Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisaHata Saa mbovu Mara Nyingine husema kweli.
RIP Mohamed KibaoShujaa wa watekaji na wapoteza watu sasa hivi anateseka jehanamu 🔥
Na njaa ndivyo zilivyo 😳 !
...na za Shangazi.....Alipe kwanza hela za Membe
Amerukwa na akili ndio,kwanini nasema hivyo?Kuna baadhi wanaweza kuhisi amerukwa na akili ila jamaa ana kitu, wakipuuzia ipo siku watakumbuka shuka tayari kumekucha
Iko hivi:Mwaka huu tutaongea lugha moja tu subiri na bado kila adui atajisalimisha.
Musiba ni speaker ya jikoni!Wakuu
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini kwenye nguvu ya wasanii katika mikutano yake hakina msaada kwa chama hicho hata kwenye uchaguzi wa CHADEMA nguvu yao haikuweza kufunika mijadala ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Tundu Lissu.
View attachment 3215323
Pia, Soma:
• Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
• Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
• Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Membe yupi tena??Alipe kwanza hela za Membe
Magufuli alikosea, ukweli ni kwamba watanzania aslimia kubwa ni wajinga....Shujaa Magufuli: Watanzania siyo Wajinga
Huyu jamaa anaweka wazi jinsi CCM wanavyoona Watanzania. Kwa hiyo Watanzania hawajitambui?
Katumia lugha ngumu sana kwa CCM. Kwa maana nyingine CCM imemrudisha Wasira kwenye Uongozi wakifikiri Watz ni wale wale wa miaka ya Nyerere. Au eti Musiba akamshangae Msanii wa Bongo Flavour aache kufuatilia Uchaguzi wa Chadema??Kuna baadhi wanaweza kuhisi amerukwa na akili ila jamaa ana kitu, wakipuuzia ipo siku watakumbuka shuka tayari kumekucha
Nyinyi ndo wagumu sana kukubali kuwa CCM ya Samia haina mvuto kwa jamii ya sasa!Amerukwa na akili ndio,kwanini nasema hivyo?
Kwa akili ya kawaida tu tukio la uchaguzi wa mwenyekiti wa Chadema kati ya Mbowe na Lisu lilikuwa la kihistoria kwa maana limekuwa na mvuto mkubwa
Sasa kipi cha ajabu hapo,ameongea ujinga tu