Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Ulitaka mwenyewe kupata Mawazo ya kikristo! Ukizani kwamba Labda huku Hawa Watu wameachwa tu!
Unaposema nilitaka kupata mawazo ya kikristo ina maana kuna mengine sio ya kikristo.
Wewe unatakiwa uwe upande mmoja, huwezi kutetea pande zote kwa wakati mmoja.

Huku (nadhani ni kwenye ukristo)hawa watu hawajaachwa tu, hebu niambie wamefanywaje?
 
Ushoga,Usagaji na mambo mengine kama hayo ni tabia ambazo watu ujifunza wakati wanakua.Angalia familia nyingi Dar ES salaam na miji mingine mingi mikubwa ambapo huishi kwa msongamano mkubwa katika nyumba moja ndiko ushoga na usagaji umekithiri.Kwa hiyo haya mambo yanaanzia hapo,ni tabia za kujifunza wakati wa makuzi,hakuna aliye zaliwa kuwa shoga kama hakuna mtu aliyeumbwa kuwa mwizi,malaya au jagili.Tunahitaji viongozi kama Museveni,Mugambe na marehemu John wa Ghana.Mugabe juzi amesema kuwa ikiwa Obama anashabikia ushoga aje aolewe kwanza(na MUGABE)iwe kielelezo kikubwa cha uchafu huo.Marehemu rais wa Ghana wakati David Cameron amechachamaa kuhusu uchafu huo,alisema hivi ''hata Mbingu zikishuka siwezi kuruhusu ushenzi huo.Museveni alimjibu Cameron hivi ''Africa tuna mila zetu Wazungu wanaziita za Kishenzi,mfano Africa tunatabia ya kuoa Wanawake wengi mbona ninyi mnaziita za kishenzi?
Raisi wetu Kikwete mbona uko kimya sana kuhusu hili?Linusuru taifa.
 
Na kazi ngumu!!!!
Tehe teh teh!!
Yaani kuwafunga tu haitoshi, hadi na kazi ngumu. Ila ni kwa kosa lipi hasa?

Hujanijibu hili, Hivi uzinzi, unakubalika katika aspect ipi!?, mila, dini, utamaduni, imani n,k.
Mbona hawa hupendekezi tunawafunge kifungo cha maisha jela pamoja na kazi ngumu!!???
 
Ngoja muje muone Waganda watakavyo anza kula majani soon...
Hiyo ndiyo nchi pekee Hapa EA ambayo inaonyesha imetoka kwenye ukoloni...Nibora kula majani ukiwa huru kuliko kula vinono ukiwa kifungoni...
 
Unaposema nilitaka kupata mawazo ya kikristo ina maana kuna mengine sio ya kikristo.
Wewe unatakiwa uwe upande mmoja, huwezi kutetea pande zote kwa wakati mmoja.

Huku (nadhani ni kwenye ukristo)hawa watu hawajaachwa tu, hebu niambie wamefanywaje?

Mungu anafahamu serikali Au mamlaka zitaweka sheria zao kuongoza Watu! Ziwe mbaya Au Nzuri! Na Mwisho Wa Siku Yeye mwenyewe anakuja anamaliza mwenyewe!

Au na hapa Utakua Bado haujanielewa?
 
Hapa sasa ndipo unaposhindwa kupaelewa, utawekaje adhabu katika moral misconduct?
Ukitaka hivyo, itabidi uweke adhabu pia kwa wanaovaa kata k, sketi fupi, ulevi wa kupindukia na mwisho wa siku utajikuta mnashughulikia vitu vya upuuzi tu, unataka tufike huko, personal ethics and community ethics( etiquette) mustnt intergrate, pale inapotokea personal ethics zinakuwa contrary na ethics of the community, what do we do?, one's ethics should prevail, as long as them dont harm other people, this is the law of liberty.

Inaonekana kwako ushoga ni mbaya kuliko wizi, na hii inajumuisha hadi ufisadi nadhani.
Nilivyosema waafrika tumetoa kipaumbele katika ushoga kama ndio tatizo kubwa la kulishughulikia kwa nguvu zote mbona ulinibishia?
Saafi sana saasa unaelewa kumbe moral misconduct na consesus/convention ya wengi imeamua kuweka adhabu ili iwe fundisho kwa wengine sasa unatakaje tena????!!!!

