Music makes us feel good

Music makes us feel good



Umenikumbusha utoto...primary ilikuwa fashion kuwa na daftari la miziki popular hasa hits za RnB Toni braxton,Monica,Brandy,Backstreet boys,Savage Garden,Elton John,Celine dion n.k...tukiandika verses na chorus zote...halafu tukipokezana kukopi lol....i miss those fun and clueless days...All i had to worry was me!! 🙂 🙂
 
Last edited by a moderator:
Please share G, what happened?
Nothing happened BAK i have just growned up na pia i feel the music world have become more complex sio kama zamani wakiimbia very simple! Ha ha ha....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hizi enzi wengi tumezipitia sana, na ukishaandika nyimbo ambayo iko kwenye chart basi kila mtu darasani anakufuata kukuomba naye aandike...... Nasikia una lyrics za nyimbo ya backstreet boys naomba nami niandike lakini sina muda nitarudisha kesho...lol! Hahahahaha utoto raha sana aisee hawa watoto wa siku hizi kwenye ma nchi ya watu wala hawahitaji kuandika wenyewe wanasikia mara moja tu ameshakamata lyrics zote utadhani alitunga yeye. Halafu raha ya nyimbo za wakati ule zilikuwa hazina foul language kama siku hizi mara tu f u na B word mpaka imekuwa shidaaaaaa.

Umenikumbusha utoto...primary ilikuwa fashion kuwa na daftari la miziki popular hasa hits za RnB Toni braxton,Monica,Brandy,Backstreet boys,Savage Garden,Elton John,Celine dion n.k...tukiandika verses na chorus zote...halafu tukipokezana kukopi lol....i miss those fun and clueless days...All i had to worry was me!! 🙂 🙂
 
Hilo ni kweli G, nyimbo za zamani tuliimba wengine na wazazi bila hata ya kumung'unya neno siku hizi nyimbo kama zile ziko chache sana.

Nothing happened BAK i have just growned up na pia i feel the music world have become more complex sio kama zamani wakiimbia very simple! Ha ha ha....
 
Hizi enzi wengi tumezipitia sana, na ukishaandika nyimbo ambayo iko kwenye chart basi kila mtu darasani anakufuata kukuomba naye aandike...... Nasikia una lyrics za nyimbo ya backstreet boys naomba nami niandike lakini sina muda nitarudisha kesho...lol! Hahahahaha utoto raha sana aisee hawa watoto wa siku hizi kwenye ma nchi ya watu wala hawahitaji kuandika wenyewe wanasikia mara moja tu ameshakamata lyrics zote utadhani alitunga yeye. Halafu raha ya nyimbo za wakati ule zilikuwa hazina foul language kama siku hizi mara tu f u na B word mpaka imekuwa shidaaaaaa.

Unaona ehhh yaani zamani ilikuwa raha sana...yaani nyimbo zilizotamba zamani nyingi najua kuziimba lakini za wasasa naambulia chorus tu tena kwa kubahatisha lol ha ha ha....halafu watoto wa siku hizi wakidigital wana access ya mitandano na google imerahisisha mengi mno mtu anagoogle lyrics tu...enzi zetu ilikuwa tofauti hakukuwa na short cuts!!Halafu hip hop imehalalisha hizo F and B words maana imekuwa ka fashion loool!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
huwa nawakubali sana mkuu BAK na Belinda Jacob kiukweli mnajua mambo mengi ya best music hits kuanzia flash back mpaka za sasa.alafu mko humble sana.!!

Asante sana mkuu Triple G . I'm very pleased to hear that!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK




[Pitbull]
Chris Brown, set it off
[Chris Brown]
Oh, feeling crazy
The moon is up, the night is hazy
Let's get lost in the shadows
Somewhere we can go
And no one else can find
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Loosen everybody till they come undone
Loose everybody baby come undone
Oh my mind
Looking like a good, good time
Don't disguise
The way you wanna love tonight
Oh my mind
Hook you with a brand new high
Don't be shy, I just wanna in tonight
F.U.N. fun
[Pitbull]
Fresh from Monaco, preforming for Microsoft
Miami to L.A., G4, we takin' off
I'm a hard worker, I'm far from the boss
But when it's said and done, I'm owning it all
I know you just think it's just rap
Just this, just that, haha, right
Now baby, this my life
Wanna have fun for a night?
Then just
[Chris Brown]
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Oh my mind
Looking like a good, good time
Don't disguise
The way you wanna love tonight
Oh my mind
Hook you with a brand new high
Don't be shy, I just wanna in tonight
F.U.N. fun
[Pitbull]
Go headlining on tour, with Enrique
Off in Casa de Campo, who would've thought de que
Down in Key Largo, you know I'm on that sticky
Icky, icky, icky, icky
Don't do it much, but when I do, I'm gone
Don't take it all off, keep your heels and thong
Ay mamita that turns me on
Now just listen to the song and
[Chris Brown]
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Oh my mind
Looking like a good, good time
Don't disguise
The way you wanna love tonight
Oh my mind
Hook you with a brand new high
Don't be shy, I just wanna in tonight
F.U.N. fun
[Bridge]
Come on mami, you know what it is
Come on baby, you know what it is
I wanna uh, let's go to the crib
And if you want, you can bring your friends
Come on mami, you know what it is
Come on baby, you know what it is
I wanna uh, let's go to the crib
And if you want, you can bring your friends
And we can F.U.N. fun
(Let's go, let's ride, let's show 'em how we do it in the 305)
[Chris Brown]
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
Loosen everybody till they come undone
Loosen everybody baby come undone
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom