Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,613
Kuna watu wako obsessed na Paul Kagame aisee! At least ungeongelea kwetu maana inatuhusu!kagame angekubali ushoga mara moja ili apate silaha kutoka america
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wako obsessed na Paul Kagame aisee! At least ungeongelea kwetu maana inatuhusu!kagame angekubali ushoga mara moja ili apate silaha kutoka america
Kuna watu wako obsessed na Paul Kagame aisee! At least ungeongelea kwetu maana inatuhusu!
si unamjua mkulo wetu anavyopenda ile kitu natural natural hili balaa angeitisha press conference kulikataa mbele ya wazee wa DAR ES SALAAM!
Kama una maana ya Rais Kikwete, mbona kulingana na link hapo chini alitoa msimamo butu. Siko impressed na alichosema. Ni kama alimaanisha, "tunahitaji muda kukubaliana nanyi" wakati Museveni ameweka wazi kuwa "si asili ya mwanadamu kuwa hivyo, kwa hiyo hatukubaliani nanyi". Kikwete alipaswa kuwa bolder kuliko Museveni, given nchi anayoiongoza. Lakini majibu yake, personally yamenisikitisha sana!Wapi Kikwekwe???? Una ubavu huo? Thubutu!
"Itachukua muda kwa watu wetu kukubaliana na tamaduni za watu wa magharibi, nakumbuka Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron aliwahi kuzungumza sana kuhusu suala hilo na likaleta shida na tafrani kubwa kwa watu wetu," alisema.
"nafikiri kwa watu wetu sidhani kama huu ni muda muafaka wa kujadili suala hilo,hatulitaki na halikubaliki" alisema alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa CNN, Christiane Amanpour.
Amannpour alitaka kujua msimamo wa Rais Kikwete kuhusu haki za mashoga na harakati zinazofanywa ili kuufaya ushoga kama moja ya haki za msingi za binadamu.
Hawa ndo SIMBA wa AFRICA (at least katika hili) Kule Zimbabwe, Mugabe kasema "if Obama wants me to allow gay-ism in Zimbabwe, then he must first and foremost let me marry him as an example" unaweza kucheka hadi ukafa kabisa!!!!
Waganda wangeweza kutumia muda huu wa muswada wa ungese kujadili mambo ya maendeleo na kujipunguzia umaskini knowing kwamba 84% ya vijana wa Uganda hawana ajira. Sasa mijitu mizima ina diskas ungese mwezi mzima kutumia hela ya mlipa kodi. Why do african leaders address trivial issues instead of addressing poverty diseases education etc
Vipi ww ni ngese pia? Naona unatetea hivo! sasa taifa la mangese unajua shida yake ama hufuati dini wewe?
Hawa ndo SIMBA wa AFRICA (at least katika hili) Kule Zimbabwe, Mugabe kasema "if Obama wants me to allow gay-ism in Zimbabwe, then he must first and foremost let me marry him as an example" unaweza kucheka hadi ukafa kabisa!!!!
Hawa ndo SIMBA wa AFRICA (at least katika hili) Kule Zimbabwe, Mugabe kasema "if Obama wants me to allow gay-ism in Zimbabwe, then he must first and foremost let me marry him as an example" unaweza kucheka hadi ukafa kabisa!!!!
Hapo ingekuwa Baba MwanaAsha sijui kama angekataa ku sign !