Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Finally he has signed.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    7.2 KB · Views: 198
Sijawahi sikia wala kuona sheria yeyote Uganda dhidi ya wabadhirifu na mafisadi, na hata kama zipo, hazipewi kipaumbele kama hawa mashoga, OLESAIDIMU , hivi ushoga ni nini hasa!?, hadi Museven anataka eti kupitisha adhabu ya kifo, can it dwell in your mind!?

Hii ni kana kwamba, kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha ajabu mno ambacho hastahili hata kuishi akikifanya,
Hii inakuingia akilini??, huo mwili sio wa kwake??, nimeuliza swali hujajibu, mimi na partiner wangu tukiamua kufanya mapenzi ya mdomo tu (oral sex)tufungwe jela kwa sababu Museven amesema not engineered for sex!?

Viongozi wa Afrika wameshindwa kukomesha rushwa, ufisadi, ujangili na mambo mengine ya uhujumu, na wala hatujasikia wakiitisha press conference wakionyesha hasira zao na kusaini sheria kali dhidi wa vitu vya aina hiyo, nchi zinaendelea kutopea katika umasikini, eti kipaumbele chao ni kupambana na ushoga na nguo fupi, eti ndio viongozi bora!!

Mkuu mimi sio shoga, lakini mtu akiniita shoga hata mara mia nane hawezi kunioffend, ushoga kwangu ni sawa tu na uzinzi wa kawaida,
Mimi ninayefanya mapenzi ya kawaida na yule anayefanya kinyume na maumbile kama kuna moto wote tutaenda jehanamu, what is so special hadi niwe na hasira na shoga hadi nitamani kumuua?, pitisheni basi hata mtu akifanya mapenzi nje ya ndoa au kabla ya ndoa naye auliwe, au hiyo ni maadili ya kiafrika!??

hutaki kujitangaza tu !
 
safi sana museveni hata kama una makosa mengine kwa hili mengine yote yanafunikwa big up
 
If Obama want me to accept homosexual marriage, I should marry him first to show a good example to the whole world. Mugabe said
 
museven vs obama.jpghuyu rais dikteta hamna kitu, michezo ya wanasiasa hii, jamaa anatafuta pa kuoshea jina, kwakuwa M23 wamemshinda na hali imekuwa mbaya nchini kwake. mcheki hata sura yenyewe haionyeshi kuchukizwa, sura kama anayeshabikia hivi. na hajui kwa kuizungumza tu anaupromoti. bora angekaa kimya tu na kusaini kimyakimya.hawezi kukabili mabadiliko.urais umekuwa sio mrais tena kwake, umemshinda asepe tu.
angekuwa nyerere ningeweza kumwamini kuwa anamaanisha kwani yule baba wa taifailikuwa kitu kinachomkera alikuwa anatoa fascial expression inyoendana na anavyokichukia, pia hata kwakile anachokipenda alioneysha wazi kupitia body language.
 
Mbona kina Obama na Cameroon mataifa Yao hawasaini sheria mataifa Yao yasiwe maficho ya majizi ya Pesa zetu huku? Wanatushinikiza kuikubari sheria ya kugegedana Lkn Pesa zetu wanazitaka sio?
Wameshajua shida yenu ni kupambana na ushoga tu hamna haja na wezi wa radilimali zenu
 
mwanzoni nilijua obama ana akili lakinileo nimekuja ujiridhisaha na yeye bougous kama walivyo mabougous wengine shame on him na mabougous wote wanaossuport ndoa za jinsia moja
 
Wanajua ndicho kitawafanya mpige makelele muache kufanya vitu vya muhimu huku wao wakitorosha rasilimali nyie mko bize kuwanyoga mashoga.

