Museveni's List of Properties and Abnormal Wealth Links

Nuru
Nuru gizani...
 
Umeanza kuongea kifalsafa zaidi, kuitwa bungeni sio mchezo mkuu hahaaa...ila hongera, kwa namna hii ndugai haweza kukuilewa wala kukuita tena. Ujumbe murua kabisa!
 
No noh noh!!! Sio kweli hata kidogo

A true leader is meant to serve his/her people. Yani yeye ni mtumishi wa watu.

Halafu Museveni kushugulikia mchakato wa Nyerere kuitwa mtakatifu inawezekana ikawa for his personal reasons...usisahau kwamba Museveni na familia yake walishawahi kuishi Tz in the past.

Ila nimependa tu hapo uliposema "ndio maana sisi wengine tunamuita mtukufu rais" [emoji22]
 
Kweli alieshiba hamjui mwenye njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…