Mwivi akiiba tairi ya gari utaweka spare au kununua jipya,mwanao wa kiume akiingizwa kwenye hilo kundi unazaa mwingine au unafanya nini???!!!

Ndio maana kizazi hicho ni jela tu mpaka wakome kabisa na huko iwe one cell one man,chained and totally grounded!!!!!!

Ndio kama ni kuchagua route ya kuingia huko motoni juu ya hili mimi uoande wangu ndio huo mkuu; we huridhiki na upande uliopo???!!!!
 
Mungu anafahamu serikali Au mamlaka zitaweka sheria zao kuongoza Watu! Ziwe mbaya Au Nzuri! Na Mwisho Wa Siku Yeye mwenyewe anakuja anamaliza mwenyewe!

Au na hapa Utakua Bado haujanielewa?
Sawa, Mungu anafahamu kuwa serikali zitaweka sheria mbaya na nzuri, kwa sababu yeye ni Omniscient.
Je, anakubaliana na hizo sheria mbaya?
 
Tehe teh teh!!
Yaani kuwafunga tu haitoshi, hadi na kazi ngumu. Ila ni kwa kosa lipi hasa?

Hujanijibu hili, Hivi uzinzi, unakubalika katika aspect ipi!?, mila, dini, utamaduni, imani n,k.
Mbona hawa hupendekezi tunawafunge kifungo cha maisha jela pamoja na kazi ngumu!!???

Mkuu narudia tena sacred and profane!!!
Values and traditions!!!!
Finally ndio unapata law!!!!

Yote yana punishment hayo ila extent ipi labda yaweza kuwa hoja ila sababu maisha ni spontaneous course hili la ushoga ndio limekuwa hivyo kutokana na watu na mazingira yao empirically wewe unaongelea ought to be; kwani hujakutana na habari zinazozungumzia adhabu kali kwa wanawake wazinzi kuliko wanaume?????!!!!Hujasikia kuwa wanaume wanaozini na wake za watu huwa wanapata madhila makubwa kuliko kundi jingine????!!!!!!

Jamii husika kwa wingi wao ndio wanasema hili sawa na hili No!!!!!!
 
Hiyo ndiyo nchi pekee Hapa EA ambayo inaonyesha imetoka kwenye ukoloni...Nibora kula majani ukiwa huru kuliko kula vinono ukiwa kifungoni...
Sasa hapo kifungoni ni wapi?
Kuruhusu wana nchi wako freedom to live as they wish au kuwafunga jela huku ukitengeneza mahusiano mabaya na wahisani?
 
Sawa, Mungu anafahamu kuwa serikali zitaweka sheria mbaya na nzuri, kwa sababu yeye ni Omniscient.
Je, anakubaliana na hizo sheria mbaya?


Sheria mbaya ktk serikali Au mamlaka kwa Mungu ni kuruhusu ushoga! Na Hapo Hiyo mamlaka na Huyo anasaini Kua sheria watakinywea kikombe cha ghadhabu ya Mungu!

Sheria Nzuri ni kuzuia ushoga ktk mamlaka kwa Mungu Hiyo mamlaka haitanywea kikombe cha ghadhabu!
 
Hongera sana kaguta kwa maamuzi yako natumai viongozi wengine wa East Afrika na Afrika kwa ujumla watafuata nyayo zako na sio kila kitu wanapelekeshwa na mashoga Obama na mwenzake Cameroon.
 
Hapa sasa ndipo unaposhindwa kupaelewa, utawekaje adhabu katika moral misconduct?
Ukitaka hivyo, itabidi uweke adhabu pia kwa wanaovaa kata k, sketi fupi, ulevi wa kupindukia na mwisho wa siku utajikuta mnashughulikia vitu vya upuuzi tu, unataka tufike huko, personal ethics and community ethics( etiquette) mustnt intergrate, pale inapotokea personal ethics zinakuwa contrary na ethics of the community, what do we do?, one's ethics should prevail, as long as them dont harm other people, this is the law of liberty.

