Museveni responds to Obama on anti-gay bill

Museveni responds to Obama on anti-gay bill

i hav one belief dat will neva change" africans who supports homosexuality have mental problem"
unahitaji msaada rafiki
You are the one who have a mental problem, hivi hakuna wanaume wa kiafrika wanaofanya mapenzi na wake zao kinyume na maumbile!?
Tell me the difference if you dont have a mental problem.
 
Ndiyo!!,
Badala ya kusaini sheria ya kufunga jela maisha watu walioamua kutumia viungo vyao vya nyuma kujistarehesha,
angesaini sheria ya kifungo cha maisha kwa wezi wa mali za umma na mafisadi, huduma za afya na elimu zingeimarika.

Mbona kina Obama na Cameroon mataifa Yao hawasaini sheria mataifa Yao yasiwe maficho ya majizi ya Pesa zetu huku? Wanatushinikiza kuikubari sheria ya kugegedana Lkn Pesa zetu wanazitaka sio?
 
Nikifanya kwa mdomo sijaharibu norms culture?, ni utamaduni wa Afrika ya wapi walikofanya oral sex?
Halafu umenisaidia, umesema kuna imani pia inakataza, kwa nini msicriminalise na hilo?

Ok, umesema hata kamaviongozi waafrika mengi wameshindwa, sasa wameweza hilo!!, Mimi shida yangu sio wao kuweza hilo bali ni kulipa kipaumbele hilo na kulitungia kali, kana kwamba ndio tatizo kuu linalosababisha matatizo ya waafrika, wameacha kushughulikia matatizo ya msingi ya nchi zetu, oddly enough, tunawaona ni mashujaa, ndio maana nauli, kuna nini special katika ushoga kiasi kwamba kiongozi akipinga tu, tuko radhi hata atutawale milee, kama ilivyo kwa Mugabe na Museven!?, sheria ya ushoga italeta vifaa mahospitalini kwa mfano!??

Mimi mtu akiita shoga sioni kama ameni offend mno, akisema anataka kufanya na mimi kinyume cha maumbile nitamwambie sifanyagi huo mchezo, hamna ngumi wala matusi, kama ambavyo wewe unavyomuapproach demu mstaarabu anavyojibu tu kwamba hafanyi, very clear!!!,

Now ushoga kwako ni nini hadi uone ni "dili" mno!???

1. Sasa kaka kwenye jamii si kuna consesus na conventions ikiwa hilo la oral sex litasumbua jamii nalo litashughulikiwa tu wala sio exceptional, it can be criminalized when and if deemed necessary!!!!!!

2. Kulipa kipaumbele maana yake nini sasa???!!! Contrary hao wanaotishia kuharibu mahusiano mbona hawajahoji kwa nini hakuna dawa au elimu mbovu??!!Ni sababu wao ndio IMF na WB na wao hawako after "real" human emancipation no wonder wanataka na hilo pia liwe sehemu ya maisha!!!!!

3. Hivi Mugabe na Museveni baada ya kupitisha wametangazwa marais wa kudumu???!!!!!Point yako nini kusema wanaweza kutawala milele???!!!

4. Haileti vifaa hospitali ila itapunguza vitanda kulaliwa na watu wa rectal prolapse na matatizo kama hayo!!!!
 
Huyu Msukuma mwenzangu Mjuni Lwambo Leo naona ananichanginyi Kweli Akili yng!
Teh teh teh!!!
Bhebhe ngalu, abhamunthu bamulaga kutumila shindo jabho kwichima ubabulage bhole!!
Mkuu Ntuzu, wewe ni mristo kama sijakosea, hivi mafundisho ya ukristo yanasemaje kuhusu watenda dhambi wakiwemo mashoga?
Yanasema uwafunge jela au umuue??, Museven ameamua kuwaua(kuwafunga jela maisha), unamsupport?, tuanzie hapo Ntuzu.
 
Sijawahi sikia wala kuona sheria yeyote Uganda dhidi ya wabadhirifu na mafisadi, na hata kama zipo, hazipewi kipaumbele kama hawa mashoga, OLESAIDIMU , hivi ushoga ni nini hasa!?, hadi Museven anataka eti kupitisha adhabu ya kifo, can it dwell in your mind!?

Hii ni kana kwamba, kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni kitu kikubwa na cha ajabu mno ambacho hastahili hata kuishi akikifanya,
Hii inakuingia akilini??, huo mwili sio wa kwake??, nimeuliza swali hujajibu, mimi na partiner wangu tukiamua kufanya mapenzi ya mdomo tu (oral sex)tufungwe jela kwa sababu Museven amesema not engineered for sex!?

