Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Those who killed him will never have peace on earth or in hell 😒RIP Mohamed Kibao
Sure halafu ni aibu kinomaIla suala la kutumia wasanii naona ni aina ya ushamba na kutojiamini
Mbinu hiyo, toka Jiwe adanje inaonekana channels zimekata. Atawashambulia mpaka wampe channel ya ulaji ndiyo ataanza vitimbwi vya kuishambulia CHADEMA na viongozi wake.Hee!!!
Amewageuka wenzake
Saa iigine hata saa mbovu inasema ukweli. Kumbe nyie wapuuzi miaka yote mmekuwa mkifanya ujinga mk8firi na sisi na wajinga kama nyie. Mtakuja kujuwa kuwa wataanzania sio wajika when it will be too late.Wakuu
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba amesema kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuamini kwenye nguvu ya wasanii katika mikutano yake hakina msaada kwa chama hicho hata kwenye uchaguzi wa CHADEMA nguvu yao haikuweza kufunika mijadala ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Tundu Lissu.
View attachment 3215323
Pia, Soma:
• Rais Samia aligoma alipoambiwa atoke ili wajumbe wapige kura na kumpitisha. Hii ina maanisha CCM wengi hawamtaki?
• Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025
• Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
Truth: Watanzania ni wajinga.Shujaa Magufuli: Watanzania siyo Wajinga
Jinga, Musiba anatutukana, kwamba ukiishi na watu wanaoanza kujitambua lazima ubadili namna ya ku deal nao, kumbe Ccm ina deal na sisi ikiwaza sisi ni wajinga!
🤣😆Atawashambulia mpaka wampe channel ya ulaji ndiyo ataanza vitimbwi vya kuishambulia CHADEMA na viongozi wake.