Musiba alikuwa anapata habari za kikachero na Membe ni kachero, sasa wanagombana nini?

Magazeti ya Tanzanite nilikuwa kila siku nayapitia with a magnifying glass.
Huwezi kujiita poppy ukawa na akili. Yule fala musiba alikuwa kachero gani? Kachero kwenye matusi? Sasa kama ni kweli alikuwa kachero ikawaje mahakama ikamtia hatiani? Unatumia ubongo gani kufikiri ewe sukuma gang? Mwache arudi kijijini akalime mpunga majarubani huko!
 
Musiba alikuwa na Habari gani za kikachero yule? We unaona kulikuwa na ukachero pale au ujinga na kubebwa?

Lipeni hela za watu na mkome ujinga
 
Mahakama imejiaibisha na hukumu hii.
 
Membe analazimisha uadilifu wakati yako madai wazi dhidi yake hakuwahi kuyatolea mashaka kwa watu.
Kwanza kuna madai ya yeye kwamba alipora hela zilizotolewa na khadaffi kujenga kiwanda cha cement lindi kwa kushirikiana na wafanyabiashara fulani kisha akajenga hoteli yake binafsi lindi. Na kuna mengi musiba alimshutumu kupanga dhidi ya magufuli. Alikua miongoni mwa wale 'gang of four' waliyokua wanamsengenya na kumtukana na kumdharau magufuli. Pia tusisahau dharau na jeuri aliyofanya kwa kudharau alivyotakiwa kujieleza na chama cha ccm kisha akakataa kuomba msamaha hadi kufukuzwa chama. Wenzake wakiomba msamaha japo wsmekuja kuonyesha unafiki mkubwa kwa kufurahia kufa magufuli.
Membe asijidai ameshinda kesi ya madai dhidi ya musiba. Kila mtanzania anajua hali ya nchi hii kuhusu haki imerudia kama awamu ya nne. Haki inaweza kununuliwa.
Kwanza membe anaonyesha udhaifu mkubwa kama kiongozi. Ni mtu mwenye majivuno na kisasi. Ukiwa mwanasiasi kila lawama uwe tayari kukabiliana nayo maana ndio uongozi..
 
Kwahiyo mlijimwambafy kwa kujua hamtafanywa chochote na hata ikitokea sponsa kafa na kesi iko mahakamani Basi kesi itakaa zaidi ya miaka 30 sio.?
MMEDANDIA MTUMBWI WA VIBWENGO. MANDONGA MTU KAZ.
 
Membe hakuwa na ukachero wowote.

Wamemdukua kwenye simu anamsema Rais halafu analalamika wamemdukua.

Everybody and their grandmother knows that ukitaka kuongea ya siri tumia Whatsap kwa sababu ni encrypted. Kampuni ya Whatsapp wenyewe hawawezi kusoma message au kusikiliza au kurekodi simu zako. END TO END ENCRYPTION.

Eti akategemea kubebwa na CV ya ukachero kugombea Urais. Kachero gani hajui mitandao ya mawasiliano ambayo ni encrypted ?
 
Tapeli la mtaani linapataje habari za kikachero? BM karanga ili takataka ili yale chawa mainformers nayo yakome.
 
Acha kutetea ujinga. Huyo Musiba acha avune alichopanda na liwe fundisho kwa wajinga wenzake wanaotumika vibaya
Tena ikiwezekana Membe na Fatma Karume waungane wampeleke Musiba jela na wamlipie kukaa kule kifungoni!! Hili litakuwa fundisho kwa machawa wengine huku mtaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…