Viongozi wa Afrika wameshindwa kukomesha rushwa, ufisadi, ujangili na mambo mengine ya uhujumu, na wala hatujasikia wakiitisha press conference wakionyesha hasira zao na kusaini sheria kali dhidi wa vitu vya aina hiyo, nchi zinaendelea kutopea katika umasikini, eti kipaumbele chao ni kupambana na ushoga na nguo fupi, eti ndio viongozi bora!!

Mkuu mimi sio shoga, lakini mtu akiniita shoga hata mara mia nane hawezi kunioffend, ushoga kwangu ni sawa tu na uzinzi wa kawaida,
Mimi ninayefanya mapenzi ya kawaida na yule anayefanya kinyume na maumbile kama kuna moto wote tutaenda jehanamu, what is so special hadi niwe na hasira na shoga hadi nitamani kumuua?, pitisheni basi hata mtu akifanya mapenzi nje ya ndoa au kabla ya ndoa naye auliwe, au hiyo ni maadili ya kiafrika!??

kuna kitu kimoja watu kama ww hamuelewi...leo hii obama akisema ufisadi ni halali.utakaa ndani usionyeshe msimamo wako jus bcoz kuna makosa mengine kama uongo...wizi...uzinzi havijaongelewa kwenye sheria??
response ya africans in relation to homosexuality imetokana na western pressure kuimpose iyo kitu
hakuna ambae angepoteza mda wake kuongelea ushoga kama kucngekua na pressure kutoka nchi za ulaya na marekan kusupport.
kama ww unaona haina umuhim wa nchi za kiafrika kukataza ushoga coz kuna mambo muhimu zaidi ya kufanya....sasa hao wanaosupoort kwa kutumia nguv nyingi na mda je kwao ushoga ndo jambo muhimu??kama si la muhim kwann waweke pressur kubwa hivyo??wat ar they gettin ebu jiulize kwanza
 
Yaani Uganda kuchezea mali ya umma haina adhabu? ??!!! Huyu Museveni aliyeichukua nchi kwa mtutu asiwe na sentence kwa makosa haya HAIWEZEKANI mkuu hata kwa fraction of a second!!!!

Mkuu dini zote hazitaki, mila za kiafrika hazitaki, watu wengi hawataki mfano soma komenti humu kama a random sample!!!!!!

Sio kitu cha ajabu tu ni laana kabisa!!!!!!

Wewe na mpenzi wako mkifanya kwa mdomo mnakuwa mmeharibu norm,belief, au nini katika culture???!! Imani moja kumbuka inakataza "oral sex" unajua hilo????!!!!!

Wameshindwa mengi lakini hili wameamua kuliweka kwenye rekodi kuwa waliweka sheria ya kukataa!!! Hata wewe una failures nyingi lakini umeweka bayana kuwa mdomo wako na makwapa hayatakaa yatoe harufu mbaya kwa mfano!!!!Au say huwezi mlisha mwanao bila kunawa mikono!!! Sasa nao hili wameliamulia kwa minajili hiyo!!!!

Mtu akikuita shoga utachukulia poa sawa; na vipi akikutaka kimapenzi yeye a play "role" ya kiume????!!!

Sheria za Mali za umma hakuna Uswis tu kwasababu kila Siku utasikia mabilioni ya Pesa viongozi wetu wameyaficha huko! Alafu hakuna ata sheria ya kuyarudisha huku!

Alafu tunaambiwa tuukubali ushoga! Vinginevyo wanakata misaada!
 
Waganda wangeweza kutumia muda huu wa muswada wa ungese kujadili mambo ya maendeleo na kujipunguzia umaskini knowing kwamba 84% ya vijana wa Uganda hawana ajira. Sasa mijitu mizima ina diskas ungese mwezi mzima kutumia hela ya mlipa kodi. Why do african leaders address trivial issues instead of addressing poverty diseases education etc


Mkuu kumbe ulikuwa unataka kuolewa umekosa fursa? Hamia Marekani tu
 
Teh teh teh!!!
Bhebhe ngalu, abhamunthu bamulaga kutumila shindo jabho kwichima ubabulage bhole!!
Mkuu Ntuzu, wewe ni mristo kama sijakosea, hivi mafundisho ya ukristo yanasemaje kuhusu watenda dhambi wakiwemo mashoga?
Yanasema uwafunge jela au umuue??, Museven ameamua kuwaua(kuwafunga jela maisha), unamsupport?, tuanzie hapo Ntuzu.


