Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Hili ni tatizo kwa sisi wanayanga.Duh heri hili dubwana liko Yanga, kushabikia timu 1 nae inahitaji sehemu 1 ya brain yako iwe domant!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni tatizo kwa sisi wanayanga.Duh heri hili dubwana liko Yanga, kushabikia timu 1 nae inahitaji sehemu 1 ya brain yako iwe domant!
Mwenzio kalamba 100M juzi tu,Hapo utakuta kamejichanga Miezi 4 kufikisha hio Mil2. Wakati ni matumizi ya masaa tu inakatika.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Namsikitikia sana mke na watoto wake huyu Musiba. Utakuta anawaweka vikao kila siku akiwaeleza kuhusu watu anaohisi wanamfanyia hujuma JPM, na kuhusu katiba ibadilishwe kipengele cha Miaka 5 kwenda kwenye Miaka 7 ili JPM apige miaka 14 [emoji18] [emoji53]
Siku mkifungwa 4 na Azam na 5 na Simba hatutaki mje kulia humu Yanga haina kipaAkacheze kwenye hiyo team ya Musiba Fc sisi yanga kwetu hana nafasi tena
Njana tu leo wanawapiga ńyingiSiku mkifungwa 4 na Azam na 5 na Simba hatutaki mje kulia humu Yanga haina kipa
Kabisa. Kwa mwana yanga anayepinga kitendo cha musiba simuelewi kwa sababu kama mchezaji alikuwa anadai hela yake nyingi hivyo ni halali tu agome,ila kama musiba ameokoa jahazi tumpongeze manake huyu kipa bado ni muhimu sana kwetu. Tusimchukia musiba kutoa hizo hela kwa sababu ya Michezo,huku ni YangaBeno bado tunakuhitaji yanga
Musiba nakupa heko mi siasa sijui
Kwa nini amemkataa?Kocha ameshamkataa labda akabembeleze
mwanaccm mwenzio huyo.Huyu jamaa punguani kweli kweli.
Inaweza akawa pandikizi.mwanaccm mwenzio huyo.
Kuna clip nimeiona jana Zahera anasema abaki huko hukoKwa nini amemkataa?
Duuu! N way labda hatujui kilichopoKuna clip nimeiona jana Zahera anasema abaki huko huko
Yeah maana mpira wa Bongo miyeyushoDuuu! N way labda hatujui kilichopo
SureYeah maana mpira wa Bongo miyeyusho
hujakosea, ni kifuu cha nazi kabisaHuyu jamaa punguani kweli kweli.
Anaaminika sana hapo Lumumba siku hizi na ndo msemaji mkuu wa serikali, yule mwingine amebaki kwenye makaratasi tu.Inaweza akawa pandikizi.
Kwa Mara ya kwanza nimekupa likeHuyu jamaa punguani kweli kweli.
Hapana, si kweli. Siwezi kuwa kambi moja na punguani.