Ofcourse chi kama Marekani walishamaliza kila kitu, hakuna mijadala ya ujenzi wa shule wala zahanati kule, hakuna mwanasiasa kule anaweza kusimama na kusema nitajenga barabara, maana hakuna ya kujenga zote ni lami, kipaumbele chao ni sera ya mambo ya nje.
kuna kitu kimoja watu kama ww hamuelewi...leo hii obama akisema ufisadi ni halali.utakaa ndani usionyeshe msimamo wako jus bcoz kuna makosa mengine kama uongo...wizi...uzinzi havijaongelewa kwenye sheria??
response ya africans in relation to homosexuality imetokana na western pressure kuimpose iyo kitu
hakuna ambae angepoteza mda wake kuongelea ushoga kama kucngekua na pressure kutoka nchi za ulaya na marekan kusupport.
kama ww unaona haina umuhim wa nchi za kiafrika kukataza ushoga coz kuna mambo muhimu zaidi ya kufanya....sasa hao wanaosupoort kwa kutumia nguv nyingi na mda je kwao ushoga ndo jambo muhimu??kama si la muhim kwann waweke pressur kubwa hivyo??wat ar they gettin ebu jiulize kwanza
 
Homesexuality goes against the laws of the nature

We humans need to breed for the survival of our species

In the long run homosexuality might lead to extinction.
 
Teh Teh Teh!

Ndugu yng Mjuni Lwambo Maandiko yanasema tuzitii mamlaka zilizopo!

Serikali ya Uganda ni mamlaka kamili! Wamepitisha sheria ya adhabu kwa yoyote ile dhidi ya mashoga ni vema kuitii!
Nyie ndiyo mnatumia maandiko vibaya, inamaana watawala wakisema hamuna kusali wote muabudu freemason mtaabudu tu kwa sababu ni mamlaka?
 
If Obama want me to accept homosexual marriage, I should marry him first to show a good example to the whole world. Mugabe said

Mkuu nipe link ya mugabe alipoyasema hayo ili niisave kwa ajili ya wajukuu zangu
 
Na hakuna ufisadi unaoweza fanyika Africa bila hayo madola makubwa Kua nyuma!

Sasa cha kushangaza sheria za ufisadi zinakosa meno mpk kwa hao wafadhili wetu Lkn ushoga ndio wanaukomalia! Jitambue Mjuni Lwambo

Teh Teh Teh Teh
Umeelewa ulichokiandika mkuu?, sheria kuhusu vitu kama ufisadi havijapewa meno, lakini tuko mstari wa mbele kutunga sheria kali kwenye ushoga, huoni kama ni dosari?
 
Nyie ndiyo mnatumia maandiko vibaya, inamaana watawala wakisema hamuna kusali wote muabudu freemason mtaabudu tu kwa sababu ni mamlaka?


Kutii mamlaka Hiyo imo kwenye Maandiko! Mamlaka kwenda kinyume na Mungu hicho ni kitu kingine! Na ujue kwamba hakuna mamlaka iliyo juu ya Mungu!

Ushoga ni kinyume na Mungu! Sasa km serikali Fulani imepitisha sheria ya kuzuia ushoga na kwa Mungu ni jambo jema!
 
Umeelewa ulichokiandika mkuu?, sheria kuhusu vitu kama ufisadi havijapewa meno, lakini tuko mstari wa mbele kutunga sheria kali kwenye ushoga, huoni kama ni dosari?


Na Mimi umekielewa nilichokiandika?
 
Nyie ndiyo mnatumia maandiko vibaya, inamaana watawala wakisema hamuna kusali wote muabudu freemason mtaabudu tu kwa sababu ni mamlaka?

Mjuni declare interest. Wewe ni tende halua halua au!?
 
Kwa hili endapo USA wakishambulia Uganda kisa Uganda wamepitisha sheria hiiya kuzuia uovu...basi, kama sitakuwa nimekabiliwa na majukumu mazito sana ya kitaifa, nitakwenda kwa ela yangu kupigana na USA nikiwa upande wa Uganda, na hii nina aapa ( I swear).

Tuko pamoko mkulu......hatuwezi kuishi na wa.....se....nge,,,maofisini na mitaani,,,,,natamani na bunge letu lianzishe hii kitu na hapa ipite.......wanakera hawa waliwa makalio hawa......
 
Back
Top Bottom