Teh Teh Teh!

Ndugu yng Mjuni Lwambo Maandiko yanasema tuzitii mamlaka zilizopo!

Serikali ya Uganda ni mamlaka kamili! Wamepitisha sheria ya adhabu kwa yoyote ile dhidi ya mashoga ni vema kuitii!
 
Last edited by a moderator:
Sheria za Mali za umma hakuna Uswis tu kwasababu kila Siku utasikia mabilioni ya Pesa viongozi wetu wameyaficha huko! Alafu hakuna ata sheria ya kuyarudisha huku!

Alafu tunaambiwa tuukubali ushoga! Vinginevyo wanakata misaada!

Na UN ipo na inajua na haishinikizi hela hizo kurudishwa nchi husika pamoja na kutambua shida zetu!!!!!

Ati kwa ushoga ndio wananyanyua midomo!!!!!

Safi sana Museveni na Mugabe
 
kuna kitu kimoja watu kama ww hamuelewi...leo hii obama akisema ufisadi ni halali.utakaa ndani usionyeshe msimamo wako jus bcoz kuna makosa mengine kama uongo...wizi...uzinzi havijaongelewa kwenye sheria??
response ya africans in relation to homosexuality imetokana na western pressure kuimpose iyo kitu
hakuna ambae angepoteza mda wake kuongelea ushoga kama kucngekua na pressure kutoka nchi za ulaya na marekan kusupport.
kama ww unaona haina umuhim wa nchi za kiafrika kukataza ushoga coz kuna mambo muhimu zaidi ya kufanya....sasa hao wanaosupoort kwa kutumia nguv nyingi na mda je kwao ushoga ndo jambo muhimu??kama si la muhim kwann waweke pressur kubwa hivyo??wat ar they gettin ebu jiulize kwanza


Mkuu Kwani Obama atangaze Mara ngapi Kua hakuna sheria ya kuzuia ufisadi?

Km kungekua na sheria ya kuzuia ufisadi Obama asiwengeweza kusimama ktk mitambo tata ya Umeme pale ubungo! Leo hii Mzee mamvi utampeleka wapi?

Mwakiembe na Sita wameonekana waongo! Chezea Dolali weye?
 
Unaposema hilo la oral sex linawezekana tu kutungiwa sheria ndipo sasa tunapotofautiana mno mimi na wewe.

Mimi ninaelewa kuwa private lives za watu hazitakiwi kutungiwa sheria, yaani kuna mambo hata kama yana madhara huwrzi kutungia sheria, kwa mfano, hata kama kuishi bila kuoa kutabainika kuna madhara huwezi kutunga sheria kwamba kila mtu lazima aoe.

Sasa, oral sex, anal sex na zingine ni staili tu za mapenzi ambazo they have nothing to with the public, unataka wake zetu wawe wanakaguliwa akikutwa nimemla tigo nikafungwe jela!??

Tukiendekeza vitu vya namna hii, basi inawezekana kabisa kupiga marufuku hata staili maarufu ya kihaya ya Kateerero, kisa eti imegundulika ina leta sana michubuko.

Mkuu, ni lini wewe umesikia kiongozi wa kiafrika amesaini sheria au amefanya kitu flani akakamata headlines kama hawa akina Mugabe na Museven kiasi cha wananchi kuandamana na mabango kuwapongeza!??, utasemaje kuwa waafrika hatujatoa priority kupambana na suala hili?, na pia utasemaje kuwa hawatatawala milele ili hali wamegeuka vipenzi vya wananchi wao na tayari wameshatangaza nia!!??
1. Sasa kaka kwenye jamii si kuna consesus na conventions ikiwa hilo la oral sex litasumbua jamii nalo litashughulikiwa tu wala sio exceptional, it can be criminalized when and if deemed necessary!!!!!!

2. Kulipa kipaumbele maana yake nini sasa???!!! Contrary hao wanaotishia kuharibu mahusiano mbona hawajahoji kwa nini hakuna dawa au elimu mbovu??!!Ni sababu wao ndio IMF na WB na wao hawako after "real" human emancipation no wonder wanataka na hilo pia liwe sehemu ya maisha!!!!!

3. Hivi Mugabe na Museveni baada ya kupitisha wametangazwa marais wa kudumu???!!!!!Point yako nini kusema wanaweza kutawala milele???!!!

