Musiba: Mawasiliano ndani ya Vyama vya Siasa, watu wanayaona! Mnyika asaidie Polisi kwenye Uchunguzi wa kuuawa kwa Mzee Kibao

Musiba: Mawasiliano ndani ya Vyama vya Siasa, watu wanayaona! Mnyika asaidie Polisi kwenye Uchunguzi wa kuuawa kwa Mzee Kibao

Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
Sijui hata nani anamsikiliza huyo, Membe angekuwepo asithubutu kusema chochote. Analeta utani kwenye mauaji ya watu yaani hana hata aibu, kwani watu walianza kutekwa juzi. Mungu anakuona Musiba acha utani na unafiki katikati ya majonzi kwa Watanzania wenzio.
 
Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
 

Attachments

  • VID-20240913-WA0028.mp4
    5.3 MB
Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
Huyu ameshalipa pesa anazodaiwa kwa familia ya Membe?
 
Huyu ameshalipa pesa anazodaiwa kwa familia ya Membe?
Ukigundua musiba ana mizizi mirefu ambayp imeenda mbali ndio utajua kwa nn alikua na ile jeuri na bado yuko na hiyo jeuri. Sio membe tu hata fatma karume alifungua kesi ya kumdai mabilioni na mahakama ilitoa hukumu musiba kumlipa Fatma karume bilioni 7.5, Fatma anajua alichokutana nacho.
Ingekua mtu mwingine tu kwanza angekua yupo jela hadi Sasa kwa namna alivyokua akipambana na watu wazito serikalini na chamani, wasingemuacha salama lakini imeshindikana
 
Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
Musiba ushaenza Tena ule mdomo wako wa kusema watu uongo alaf baadae unaanza kuonyesha sura za huruma
 
Hawa machawa wakianza kukujaza upepo ujue kuna anguko lako wanaliandaa sio wa kuwafagilia sana ukishawaleta karbu linakukuta jambo mana huwez kujua ni wakweli au mamluki nafkir wahusika wawe nao makini
I wish waone hili. Mistake kubwa sana kuanza kuwaleta kina Musiba tena. Ni utoto wa hali ya juu, kwa yeyote anayeratibu haya mambo. Huyu huwa analeta chuki kubwa sana kwa wananchi dhidi ya serikali, sidhani kama lengo lao ndio hili. Haleti woga kama ndio wanataka hivyo, bali huleta/ huongeza chuki kwa watu.
 
Kumbukeni Musiba akiongea ni TISS inaongea.

Msijisahaulishe
Hapana. Ni huko kwa Wamasai na Wameru. Tunaongelea 4R, halafu anaibuka tena Musiba! Mara utekaji, kuuawa watu!! Kazi kweli kweli.
 
Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
Kwel tuna watu ng'ombe sana hii nchi ,yaan ww umekaa na kutafakar umeona ndo maswali ya Kuja nayo hayo? Ww kama lilivyo jina lako ni musiba na utaandamwa na misiba kwel kwel
 
Hili linaongea utumbo gani, Mzee alitekwa hadharani halafu yeye anashangaa Mnyika kapataje habari.
Sasa unaliongelea la nn ili ling'ombe la kufugwa musibq'' alimuandika na kimzushia mabaya hayati Membe hatimaye mahakama ikaona amlipe Membe 6 b. Sasa Leo linakuja Tena na ujinga wake ,mtu alitekwa hadharan kweny basi alafu linasema eti mtu wa kwanza kutoa taarifa ni Mnyika, yaan sipendi hili limbuzi
 
Mwanaharakati huru kama anavyojiita, Cyprian Musiba amesema kama mtanzania ameumia sana na matukio ya utekaji na kupotezwa kwa watu hususan tukio la hivi karibuni la kuuawa kwa Ali Mohammed Kibao. Hata hivyo, amesema kama mtanzania anapinga kutumia matukio kama haya kuanza kushambulia watu baadhi ambao hawana makosa yoyote huku akishauri kusubiri ripoti kutoka kwa Vyombo vya Usalama na si kutumia matukio haya kisiasa na kuingiza chuki sababu ya watu binafsi.

Amesema "Ripoti haijatoka hajapelekewa Rais, tayari watu wameshaanza fukuza huyu, fukuza huyu, haiwezekani. Wanachosahau Vyama vya Siasa wanadhani wana Serikali yao na Wananchi wao. Ninachoweza kuwaambia ni kwamba hata ninyi mpo uchi, unaweza kuilaumu Serikali kuwa imefanya jambo fulani kumbe hata ninyi ndio mmefanya. Ninachoshauri tu mkileta tuhuma na kutengenza vipeperushi kuwa fukuza huyu, fukuza huyu hata ninyin mpo uchi. Hata ninyi huko ndani kwenye vyama vyenu kuna kamera zinawaona, mawasiliano yenu wanayaona watu. Mnaweza mkatuhumu watu, hizo tuhuma zikageuka. Mie nawatahadharisha na kuwashauri tu."

Aidha, kuhusiana na tukio la Mzee Ali Mohammed Kibao amesema anashauri yeye kama yeye kuwa kwenye uchunguzi mmoja wa Watu wanaotakiwa kusaidia Polisi ni Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika kwa sababu yeye ndio alikuwa mtu wa kwanza kutoa taarifa na kuzisambaza.

Amehoji "Nani aliyempa taarifa kuwa huyo jamaa kuwa kuna watu wanamteka? Huyu aliyempa taarifa Katibu Mkuu naya anaweza akasaidia Vyombo vyetu. Huyo aliyotea taarifa kuwa Mzee Kibao ameuawa naye anaweza akasaidia "

Ameongeza kuwa uchunguzi sio kwasababu ya Serikali tu, kwani inaangaliwa nani ameanza kutoa taarifa, kwenye basi kulikuwa na nani?, aliyewasiliana na Mnyika akiwa kwenye basi ni nani? Amesema hayo ni mambo ya msingi sana ya kuzingatia kwa sababu Katibu wa Chama amaeanza kutoa taarifa hivyo asaidie.

Amemalizia "Mimi nashauri hapa si kwa nia mbaya, maana mtaanza kunitukana hapa na kunidhalilisha hapa ila ni kwa nia njema"

Amesisitiza "Lazima tulinde hadhi ya Urais, sio kila Mtu anaweza kuongea ongea tu, unamtukana Rais. Nafuatilia rafiki yangu mmoja yupo CHADEMA, siwezi kumtaja jina yeye kila akiamka ni kumtukana Rais tu, anamtukana tu. Na yupo tu wala hakuna mtu anayemjali. Kwenye page yake yeye ni kumtukana tu lakini la kumshukuru Mungu hakuna anayemjali maana inawezekana anataka akamatwe ila watu wamemwacha hakuna naye mjali na sasa ameanza kuchoka. Sio kila kitu anahusika Rais"​
Musiba katumwa?
 
Back
Top Bottom