Inaonekana kwako ushoga ni mbaya kuliko wizi, na hii inajumuisha hadi ufisadi nadhani.
Nilivyosema waafrika tumetoa kipaumbele katika ushoga kama ndio tatizo kubwa la kulishughulikia kwa nguvu zote mbona ulinibishia?

1. Deviants watapata adhabu ile iridhishayo umma!!!!!

2. Majority should rule!!!!!One's ethics will never outweigh majority's ethics ;reffer socialization and group norms!!Law of liberty ya mtoto kutaka wazazi walale sitting room ili yeye na girlfriend wake wakajinafasi chumba cha wazazi bora tu wazazi hawadhuriki huku Africa hakunaga!!!!!

3. Kata K na sketi fupi ni deviation nayo ina punishment zake ndani ya jamii husika natumai unakumbuka dungadunga na kuchana nguo za wadada(fupi) mpaka abaki na chupi!!!!!Gender bias????!!!!!

4. Kwani mafisadi hawana kibano??!Hawa si ni wahujumu wa uchumi na kifungo cha maisha ni haki yao tena akiwa na two concomittant cases ilibidi anyongwe tu wala haihitaji magazijuto hii kujua na wahaini waingie humo!!!!

Tena wala sikubisha nilitoa hoja ila kama unataka nianze kubisha basi sema kuwa mashoga waruhusiwe Tanzania hapo sasa ntabisha kwa kusema HAPANA hata unukuuu nini ntasema HAPANA hata ukinichinja ntasema HAPANA hata ikibidi msimamo wangu uthibitike kwa KUKUCHINJA mkuu jua umekwenda aseee!!!!!!!
 
Sasa hapo kifungoni ni wapi?
Kuruhusu wana nchi wako freedom to live as they wish au kuwafunga jela huku ukitengeneza mahusiano mabaya na wahisani?
Kama freedom haitimii mpaka wakazweeee basi wakae kifungoni(uraiani) au waende wanakoona ni free na interest zao zitatimizwa!!!!!!
Wahisani wafiraj.i nao ni watu wa kukaa nao meza moja mjadili eti mahusiano yataharibika???!!!!
Mahusiano mazuri ni unequal exchange??!!!! Economy destabilization???!!Ni hiyo Dowans cum Symbion power plant???!!!Unilateral FDI's????!!!! Unequal export/import to and from the World Market????!!!!!!Mahusiano mazuri yepi haswa???!!

Ever heard of Ecomic hitmen??!!!!
 
Hawa ndo SIMBA wa AFRICA (at least katika hili) Kule Zimbabwe, Mugabe kasema "if Obama wants me to allow gay-ism in Zimbabwe, then he must first and foremost let me marry him as an example" unaweza kucheka hadi ukafa kabisa!!!!

Hahahahahaha nimecheka sana , huyu mzee noma sana.
 
Sasa hapo kifungoni ni wapi?
Kuruhusu wana nchi wako freedom to live as they wish au kuwafunga jela huku ukitengeneza mahusiano mabaya na wahisani?
Kifungoni ni wewe kushindwa kuamua mabo yako mwenyewe na kusubiri kupangiwa na mtu mwingine kama wewe unapangiwa na mtu mwingine jua wewe ni mtumwa wa huyo anaye kupangia(sorry na wewe ni mmoja wapo wa waathirika wa jambo hili?)
 
Kifungoni ni wewe kushindwa kuamua mabo yako mwenyewe na kusubiri kupangiwa na mtu mwingine kama wewe unapangiwa na mtu mwingine jua wewe ni mtumwa wa huyo anaye kupangia(sorry na wewe ni mmoja wapo wa waathirika wa jambo hili?)
Ni kweli mkuu, hapa una hoja, Lakini huoni kama hayo maamuzi ya Museven ni makubwa mno kwa kosa ambalo ni la kimaadili tu na jambo la mtu binafsi?
Huoni kuwa hatua kama hiyo ilipaswa kuchukuliwa kwa wenye makosa kama ufisadi, wizi, ujangili, ujambazi wa kutumia silaha na makosa mengine yenye madhsra ya moja kwa moja kwa watu wengine?(Mimi sio muathirika wa hili ila napinga hadharani kuwaua au kuwafunga jela mashoga)
 
Sasa hapo kifungoni ni wapi?
Kuruhusu wana nchi wako freedom to live as they wish au kuwafunga jela huku ukitengeneza mahusiano mabaya na wahisani?