4. Haileti vifaa hospitali ila itapunguza vitanda kulaliwa na watu wa rectal prolapse na matatizo kama hayo!!!!
 
Na UN ipo na inajua na haishinikizi hela hizo kurudishwa nchi husika pamoja na kutambua shida zetu!!!!!

Ati kwa ushoga ndio wananyanyua midomo!!!!!

Safi sana Museveni na Mugabe

Na hakuna ufisadi unaoweza fanyika Africa bila hayo madola makubwa Kua nyuma!

Sasa cha kushangaza sheria za ufisadi zinakosa meno mpk kwa hao wafadhili wetu Lkn ushoga ndio wanaukomalia! Jitambue Mjuni Lwambo

Teh Teh Teh Teh
 
Last edited by a moderator:
How can he say that he wants the West to respect \African opinion and African stands when he starts his argument by saying that the reason for him to continue to criminalise homosexuality in Uganda is because the British had already done it? #SlaveMentality! EMT na Udadisi ningependa tudebate hili...

Who am I to judge the sexual orientation of other people?
 
Unaposema hilo la oral sex linawezekana tu kutungiwa sheria ndipo sasa tunapotofautiana mno mimi na wewe.

Mimi ninaelewa kuwa private lives za watu hazitakiwi kutungiwa sheria, yaani kuna mambo hata kama yana madhara huwrzi kutungia sheria, kwa mfano, hata kama kuishi bila kuoa kutabainika kuna madhara huwezi kutunga sheria kwamba kila mtu lazima aoe.

Sasa, oral sex, anal sex na zingine ni staili tu za mapenzi ambazo they have nothing to with the public, unataka wake zetu wawe wanakaguliwa akikutwa nimemla tigo nikafungwe jela!??

Tukiendekeza vitu vya namna hii, basi inawezekana kabisa kupiga marufuku hata staili maarufu ya kihaya ya Kateerero, kisa eti imegundulika ina leta sana michubuko.

Mkuu, ni lini wewe umesikia kiongozi wa kiafrika amesaini sheria au amefanya kitu flani akakamata headlines kama hawa akina Mugabe na Museven kiasi cha wananchi kuandamana na mabango kuwapongeza!??, utasemaje kuwa waafrika hatujatoa priority kupambana na suala hili?, na pia utasemaje kuwa hawatatawala milele ili hali wamegeuka vipenzi vya wananchi wao na tayari wameshatangaza nia!!??

1. Unataka iwe "private" kama ya yule muheshimiwa sio??!!! Sacred and profane has it all for you mkuu,take your time to peruse!!!!! Sio kumla tigo tu hata ukimpiga kofi mbona dawati la jinsia lipo tayari?????!!!

2. Yaani homosexuality iwe sawa na.style???!!!Mbona hapo juu umegoma kama ukiombwa hii style??!!!Hivi mwanao wa kiume akikuletea basha wake wanaoana utamfanyia send-off!!!????

3. Umewahi kusikia villagization, Arusha declalaration, na mambo kama hayo???!!! Ukiondoa western ideology kuwa hizi zilikuwa "populistic ideas" wewe kwa nini unaona hazistahili kuandamaniwa na mabango?????!! Wewe kwa nini hukuandamana vilipouzwa viwanda na nyumba za serikali kwa mfano???!!!

4. Praising,thanking,appreciation haya ni sawa na priority???!!!!

5. Kutawala ni suala la katiba mkuu hivi kwa mfano leo Rais wetu akisign for the same in the same magnitude unamaanisha 2015 hakutakuwa na uchaguzi????!!! How come???!!!!
 
Mkuu Kwani Obama atangaze Mara ngapi Kua hakuna sheria ya kuzuia ufisadi?

Km kungekua na sheria ya kuzuia ufisadi Obama asiwengeweza kusimama ktk mitambo tata ya Umeme pale ubungo! Leo hii Mzee mamvi utampeleka wapi?

Mwakiembe na Sita wameonekana waongo! Chezea Dolali weye?

naona unahama kwenye mada mkuu.....
pia kuna tofauti kat ya kuwepo kwa sheria na kupatikana na hatia!!
ufisadi upo tanzania hakuna anaekataa ila kuwepo kwa ufisadi haimaanishi hakuna sheria ya kupinga ufisadi.....sheria ipo lakini wanaohusika wana namna ya kuua ushahidi hivyo sheria inashindwa kufnya kaz yake.
 
naona unahama kwenye mada mkuu.....
pia kuna tofauti kat ya kuwepo kwa sheria na kupatikana na hatia!!
ufisadi upo tanzania hakuna anaekataa ila kuwepo kwa ufisadi haimaanishi hakuna sheria ya kupinga ufisadi.....sheria ipo lakini wanaohusika wana namna ya kuua ushahidi hivyo sheria inashindwa kufnya kaz yake.

