you poverty