Musiba: Mawasiliano ndani ya Vyama vya Siasa, watu wanayaona! Mnyika asaidie Polisi kwenye Uchunguzi wa kuuawa kwa Mzee Kibao

Musiba: Mawasiliano ndani ya Vyama vya Siasa, watu wanayaona! Mnyika asaidie Polisi kwenye Uchunguzi wa kuuawa kwa Mzee Kibao

Mtu yeyote anayefurahia wenzie kuumizwabikifika wakati wake watubwatafurahia mateso yakebl rejea kifo cha mwendazakenwatu walikua wanafurah alioaga duniani unajua kwanin? He took no action kipindi yupo kwa ofisi
 
Unaweza kuwaza mambo mengi sana juu ya huyu Musiba.

Ameibuka tena kwenye kipindi ambacho watanzania wameanza kuishi kwa hofu kubwa sana juu ya maisha yao.

Huyu huyu Musiba alikuwa ni gumzo kubwa kipindi cha Magufuri.

Swali la kujiuliza ni kwanini Musiba anaibuka kwenye kipindi cha mateso kwa watanzania?

Kwanini anaonekana kufurahia mateso wayapatayo watanzania?

Naomba tujadili wote kama watanzania juu ya huyu mtu anaitwa Musiba.
Huyu mtu yupo kwenye payroll ya wale jamaa wavaa kaunda suti, ni agent wao.
Hapa wanamtumia kufanya Spinning Propaganda ili kuvuruga makusudi mijadala mikali inayoendelea hapa nchini hususani kuhusu suala hili la utekaji watu. Wanafanya hivyo kwa sababu hao jamaa pia wanatuhumiwa moja kwa moja kuhusika katika vitendo hivyo viovu vya utekaji Watu.
 
No, Musiba siyo empty set kama unavyodhani. Huyo anatumika ili kufanya Spinning ili kuvuruga makusudi mijadala mikali ya utekaji Watu na ili kuwatoa Watu kwenye reli wasijadili masuala haya ya utekaji na Mauaji yanayoendelea hapa nchini.
Spinning anawafanyia wajinga wenzie sisi wenye IQ zetu tunamuona bwege mtozeni.
 
Yaani midude michafu yote aliyoitumia Mwendazake inarudi tatatibu. Alianza Makonda, amekuja Musiba na soon utamsikia Ole Sabaya!!

BIG FAILURE kwa Rais Samia. Yaani miaka 3 kwenye Urais bado huwezi kutengeneza LOYALIST wako??
 
Ni ajabu sana... kwamba taarifa imetolewa, halafu wamuhoji mtoa taarifa...only in Tanzania? vipi kama akisema kwamba alijulishwa na mmoja wa abiria kwenye basi- anonymous? watamfanyaje? hawataki kuchunguzwa? cha msingi , mtekaji apatikane ndio maana wana sema aletwe scotland yard, sasa hao hawahitaji kujua ni nani alitoa taarifa... wanaweza tu kutumia Tehnologia na kujua ni nani alikuwa naye hadi mauti. Simu zipo, satelite zipo na wanajua kufanya kazi zao...
 
Ila Musiba muda mwingine sijui huwa anajiamini nini? Huyu alikuja Mwibara akawa anahonga watu apate ubunge kwa kumpindua Kangi Lugola kipindi cha Magu, watu wakawa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa(kwamba mheshimiwa utapita tu hakuna shida). Kananuka rushwa sana​
 
Back
Top Bottom