Basi na ushonga wasiweke mkazo! Watulie tu!
 
Basi na ushonga wasiweke mkazo! Watulie tu!

hakuna alieweka mkazo,imewekwa sheria kama kulivyo na sheria ya kuzuia ubadhilifu wa mali ya umma iyo mkazo umeona ww infact sheria ilitakiwa iwepo bfor hand,they ar late
 
kagame angekubali ushoga mara moja ili apate silaha kutoka america

Kagame hawezi kuukubali huo usenge,na uhakika mwaka hauta isha iyosheria ya kudeal na ------- haija [pitishwa.

MEMBERS of Parliament want a law against homosexuality enacted. Currently, there is no such law in Rwanda but MPs consider homosexuality illegal.

Presently, there are fewer cases of homosexuality in Rwanda compared to other neighbouring countries. Most of those cases have been recorded in prisons, officials say.
“We don’t have a specific law on homosexuality, but we have a family law which states that a person only gets married to another person of the opposite sex,” Deputy Francis Kaboneka said.
He remarked that homosexual cases are not yet many in the country, but added: “We need to have a law against this vice.”
Deputy Henriette Sebera blamed the Ministries of Gender and Family Planning; and that of Youths and Culture for not taking measures on the vice.
“They (ministries) should look into that before it is out of hand. I have heard of such cases in prisons, but I believe they are nowhere outside,” Sebera said.
She argued that MPs should table a motion on it and come up with a law against the practice of homosexuality in Rwanda.
“Homosexuality is automatically illegal in our country; our culture only allows a man to have a relationship with a woman, and that is why anybody caught in that act should be punished,” she added.
Deputy Ezekias Rwabuhihi said that the evolution of the societies is dynamic and fast and so should the laws.
He said: “As society changes then the laws should always be changing, too. The constitution states it clearly that a man gets married to one woman nothing more than that; whoever comes up with something different should considered a criminal.”
Judicial practitioners have different views on homosexuality and believe it is not yet in Rwanda.
The chairman of Kigali Bar Association, Gatera Gashabana, said: “We currently don’t have such cases in Rwanda that is why we don’t have a specific law against homosexuality.”
On the Penal Code not having any provision for punishment of homosexuality related crimes, Gashabana said: “If we happen to have such a case then we would refer to some articles of immorality in the Penal Code.”
Christopher Niwemugabo, another independent lawyer, said: “Since we don’t have a specific law on the practice of gay, then it can not be categorized as a crime.
“The punishment can come up if only there was use of force, but if the two agreed upon, then there is no reason why they should be punished.”
The Minister of Justice, Tharcisse Karugarama, said that the Penal Code is being reviewed and punishments for homosexuality have been considered. “Issues of prostitution and homosexuality are sensitive but the government has more concerns to give prominence to than those,” he said.
The few cases of the vice in Rwanda have been reported in prisons, Nyamirambo Sector, Biryogo Cell and they especially involve youths.
While Rwanda has few cases, homosexuality has of late become a major concern in several African countries and is ripping the Anglican Church apart worldwide.
Recently the Ugandan government launched an anti-gay campaign after homosexuals came out openly to fight for their rights. Mauritania, Nigeria and Sudan have imposed a capital punishment on homosexuality.
Meanwhile Rwanda’s Anglican Church joined the growing list of African churches which oppose homosexuality. Recently, the Church announced that it will ordain three American bishops next year, in a move aimed at thwarting their US affiliate that endorsed gay priests in 2004.
Archbishop Emmanuel Kolini, head of Rwanda’s Anglican Church, said: “Even when the government decides to legalise homosexuality our church will not accept it its totally illegal and un-Godly.”
He reiterated that homosexuality is against the Rwandan culture and the government would not adopt it. “Man was meant to reproduce and something contrary to that is destruction,” Kolini said.
In the past one month, Kenya and Uganda anointed three American bishops who will serve in the US for Anglican Church.
Ends

The New Times Rwanda: :: Legislators call for law against homosexuality
 
Back
Top Bottom