Mkuu binafsi naamini hatuwezi kuharibu utu wetu eti kwasababu ya kuhofia kujenga mahusiano mabaya na wahisani, na kwa upande wangu me naendelea kuamini kwamba Human Rights should be culturall relative and not universal so Human rights should be interpreted within diferent culture kama ambavyo wao wanaamin kuwa baadhi ya mila nyingi za kiafrika ni mbaya ndivyo na waafrika nao wanaamini baadhi ya mila zao (kama ushoga) ni mbaya. So binafsi me naamin ishu nnzima ya haki za binadamu inatakiwa iendane na utamaduni wa sehemu husika yaani kama ilivyo kuwa kwa Obama na Cameroon David ushoga ni utamaduni wao basi waendele kuupromote katika nchi zao kama haki za binadam na si kulazimisha nchi za kiafrika ziendelee kuamini utamaduni wao.
By the way mbona huu ushoga hawaupigii kelele katika nchi za Asia kama Saudia, Irani na nyinginezo kwanini wang'ang'anize tu kwa nchi za Kiafrika?
 
Ni kweli mkuu, hapa una hoja, Lakini huoni kama hayo maamuzi ya Museven ni makubwa mno kwa kosa ambalo ni la kimaadili tu na jambo la mtu binafsi?
Huoni kuwa hatua kama hiyo ilipaswa kuchukuliwa kwa wenye makosa kama ufisadi, wizi, ujangili, ujambazi wa kutumia silaha na makosa mengine yenye madhsra ya moja kwa moja kwa watu wengine?(Mimi sio muathirika wa hili ila napinga hadharani kuwaua au kuwafunga jela mashoga)
Kama unawatetea mashoga wewe pia nakuweka ktk kundi la waathirika...Kumbuka kuwa hizi tabia zimetoka huko zikaja hapa kwetu na kutokana na maadili ya hapa kwetu Africa hakuna tamaduni inayo ruhusu mapenzi ya jinsia moja kuanzia kwenye Dini mpaka kwenye serekali yetu na pia ni haki kwa museven kusain na kupinga huu mapenzi ya jinsia moja (Nachukia sa na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja)Kama ningekuwa mm ndo mu7 ninge weka sheria ya kunyongwa kabisa na si kufungwa jela maisha mana huko watatia hasara taifa...
 
Sababu ya dini na utamaduni sio sababu ya maana kwani sio lazima mtu kufuata dini au utamaduni.
unasema wewe unachukia sana mapenzi ya jinsia moja na ungekuwa ni wewe ungetaka wanyongwe, unafikiri kila mtu akitaka kila jamii fulani asiyoipenda wanyongwe hapa duniani patakuwa ni mahala salama pa kuishi!?

Ni kama unaangalia mambo kwa mtazamo wa juu juu tu na kwa wembamba sana. Nikutakie mchana mwema.
Kama unawatetea mashoga wewe pia nakuweka ktk kundi la waathirika...Kumbuka kuwa hizi tabia zimetoka huko zikaja hapa kwetu na kutokana na maadili ya hapa kwetu Africa hakuna tamaduni inayo ruhusu mapenzi ya jinsia moja kuanzia kwenye Dini mpaka kwenye serekali yetu na pia ni haki kwa museven kusain na kupinga huu mapenzi ya jinsia moja (Nachukia sa na watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja)Kama ningekuwa mm ndo mu7 ninge weka sheria ya kunyongwa kabisa na si kufungwa jela maisha mana huko watatia hasara taifa...
 
Back
Top Bottom